dexterous
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 2,037
- 3,134
Ngoja nilipie kifurush.
Alafu ndo watu wanasema bongo muvi haiilipi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja nilipie kifurush.
TejaWazanzibari kwa uchawi mbona wa Sumbawanga wakasome
Mwizi mwenyewe mbona kama ananjaa hajala toka juzi
Picha la kihindi limechezwa hapo, ila lengo lake kamili sijalijua. 1. Mganga wa kienyeji CV yake inatakatishwa? 2. Mwenyewe ame-direct hili picha ili kuwaogofya vibaka wasimsumbue tena? Kuna nadharia nyingi tu lakini kitu kilicho wazi ni kuwa mimi siwezi kuchotwa mawazo na hili picha la kihindi...huyu mzee ni balaa kweli huu usingizi sijapata kuuona kabisa 🔥 maajabu zaidi mwizi kaamswa na zaidi ya vibao vitatu na kumwagiwa maji juu kulala gani huku 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 angetutajia tu huyu fundi na sisi tumtafute tumechoka kuibiwa bhana.
Tangazo la biashara hiloDuuh jamaa mtaalamu wake yupo vizuri,wengi watamfuata awapeleke wakapewa hilo zindiko
Hadi ufanye hypothesis testPicha la kihindi limechezwa hapo, ila lengo lake kamili sijalijua. 1. Mganga wa kienyeji CV yake inatakatishwa? 2. Mwenyewe ame-direct hili picha ili kuwaogofya vibaka wasimsumbue tena? Kuna nadharia nyingi tu lakini kitu kilicho wazi ni kuwa mimi siwezi kuchotwa mawazo na hili picha la kihindi...
Kumbe tunachezewa Akili hapa. 🤣 🤣 🤣 🤣Picha la kihindi limechezwa hapo, ila lengo lake kamili sijalijua. 1. Mganga wa kienyeji CV yake inatakatishwa? 2. Mwenyewe ame-direct hili picha ili kuwaogofya vibaka wasimsumbue tena? Kuna nadharia nyingi tu lakini kitu kilicho wazi ni kuwa mimi siwezi kuchotwa mawazo na hili picha la kihindi...
Mimi ni Farouk Karim wa ITV
Kaka kibaka duuuuu....
Noma Sana, ataamkia Segerea ya Zanzibar
Afanye dua zake ashinde jackpot ya Powerball.
Atawapata wengi sana,maana wengi wanapenda ushirikinaTangazo la biashara hilo
kabisa, na wajinga ndio watapigwa sana,Tangazo la biashara hilo