Fatma Karume ataka uondolewe ukakasi kwenye mchango wa gari la Lissu ndio achangie

Fatma Karume ataka uondolewe ukakasi kwenye mchango wa gari la Lissu ndio achangie

sonofobia

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2015
Posts
1,171
Reaction score
4,295
Kupitia akaunti yake ya X mwanamama mwenye misimamo mikali Bi Fatma Karume amehoji juu ya sintofahamu ya michango ya Lissu.

Amehoji kwa nini asilipwe gari na bima wakati gari ilikuwa na bima?

Ametaka huu ukakasi uondolewe ndio achangie. Na mimi namuunga mkono kwenye hili. Tundu asije tufanyia ujanja wa kuchukua michango ya wananchi na kuzunguka kampuni ya bima kuchukua hela zake.

Tuwe makini na hii michango isiyokuwa na auditing ambayo imeshamiri kwenye chadema.


1000831149.jpg
 
Kupitia akaunti yake ya X mwanamama mwenye misimamo mikali Bi Fatma Karume amehoji juu ya sintofahamu ya michango ya Lissu.
Amehoji kwa nini asilipwe gari na bima wakati gari ilikuwa na bima?

Ametaka huu ukakasi uondolewe ndio achangie.

Na mimi namuunga mkono kwenye hili.

Tundu asije tufanyia ujanja wa kuchukua michango ya wananchi na kuzunguka kampuni ya bima kuchukua hela zake.

Tuwe makini na hii michango isiyokuwa na auditing ambayo imeshamiri kwenye chadema.
View attachment 3001416
Kwenye suala la bima Fatma yuko spot on...CDM wawe makini sana kwenye hili tusije tukaanza kuwafananisha na ma CCM
 
Bima huwa ni mwaka moja tuu, hii gari ya Lissu ilikuwa polisi tangia September 2017kwa hiyo bima ili expire zamani sana na Polisi siyo jukumu lao ku renew
Kuna ukakasi mwingi sana atoke adharani aseme kuhusu hii sintofahamu. Kukaa kimya wenye akili timamu na uelewa wanabaki na maswali yasiyo majawabu.
 
Kupitia akaunti yake ya X mwanamama mwenye misimamo mikali Bi Fatma Karume amehoji juu ya sintofahamu ya michango ya Lissu.
Amehoji kwa nini asilipwe gari na bima wakati gari ilikuwa na bima?

Ametaka huu ukakasi uondolewe ndio achangie.

Na mimi namuunga mkono kwenye hili.

Tundu asije tufanyia ujanja wa kuchukua michango ya wananchi na kuzunguka kampuni ya bima kuchukua hela zake.

Tuwe makini na hii michango isiyokuwa na auditing ambayo imeshamiri kwenye chadema.
View attachment 3001416
Kuhusu Bima nionavyo Mimi wangemlipa, like Gari wangechukua na kuliuza au kuliharibu, wakati Lissu alilihitaji kama kumbukumbu.
 
ndiyo mjue kwamba mnadanganywa mengi sana, wameshalewa power walio nayo juu yenu na wameonyesha haina ukomo lkn pia hakuna aliyelazimishwa kumchangia bilionea ni uamuzi wenu …
 
Kupitia akaunti yake ya X mwanamama mwenye misimamo mikali Bi Fatma Karume amehoji juu ya sintofahamu ya michango ya Lissu.
Amehoji kwa nini asilipwe gari na bima wakati gari ilikuwa na bima?


Kupitia akaunti yake ya X mwanamama mwenye misimamo mikali Bi Fatma Karume amehoji juu ya sintofahamu ya michango ya Lissu.
Amehoji kwa nini asilipwe gari na bima wakati gari ilikuwa na bima?

Ametaka huu ukakasi uondolewe ndio achangie.

Na mimi namuunga mkono kwenye hili.

Tundu asije tufanyia ujanja wa kuchukua michango ya wananchi na kuzunguka kampuni ya bima kuchukua hela zake.

Tuwe makini na hii michango isiyokuwa na auditing ambayo imeshamiri kwenye chadema.
View attachment 3001416
Unasema uongo bila hata aibu! Fatma amesema wapi kuwa hatachangia mpaka suala la bima litakapowekwa wazi? Yeye amesema ni wajib wake kuchangia.

Hilo la bima ni ushauri tu na sio sharti. Kuwa ingekuwa vyema kama Lissu angeeleza kama alilipwa chochote kutokana na Bima ya gari.

Amandla...
 
Kupitia akaunti yake ya X mwanamama mwenye misimamo mikali Bi Fatma Karume amehoji juu ya sintofahamu ya michango ya Lissu.
Amehoji kwa nini asilipwe gari na bima wakati gari ilikuwa na bima?

Ametaka huu ukakasi uondolewe ndio achangie.

Na mimi namuunga mkono kwenye hili.

Tundu asije tufanyia ujanja wa kuchukua michango ya wananchi na kuzunguka kampuni ya bima kuchukua hela zake.

Tuwe makini na hii michango isiyokuwa na auditing ambayo imeshamiri kwenye chadema.
View attachment 3001416
Kwamba bima itakubali kulipia alafu gari wamuachie Lissu?

Alafu ile gari inahitaji matengenezo iweje bima ilipe gharama za gari lote ili hali gari ni la matengenezo?

Maana sababu kubwa ya wananchi kuchangia ni gari kubaki kua kama kumbukumbu,(libaki kama lilivyo baada ya kushambuliwa)
 
Kuna ukakasi mwingi sana atoke adharani aseme kuhusu hii sintofahamu. Kukaa kimya wenye akili timamu na uelewa wanabaki na maswali yasiyo majawabu.
Gari limekaa miaka 7 + polisi bima itoke wapi no renew by police na halikupata ajali as such. waulizwe police km waliongeza muda kutoa ni moyo siyo shuruti wacha wengine wachangie tu
 
Kupitia akaunti yake ya X mwanamama mwenye misimamo mikali Bi Fatma Karume amehoji juu ya sintofahamu ya michango ya Lissu.
Amehoji kwa nini asilipwe gari na bima wakati gari ilikuwa na bima?

Ametaka huu ukakasi uondolewe ndio achangie.

Na mimi namuunga mkono kwenye hili.

Tundu asije tufanyia ujanja wa kuchukua michango ya wananchi na kuzunguka kampuni ya bima kuchukua hela zake.

Tuwe makini na hii michango isiyokuwa na auditing ambayo imeshamiri kwenye chadema.
View attachment 3001416
Alipwe kwa Insurance Policy cover ipi?
 
Ila chadema ni mataaira[emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa anataka gari la milioni 30 na watu wanamchangia, kwani lissu alikua anafanya kazi gani kabla hajawa mbunge? [emoji1787] yani cdm wakiishika hii nchi kuiongoza mi nahamia guantanamo[emoji1787] na wanachama wanachangia eti ni WAJIB[emoji1787]
Mtoto wa Kiume kuongea huku unachekacheka hovyo si dalili nzuri, jikaze
 
Back
Top Bottom