Mpigania uhuru wa pili
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 3,380
- 6,376
Gari lipo kwenye uchunguzi alafu ukalichukuwe polisi hizi akili za wapiGari kukaa miaka 7 polisi sio ishu. Bima walishapewa taarifa wakati wa tukio, hujui ilo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gari lipo kwenye uchunguzi alafu ukalichukuwe polisi hizi akili za wapiGari kukaa miaka 7 polisi sio ishu. Bima walishapewa taarifa wakati wa tukio, hujui ilo?
Hakuna aliyelazimishwa kuchangia ingekua ni lazima kuchangia angetoka aweke mambo sawaLissu atoke aweke mambo clear asitumie upepo wa huruma ya risasi 37 kugeuza raia mtaji. Kuna vitu vinatia mashaka integrity yake.
Naona huelewi unachokizungimza, mambo yakiwa clear hata wewe utakuwa unajua unachotetea. Hapa ni kama umefungwa kitambaa cheusi machoni alafu unajaribu kujibu mashambulizi ya ngumi.Gari lipo kwenye uchunguzi alafu ukalichukuwe polisi hizi akili za wapi
Halafu na wewe uache ututusaSiamini kama mwanasheria Fatma anaweza kuyasema haya. Unataka kutuaminisha kuwa Fatma hajui kanuni za bima!!
Bima ina-cover kile kipindi tu ambacho bima yako bado ni hai.
Ndio kuchangia ni hiari ila Lissu ni public figure tunatakiwa tusiwe na mashaka kwenye integrity yake.Hakuna aliyelazimishwa kuchangia ingekua ni lazima kuchangia angetoka aweke mambo sawa
Ukitaka usichangie hujalazimishwa
Kivip nawakati kuchangia ni hiari na sio lazimaNaona huelewi unachokizungimza, mambo yakiwa clear hata wewe utakuwa unajua unachotetea. Hapa ni kama umefungwa kitambaa cheusi machoni alafu unajaribu kujibu mashambulizi ya ngumi.
Kama unaona ni udanganyifu usichangie kwani umelazimishwaNdio kuchangia ni hiari ila Lissu ni public figure tunatakiwa tusiwe na mashaka kwenye integrity yake.
Tunapoona kuna dosari na dalili za udanganyifu lazima tumuulize maswali. Hapa tunazungimzia mkosoaji mkubwa wa serikali na presidential candidate wa 2025
Wanaofuatilia habari za lisu nao ni vichaa kabisa. Tangu alipobadili msimamo na kuanza kushabikia makampuni ya madini akina bariki anahangaika huku na kule kuomba info ili azitumie kuharibu taswira ya nchi enzi za Dkt Magufuli akishirikiana na akina Dkt Kafumu etc, lisu brainwashed matopeKupitia akaunti yake ya X mwanamama mwenye misimamo mikali Bi Fatma Karume amehoji juu ya sintofahamu ya michango ya Lissu.
Amehoji kwa nini asilipwe gari na bima wakati gari ilikuwa na bima?
Ametaka huu ukakasi uondolewe ndio achangie.
Na mimi namuunga mkono kwenye hili.
Tundu asije tufanyia ujanja wa kuchukua michango ya wananchi na kuzunguka kampuni ya bima kuchukua hela zake.
Tuwe makini na hii michango isiyokuwa na auditing ambayo imeshamiri kwenye chadema.
View attachment 3001416
Ni jukumu letu kukemea na kuhoji wizi na udanganyifu wa kiongozi yoyote wa umma, awe serikalini au upinzani. Lissu anajipa kinga lakini kuna ukakasi kwenye nyendo zake haswa inapokuja michango anayowakamua maskini wenye shida nyingi kuliko yeye. Ana historia ya kupata double double na zote akatafuna.Kama unaona ni udanganyifu usichangie kwani umelazimishwa
Lissu hajaomba maaada bali ni watu wenye utu ndio wameona hivyo. Yaani ni kama sadaka ambayo ni jambo la hiari. Kama hauna pesa au moyo wa utoaji pita kule ila sisi wana Chadema utoaji ni asili yetuSawa, lakini lazima tuhoji usafi wa kila mwanasiasa regardless ni nani
Kumbu kumbu au limbukeniKuhusu Bima nionavyo Mimi wangemlipa, like Gari wangechukua na kuliuza au kuliharibu, wakati Lissu alilihitaji kama kumbukumbu.
Hongera sana jf kwa kuwa na hazina ya watu wenye ueledi mkubwa Sana.Bima huwa ni mwaka moja tuu, hii gari ya Lissu ilikuwa polisi tangia September 2017kwa hiyo bima ili expire zamani sana na Polisi siyo jukumu lao ku renew
Huo mchango ulitangazwa na cdm kama chama au aliuomba Lissu kama Lissu?Kwenye suala la bima Fatma yuko spot on...CDM wawe makini sana kwenye hili tusije tukaanza kuwafananisha na ma CCM
Amesema hajalipwa pesa yeyote ya matibabu na serikali. Amesema amelipwa sehemu tu ya kiinua mgongo alichostahili kulipwa. Sehemu kubwa ya malipo hayo yalichukuliwa kufidia mkopo aliochukua wa kununulia gari. Pesa aliyopokea haikufika milioni 10. Kwa vile serikali na Bunge hawajakanusha, naamini alisema ukweli. Mambo mengi mnamsingizia ili kumchafua.Lissu ana historia ya kuchangiwa pesa za matibabu na wananchi masikini kisha baadae akapewa na serikali na hakurudisha. Akapata pote pote. Amekosa integrity
Ukiwa na fedhaaa unatoa hata bila ya kuwa na vijiswali vya njaa njaaaKuna ukakasi mwingi sana atoke adharani aseme kuhusu hii sintofahamu. Kukaa kimya wenye akili timamu na uelewa wanabaki na maswali yasiyo majawabu.
Asante sana mkuu hata Mimi nimejikuta natoa mchango wangu tena bila ya kuibua maswaliHajaombwa mchango na wala sio lazima yeye kuchanga wanao jisikia kuchanga bila kihoji watanga tuu
Wazo zuri sanaKuhusu Bima nionavyo Mimi wangemlipa, like Gari wangechukua na kuliuza au kuliharibu, wakati Lissu alilihitaji kama kumbukumbu.
Unahoji kama nani wewe?Sawa, lakini lazima tuhoji usafi wa kila mwanasiasa regardless ni nani