Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Lissu hawezi kuja kujibu hoja mfu kama zako hiziLissu ajitokeze aseme nini kinaendelea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lissu hawezi kuja kujibu hoja mfu kama zako hiziLissu ajitokeze aseme nini kinaendelea
Tutachanga sana na kama imekuuma basi ichomoendiyo mjue kwamba mnadanganywa mengi sana, wameshalewa power walio nayo juu yenu na wameonyesha haina ukomo lkn pia hakuna aliyelazimishwa kumchangia bilionea ni uamuzi wenu …
Ana kihelehele
Amandlaaaaaa, umkomthowesizwe [emoji123]Unasema uongo bila hata aibu! Fatma amesema wapi kuwa hatachangia mpaka suala la bima litakapowekwa wazi? Yeye amesema ni wajib wake kuchangia.
Hilo la bima ni ushauri tu na sio sharti. Kuwa ingekuwa vyema kama Lissu angeeleza kama alilipwa chochote kutokana na Bima ya gari.
Amandla...
Waambie hao wasiyo aminiKwamba bima itakubali kulipia alafu gari wamuachie Lissu?
Alafu ile gari inahitaji matengenezo iweje bima ilipe gharama za gari lote ili hali gari ni la matengenezo?
Maana sababu kubwa ya wananchi kuchangia ni gari kubaki kua kama kumbukumbu,(libaki kama lilivyo baada ya kushambuliwa)
Hata ukijinyonga kajinyonge tu maana huna faida yoyote kwenye jamii ya watanzania.Ila chadema ni mataaira[emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa anataka gari la milioni 30 na watu wanamchangia, kwani lissu alikua anafanya kazi gani kabla hajawa mbunge? [emoji1787] yani cdm wakiishika hii nchi kuiongoza mi nahamia guantanamo[emoji1787] na wanachama wanachangia eti ni WAJIB[emoji1787]
Anaitwa Dr wa meno by professional [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naomba link uliyohoji usafi wa makamu mwenyekiti wa CM ndugu kinana?
Ubarikiwe,ebu tukaache hako kashangaziGari limekaa miaka 7 + polisi bima itoke wapi no renew by police na halikupata ajali as such. waulizwe police km waliongeza muda kutoa ni moyo siyo shuruti wacha wengine wachangie tu
Afadhali mkuu ebu tupe ABCAlipwe kwa Insurance Policy cover ipi?
KashazoeshwaMtoto wa Kiume kuongea huku unachekacheka hovyo si dalili nzuri, jikaze
Wacha hao ndumila kuwili wa lumumba wajifurahisheSiamini kama mwanasheria Fatma anaweza kuyasema haya. Unataka kutuaminisha kuwa Fatma hajui kanuni za bima!!
Bima ina-cover kile kipindi tu ambacho bima yako bado ni hai.
Wewe ni zaidi ya nguchiroTundu Lissu ameomba huruma kwa wananchi wamchangie ili apate gari lingine, alivyo mjanja sasa alikaa na Maria sarungi ambaye hana shughuli za kufanya wakatengeneza dili LA kupiga hela,kwamba maria aanzishe mchango na Kisha atakula 10%, kimsingi gari la lissu lilikuwa na bima na lissu ni lawyer na anajua madhara yakuendesha gari bila bima, ss inakuwaje unaomba uchangiwe hela ukanunue gari wakati gari ilikuwa na insurance, halafu tang uanzishe harakati hizo na kimada wako kwanin chama chako kimekaa kimya hakiungi mkono jambo hilo? Unajifanya mwadilifu kumbe mwizi tu kama walivyo wezi wenzio.
Unakosea. Malipo ya Bima ni wakati tukio lilipotokea, sio baada. Ukiongelea Bima baada ina maana angeendelea kulipa Bima baada ya gari kuharibiwa.Bima huwa ni mwaka moja tuu, hii gari ya Lissu ilikuwa polisi tangia September 2017kwa hiyo bima ili expire zamani sana na Polisi siyo jukumu lao ku renew
WaulizeHivi kwani kuna sehemu Mh aliomba achangiwe au ni wananchi kwa mapenzi yao waliamua tu kumchangia?
Unawazo zuri japo linahitaji ufafanuzi na wahusika wa BimaBima huwa ni mwaka moja tuu, hii gari ya Lissu ilikuwa polisi tangia September 2017kwa hiyo bima ili expire zamani sana na Polisi siyo jukumu lao ku renew
Fatima aelimishwe. Lengo ni kwamba gari lisitengenezwe ili libaki kama kumbukumbu ya harakati za demokrasia katika kipindi cha Magufuli. Michango haifanywi kwa kuwa Bima hawajalipa au hawatalipa, au Tundu amesema hawezi kutengeneza. Tundu ameombwa asilitengeneze gari na achangiwe jingine ili hilo lenye matundu 30 ya risasi libaki kama memorabia.Kupitia akaunti yake ya X mwanamama mwenye misimamo mikali Bi Fatma Karume amehoji juu ya sintofahamu ya michango ya Lissu.
Amehoji kwa nini asilipwe gari na bima wakati gari ilikuwa na bima?
Ametaka huu ukakasi uondolewe ndio achangie.
Na mimi namuunga mkono kwenye hili.
Tundu asije tufanyia ujanja wa kuchukua michango ya wananchi na kuzunguka kampuni ya bima kuchukua hela zake.
Tuwe makini na hii michango isiyokuwa na auditing ambayo imeshamiri kwenye chadema.
View attachment 3001416
Tatizo kubwa la JF ni kuwa kila mtu ana haki ya kuitwa mwana JF na kutoa maoni yakeIla chadema ni mataaira🤣🤣🤣 sasa anataka gari la milioni 30 na watu wanamchangia, kwani lissu alikua anafanya kazi gani kabla hajawa mbunge? 🤣 yani cdm wakiishika hii nchi kuiongoza mi nahamia guantanamo🤣 na wanachama wanachangia eti ni WAJIB🤣
Ni kweli kuchangia siyo lazima, lakini usisahau kuwa Tundu Lisu ni mwanasiasa, kila kinachofanywa na mwanasiasa ni hoja.Hajaombwa mchango na wala sio lazima yeye kuchanga wanao jisikia kuchanga bila kihoji watanga tuu
Bora nijinyonge huku nikihakikisha chadema haiingii madarakaniHata ukijinyonga kajinyonge tu maana huna faida yoyote kwenye jamii ya watanzania.