johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Bima ya nini? 🐼Kwenye suala la bima Fatma yuko spot on...CDM wawe makini sana kwenye hili tusije tukaanza kuwafananisha na ma CCM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bima ya nini? 🐼Kwenye suala la bima Fatma yuko spot on...CDM wawe makini sana kwenye hili tusije tukaanza kuwafananisha na ma CCM
Unajua Bima ni nini? 🐼Kuhusu Bima nionavyo Mimi wangemlipa, like Gari wangechukua na kuliuza au kuliharibu, wakati Lissu alilihitaji kama kumbukumbu.
Kwenye suala la bima Fatma yuko spot on...CDM wawe makini sana kwenye hili tusije tukaanza kuwafananisha na ma CCM
Kupitia akaunti yake ya X mwanamama mwenye misimamo mikali Bi Fatma Karume amehoji juu ya sintofahamu ya michango ya Lissu.
Amehoji kwa nini asilipwe gari na bima wakati gari ilikuwa na bima?
Ametaka huu ukakasi uondolewe ndio achangie.
Na mimi namuunga mkono kwenye hili.
Tundu asije tufanyia ujanja wa kuchukua michango ya wananchi na kuzunguka kampuni ya bima kuchukua hela zake.
Tuwe makini na hii michango isiyokuwa na auditing ambayo imeshamiri kwenye chadema.
View attachment 3001416MBONA INAWAUMA SANA TL KUCHANGIWA?
Wanamkomoa Magufuli.Ila chadema ni mataaira🤣🤣🤣 sasa anataka gari la milioni 30 na watu wanamchangia, kwani lissu alikua anafanya kazi gani kabla hajawa mbunge? 🤣 yani cdm wakiishika hii nchi kuiongoza mi nahamia guantanamo🤣 na wanachama wanachangia eti ni WAJIB🤣
Hapo sawa🤣 wakazane kidogo anakaribia kufufukaWanamkomoa Magufuli.
Ndiyo maana nimesema inabidi ifafanuliwe...si kila mtu anauelewa kama wako mkuu. CCM wanafeli mara nyingi kutoa clarifications kwenye mambo mengi mpaka inapotokea taharuki ndiyo wanajitokeza kufafanua....vitu vidogo kama hivi vikitumiwa vizuri na ccm michango itapungua sanaaSiamini kama mwanasheria Fatma anaweza kuyasema haya. Unataka kutuaminisha kuwa Fatma hajui kanuni za bima!!
Bima ina-cover kile kipindi tu ambacho bima yako bado ni hai.
Ni CCM au CHADEMA?Ndiyo nimesema inabidi ifafanuliwe...si kila mtu anauelewa kama wako mkuu. CCM wanafeli mara nyingi kutoa clarifications kwenye mambo mengi mpaka inapotokea taharuki ndiyo wanajitokeza kufafanua....vitu vidogo kama hivi vikitumiwa vizuri na ccm michango itapungua sanaa
Lissu ana historia ya kuchangiwa pesa za matibabu na wananchi masikini kisha baadae akapewa na serikali na hakurudisha. Akapata pote pote. Amekosa integrityUnasema uongo bila hata aibu! Fatma amesema wapi kuwa hatachangia mpaka suala la bima litakapowekwa wazi? Yeye amesema ni wajib wake kuchangia.
Hilo la bima ni ushauri tu na sio sharti. Kuwa ingekuwa vyema kama Lissu angeeleza kama alilipwa chochote kutokana na Bima ya gari.
Amandla...
Gari kukaa miaka 7 polisi sio ishu. Bima walishapewa taarifa wakati wa tukio, hujui ilo?Gari limekaa miaka 7 + polisi bima itoke wapi no renew by police na halikupata ajali as such. waulizwe police km waliongeza muda kutoa ni moyo siyo shuruti wacha wengine wachangie tu
Serikali ya Ccm...kwenye issue nyingi mpaka inapotokea taharuki ndiyo wanajitokeza....sasa chadema inabidi wawe proactive sanaNi CCM au CHADEMA?
Amewageuza wafuasi wa chama chake kama wanavyofanya kina Mwamposa. Hakuna tofauti yoyote.Tundu Lissu ameomba huruma kwa wananchi wamchangie ili apate gari lingine, alivyo mjanja sasa alikaa na Maria sarungi ambaye hana shughuli za kufanya wakatengeneza dili LA kupiga hela,kwamba maria aanzishe mchango na Kisha atakula 10%, kimsingi gari la lissu lilikuwa na bima na lissu ni lawyer na anajua madhara yakuendesha gari bila bima, ss inakuwaje unaomba uchangiwe hela ukanunue gari wakati gari ilikuwa na insurance, halafu tang uanzishe harakati hizo na kimada wako kwanin chama chako kimekaa kimya hakiungi mkono jambo hilo? Unajifanya mwadilifu kumbe mwizi tu kama walivyo wezi wenzio.
Na sidhan bima ina-cover gari lililoshambuliwa na majambaziSiamini kama mwanasheria Fatma anaweza kuyasema haya. Unataka kutuaminisha kuwa Fatma hajui kanuni za bima!!
Bima ina-cover kile kipindi tu ambacho bima yako bado ni hai.
Kwani wafuasi wake wamelazishwa kuchangia hii nchi ina-wajinga wengi sanaAmewageuza wafuasi wa chama chake kama wanavyofanya kina Mwamposa. Hakuna tofauti yoyote.
Matapeli chadema nikisema .....Kupitia akaunti yake ya X mwanamama mwenye misimamo mikali Bi Fatma Karume amehoji juu ya sintofahamu ya michango ya Lissu.
Amehoji kwa nini asilipwe gari na bima wakati gari ilikuwa na bima?
Ametaka huu ukakasi uondolewe ndio achangie.
Na mimi namuunga mkono kwenye hili.
Tundu asije tufanyia ujanja wa kuchukua michango ya wananchi na kuzunguka kampuni ya bima kuchukua hela zake.
Tuwe makini na hii michango isiyokuwa na auditing ambayo imeshamiri kwenye chadema.
View attachment 3001416