Stupidest post of the yearMbowe yupo sahii sana.
Mapenzi ya Mbowe kwa Watanzania ni makubwa mno, ndio maana wazanzibari wakamfananisha na swahaba wa mtume, Abubakar.
Watanzania wote tupewe chanjo ili kudhibiti maambukizi.
M/Mungu akuweke Abubakar Mbowe.
Kwani mkipata chanjo ya corona ndio hamtakufa tena?Mbowe anatujari sana watanzania anajua tutateketea tusipopewa Chanjo.
MaCCM si wakuwaamini tena.
Mbowe yupo sahii #TunatakaChanjo...
Pale mpumbavu unapojitia kujua mambo wakati ni zumbukuku tu. tulia uchanjwe usisambaze maambukizi kwa ujinga ulionao. Mimi naitaka chanjo.Zikiletwa nenda kachanjwe wewe na ukoo wako wote, wengine tuache. Huko Uganda na Kenya wengi wa waliochanjwa wameshaanza kuonja joto ya jiwe ya side effects za chanjo. Na wengi wameshazikwa na serikali zao zipo kimya. Ila Raisi Samia ana taarifa zote ndo maana anasuasua kuleta hizo chanjo.
Huyo Trillion na Mbowe wanaongea wakiwa wamejawa na msongo wa mawazo.Mwendawazimu ni wewe. Kwani nani ambae hajawahi kufiwa? Kila mtu aliefiwa ni corona? Au huyo Shangazi yako ndo wa kwanza kufa kwenye familia yenu mpaka ulalamike? Watu wamechomwa hizo chanjo na bado wamepata maambukizi hujiulizi? Marekani wamewachanja watu wao na bado maambukizi yameongezeka. Mwendawazimu mkubwa weee?
Uchanjwe tudhibiti maambiukizi kusambaaKwani mkipata chanjo ya corona ndio hamtakufa tena?
Mbowe yupo kwenye payroll ya Astrazeneca...Narudia, katika hili, Mbowe kakosea sana na sijui nani kamshauri.
Ni vema arekebishe kauli au aifute.
Hizi chanjo bado zina utata mwingi hivyo si busara kuja na hiyo kauli unless kuna ambazo zineshathibitishwa kuwa hazina madhara kwa walio wengi.
Hayo ni maoni yake kakosea dhidi ya standard ipi ?Narudia, katika hili, Mbowe kakosea sana na sijui nani kamshauri.
Ni vema arekebishe kauli au aifute.
Hizi chanjo bado zina utata mwingi hivyo si busara kuja na hiyo kauli unless kuna ambazo zineshathibitishwa kuwa hazina madhara kwa walio wengi.
Narudia, katika hili, Mbowe kakosea sana na sijui nani kamshauri.
Ni vema arekebishe kauli au aifute.
Hizi chanjo bado zina utata mwingi hivyo si busara kuja na hiyo kauli unless kuna ambazo zineshathibitishwa kuwa hazina madhara kwa walio wengi.
Watanzania wote tupewe Chanjo kama inapatikana ili kudhibiti maambukizi.Chadema na mbowe wote ni wapumbavu, wewe kama unataka chanjo bc tuliza hilo wezere subiri hy chanjo na sio kusema ni lazima.
Wale waliopigia kampeni nyungu mpaka lile jinamizi likafa wanamzidi nini Mbowe ?Tatizo la Mbowe ni mbumbumbu na kutokwenda shule
Aliuguliwa na mwanae na baadae kafariki kaka yakeUchungu wa kufiwa..... Wengi hawataweza kumuelewa.
Mbowe alishachanjwa siku nyingi huko ughaibuni na amebaini kuwa hiyo chanjo ni kifo cha kujitakia na sasa anataka sote tufe,kaka alichanja na kaondoka,huko kwa watengeneza dawa kwenyewe watu hawalazimishwi sembuse sisi.Narudia, katika hili, Mbowe kakosea sana na sijui nani kamshauri.
Ni vema arekebishe kauli au aifute.
Hizi chanjo bado zina utata mwingi hivyo si busara kuja na hiyo kauli unless kuna ambazo zineshathibitishwa kuwa hazina madhara kwa walio wengi.
Unakubaliana na JPM na unatofautiana na Mwenyekiti wa Maisha. Safi sana, bado kina Chakaza na wenzakeNarudia, katika hili, Mbowe kakosea sana na sijui nani kamshauri.
Ni vema arekebishe kauli au aifute.
Hizi chanjo bado zina utata mwingi hivyo si busara kuja na hiyo kauli unless kuna ambazo zineshathibitishwa kuwa hazina madhara kwa walio wengi.
Vipi kwenye kudhiti maambuzi. Mbowe anaposema iwe lazima anaamanisha , tuchanjwe tudhibiti maambukizi ili maisha yaendelelee.Mkuu heshima kwako.
Ulazima hauko kwenye kulazimishana kwenda kuchanjwa...
HahahahaaaaKwani mkipata chanjo ya corona ndio hamtakufa tena????