#COVID19 Fatma Karume: Hakuna chanjo ya lazima. Haki za Binadamu zinataka faragha hususan wa mwili wako

#COVID19 Fatma Karume: Hakuna chanjo ya lazima. Haki za Binadamu zinataka faragha hususan wa mwili wako

Udalali mkubwa mkubwa huu, mara nyingi tamaa uupofusha ubongo....

Utaona ata kwenye issue ya Tozo vile aliwagusi awana time, badae wanataka tuingie barabaran kudai chanjo na katiba.
 
Narudia, katika hili, Mbowe kakosea sana na sijui nani kamshauri.

Ni vema arekebishe kauli au aifute.

Hizi chanjo bado zina utata mwingi hivyo si busara kuja na hiyo kauli unless kuna ambazo zineshathibitishwa kuwa hazina madhara kwa walio wengi.
Ahaa umeanza tartiiibu kumpindua mwenye kiti
 
Mwendawazimu ni wewe. Kwani nani ambae hajawahi kufiwa? Kila mtu aliefiwa ni corona? Au huyo Shangazi yako ndo wa kwanza kufa kwenye familia yenu mpaka ulalamike? Watu wamechomwa hizo chanjo na bado wamepata maambukizi hujiulizi? Marekani wamewachanja watu wao na bado maambukizi yameongezeka. Mwendawazimu mkubwa weee?
Na mimi nakuunga mkono yey na Mbowe wake ndio wendawazimu, hawa akina Mbowe walishachanjwa siku nyingi na wanaondoka.
 
Uthibitisho mwingine wa udikteta wa Mbowe na kutokujali kwake haki za binadamu.
Mbowe hana uwezo wa kulazimisha chochote nchini; hawezi kuwa dikteta; sio kiongozi wa nchi. Katoa tu maoni yake kuhusu chanjo ya Covid-19. No need to overrate him.

Mimi binafsi siungi mkono wazo la chanjo kuwa lazima ingawa naelewa nia Mbowe. Haki zangu za binadamu haziwezi kuathiriwa na maoni ya mtu binafsi.
 
Mwendawazimu ni wewe. Kwani nani ambae hajawahi kufiwa? Kila mtu aliefiwa ni corona? Au huyo Shangazi yako ndo wa kwanza kufa kwenye familia yenu mpaka ulalamike? Watu wamechomwa hizo chanjo na bado wamepata maambukizi hujiulizi? Marekani wamewachanja watu wao na bado maambukizi yameongezeka. Mwendawazimu mkubwa weee?
Vumilia mkuu sina huruma na KICHAA yule napiga mpaka mpaka na mavi yake.
 
Ikishafikia hatua kutokuchanja kwako kunahatarisha maisha ya wengine basi hakuna jinsi inabidi uchanjwe kwa lazima
Hivyo ndivyo kwa chanjo zote ambazo zinalenga kuondoa magonjwa yote hatari kwa halaiki , ndiyo maana Mgambo hupelekwa vijijini kusimamia uchanjaji
 
Is Mbowe this naive and uninformed?

Or is he overly emotional after the recent demise in his family?
 
Ikishafikia hatua kutokuchanja kwako kunahatarisha maisha ya wengine basi hakuna jinsi inabidi uchanjwe kwa lazima
Hivyo ndivyo kwa chanjo zote ambazo zinalenga kuondoa magonjwa yote hatari kwa halaiki , ndiyo maana Mgambo hupelekwa vijijini kusimamia uchanjaji
Mijitu humu inamabichwa lakini haina akili.
Mbowe ameshauli ili kudhibiti maambukizi na maisha yaendelee. Kama chanjo ipo , tuchanjwe tu wote.
 
"Hakuna CHANJO ya lazima. HAKI za Binadamu zinataka FARGHA hususan wa MWILI wako. Serikali haiwezi kukuingilia mwili wako isipokuwa pale Mahakama inatoa order Na kama kuna SHERIA lazim iwe proportionate to social needs etc…."- Fatma Karume

Kisheria statement hii iko sawa. Yaani kinadharia statement hiyo iko sahihi.

Lakini ki afya, kitalaamu na kiserikali (yaani kiutekelezaji) ni lazima watu wengi kwa kadri iwezekanavyo na ikibidi wote wachanjwe. Vinginevyo chanjo (kitalaamu) haitakuwa na maana.

Hiki ndicho Mwamba Mbowe bila shaka alikuwa akikimaanisha.

Kuhakikisha chanjo ni hiari kinadharia lakini si hiari kiuhalisia, ulazima hauko kwenye kulazimishana kwa fimbo au mabunduki kwenda kuchanjwa. Ulazima unakuja hivi:

1. Kusafiri onyesha proof ya chanjo
2. Kusajiliwa mahali onyesha proof ya chanjo
3. Kuingia mahali onyesha proof ya chanjo
4. Nk nk.

Hapo ndipo mzizi wa fitna ulipo.

Utajikuta mwenyewe kwenye fix tu, kama kwenye barakoa ulivyokuwa ambazo pia ni hiari.

Leo hii ofisi, hospitali au sehemu gani serious utaingia bila barakoa? Ndiyo shuruti zenyewe hizo. Hutaki usiingie maana kuingia si lazima pia.

Mwamba Mbowe yuko vizuri kwani kitalaamu njia zote ni lazima zitumike kuwataka watu kuchanjwa kwa hiari ikibidi kwa mjeledi (in the extreme) kwani ni kwa faida yao.

Hata hapa serikali itafuata utaratibu huo huo. Mbowe ni wa kupongezwa kwa kuwa muwazi. Chanjo ni kwa faida yetu.

Cc: denooJ BAK Salary Slip technically
 
Wale waliopigia kampeni nyungu mpaka lile jinamizi likafa wanamzidi nini Mbowe ?
Haa just haa.. nimecheka sana mkuu..
Ila wasamehe tu bure sio kosa lao ni TEUZI zimewafanya waambukizwe uandawazimu wa yule KICHAA.
 
Mijitu humu inamabichwa lakini haina akili.
Mbowe ameshauli ili kudhibiti maambukizi na maisha yaendelee. Kama chanjo ipo , tuchanjwe tu wote.
Huo ushauri ni wa kijinga.

Kwa sababu maadili ya kitabibu yanakataza kulazimisha watu kuchanjwa.

Kuchanja ni jambo la hiyari.

Hiki ni suala ya maadili ya kitabibu yanayokubalika karibu dunia nzima.

Pia, si kila mtu anafikia vigezo vya kuchanja.
 
Vipi kwenye kudhiti maambuzi. Mbowe anaposema iwe lazima anaamanisha , tuchanjwe tudhibiti maambukizi ili maisha yaendelelee.
Kama chanjo itapatikana
Ni hivi Mbowe anaongea akitambua kiwango cha upotoshaji kilichofanyika tayari kwa watu very ignorant.

Kumbuka serikali haijatangaza cases za Corona tokea Apr 2020. Kwa maana kuwa Corona haipo.

Chanjo zinasaidia kuwa hata ukiambukizwa hali haiwi mbaya sana.
 
Kisheria statement hii iko sawa. Yaani kinadharia statement hiyo iko sahihi.

Lakini ki afya, kitalaamu na kiserikali (yaani kiutekelezaji) ni lazima watu wengi kwa kadri iwezekanavyo na ikibidi wote wachanjwe. Vinginevyo chanjo (kitalaamu) haitakuwa na maana.

Hiki ndicho Mwamba Mbowe bila shaka alikuwa akikimaanisha.

Kuhakikisha chanjo ni hiari kinadharia lakini si hiari kiuhalisia ulazima hauko kwenye kulazimishana na fimbo au mabunduki kwenda kuchanjwa. Ulazima unakuja hivi:

1. Kusafiri onyesha proof ya chanjo
2. Kusajiliwa mahali onyesha proof ya chanjo
3. Kuingia mahali onyesha proof ya chanjo
4. Nk nk.

Hapo ndipo mzizi wa fitna ulipo.

Utajikuta mwenyewe kwenye fix tu, kama kwenye barakoa ulivyokuwa ambazo pia ni hiari.

Leo hii ofisi, hospitali au sehemu gani serious utaingia bila barakoa? Ndiyo shuruti zenyewe hizo. Hutaki usiingie maana kuingia si lazima pia.

Mwamba Mbowe yuko vizuri kwani kitalaamu njia zote ni lazima zitumike kuwataka watu kuchanjwa kwa hiari ikibidi kwa mjeledi (in the extreme) kwani ni kwa faida yao.

Hata hapa serikali itafuata utaratibu huo huo. Mbowe ni wa kupongezwa kwa kuwa muwazi. Chanjo ni kwa faida yetu.

Cc: denooJ BAK Salary Slip technically
Mwenye masikio na asikie. Asante mkuu, umefunga mjadala.
 
Back
Top Bottom