Mbowe ana hoja.
1. Ikumbukwe huku takwimu za Corona hazijatolewa na serikali tangia Apr 2020.
2. Katika kipindi hicho watu wameaminishwa Corona haipo.
3. Wakaaminishwa chanjo ni kuwauwa wao kama watanzania.
4. Upotoshwaji huo umejengwa vilivyo kwenye wengi ambao ni very ignorant.
Logically chanjo haina maana kama idadi ya kutosha ya walio tayari kuchanjwa haitapatikana.
Kuwapata wa kutosha njia zote zitabidi kutumika. Zikiwamo elimu, ushawishi na hata mjeledi ikibidi.
Ng'ombe asiyetaka kurejea zizini kuliko salama ni sahihi kumweka bakora.
Welcome to Africa, where as a nation we have managed to kick out Corona in 3 days of prayers, chaired by our president his excellency mwendazake.