#COVID19 Fatma Karume: Hakuna chanjo ya lazima. Haki za Binadamu zinataka faragha hususan wa mwili wako

#COVID19 Fatma Karume: Hakuna chanjo ya lazima. Haki za Binadamu zinataka faragha hususan wa mwili wako

Narudia, katika hili, Mbowe kakosea sana na sijui nani kamshauri.

Ni vema arekebishe kauli au aifute.

Hizi chanjo bado zina utata mwingi hivyo si busara kuja na hiyo kauli unless kuna ambazo zineshathibitishwa kuwa hazina madhara kwa walio wengi.
Kama unamjua baba mzazi wa Mbowe huwezi kusema kuwa kwa kauli hiyo Mbowe kakosea. Ndiyo waasisi wa jezi za timu ya Yanga hao.
 
"Hakuna CHANJO ya lazima. HAKI za Binadamu zinataka FARGHA hususan wa MWILI wako. Serikali haiwezi kukuingilia mwili wako isipokuwa pale Mahakama inatoa order Na kama kuna SHERIA lazim iwe proportionate to social needs etc…."- Fatma Karume
Kwani huyu Dada hajachanjwa bado?!!
 
Mbowe yupo sahii sana.
Mapenzi ya Mbowe kwa Watanzania ni makubwa mno, ndio maana wazanzibari wakamfananisha na swahaba wa mtume, Abubakar.
Watanzania wote tupewe chanjo ili kudhibiti maambukizi.
M/Mungu akuweke Abubakar Mbowe.

Ww na mbowe wote ni pisi kal tu
 
Vipi kwenye kudhiti maambuzi. Mbowe anaposema iwe lazima anaamanisha , tuchanjwe tudhibiti maambukizi ili maisha yaendelelee.
Kama chanjo itapatikana
Mwambie huyo Mbowe wako kama anataka kudhibiti maambukizi aachane na vikongamano uchwara vya maigizo yenu ya katiba anavyohamasisha kufanyika kila siku
 
Siyo usukule, ni common sense tu

Nchi ikifikia point tuko hatarini hadi kwenye stage ya survival, watu watalazimishwa tu wachanjwe watake wasitake. Siombei tufike huko!
Hakuna chanjo ya lazima Mkuu. Elewa hivyo.

Halafu watu hawafanani kinga. Kuna watu dunia hii, hii hata UKIMWI ni kama mafua tu na kuna wanakufa kwa Mafua tu.

Mimi sipingi chanjo, na kwa sehemu nilipo nadhani nitachanjwa ila sioni ulazima wowote wa kuchanja kila mtu.

Kwanza sidhani kama kila nchi imefanya hivyo.

Pili, nchi hii ina watu karibia 60M lakini serikali imeagiza chanjo 300,000 tu. Ukitoa zitakazoharibika maana miundombinu yetu tunaijua wenyewe.

Mambo mengine yote yatakwama kama nchi itaagiza chanjo za watu 60M.

Hiyo ni akili ya kawaida tu.
 
Siyo usukule, ni common sense tu

Nchi ikifikia point tuko hatarini hadi kwenye stage ya survival, watu watalazimishwa tu wachanjwe watake wasitake. Siombei tufike huko!
Uingereza imefungulia kila kitu!

Ina maana kule kila mtu kachanjwa?
 
Tatizo lako Shonza ni kupita na waume za waume, afu ujue mwigulu kaoa, na ana bahati mbaya ya kufumaniwa kama mwenzake chawene, wote hawa walifumaniwa singida kwa nyakati tofauti, we endelea nae tu mkewe akikukamata
Wewe ndio mke wa Mwigulu?
 
Ufalme wa shetani umefarakana , yajayo yanafurahisha.
 
Kwenye kutoa maoni hakuna right or wrong - kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake. Ni kama A kusema kuwa na baiskeli ni bora kuliko kuwa na radio kwa sababu kama una mgonjwa unaweza kumbeba na kumpeleka hospitali na B akasema ni bora kuwa na radio kwa sababu unapata habari ambazo zinaweza kukusaidia hata kujua baiskeli zinauzwa wapi na ni bei gani.

Kabla ya kutoa maoni unapima. Unaangalia Wewe Ni Nani nk. So Acha kukariri. Mbowe sio mtu yeyote.
 
Mwendawazimu ni wewe. Kwani nani ambae hajawahi kufiwa? Kila mtu aliefiwa ni corona? Au huyo Shangazi yako ndo wa kwanza kufa kwenye familia yenu mpaka ulalamike? Watu wamechomwa hizo chanjo na bado wamepata maambukizi hujiulizi? Marekani wamewachanja watu wao na bado maambukizi yameongezeka. Mwendawazimu mkubwa weee?

Ama kweli wewe ni kipande!! Ni uthibitisho kuwa wengi wa wanaopinga chanjo ni wale wasio na taarifa kabisa au wanaopata taarifa zao kutoka kwa wenye sababu tofauti na za kisayansi! Hujui mambo mengi kiasi maswali yako yamejaa udwanzi. Unazungumzia maambukizi, nani alikwambia chanjo zinazuia maambukizi?

Kwa taarifa yako, chanjo inakuongezea immunity tu ili ushinde nguvu ya maambukizi - ili ukiambukizwa usifikie kuumwa na kulazwa hospital!! Hivi ni kweli hujui pia kuwa hayo maambukizi yanayoongezeka 97% yako kwa watu ambao hawajachanjwa hata chanjo moja? Hujui ni 49% tu ya wamarekani wamechanjwa?? Katika data ya namna hiyo, ni ajabu kupata watu 24,000 kwa siku walioambukizwa??? Ee Mungu okoa kipande hiki!!

Sio kila mtu aliyekufa amekufa kwa corona, lakini mama yangu alikufa kwa corona! Na hata nilipomwambia ajikinge mwezi mmoja kabla ya mauti - aliniambia Tanzania hakuna corona na Rais kasema!!

Chanjo haizuii kuambukizwa. Inakusaidia kuishinda corona ili usifikie kuumwa na hatimaye mauti!! Taarifa hii wape na wajinga wenzio, labda hata mkichagua kutochanjwa - mjue mmechagua nini. Fanyeni informed decisions!! Au vipi endeleeni kusibiri wengin wawafanyie tafiti ambazo hata wakiwaletea matokea, hamtayaelewa wala kuyakubali isipokuwa kuwa na wasiwasi aina nyingine!!
 
Form six ya zamani sana, ambayo kwa sasa ni kama Phd mbili hivi
Makengeza Mbowe alipata ZERO Ihungo. Sasa hivi anafanya kazi ya kuchunga mifugo 👇👇

images (2).jpeg
 
"Hakuna CHANJO ya lazima. HAKI za Binadamu zinataka FARGHA hususan wa MWILI wako. Serikali haiwezi kukuingilia mwili wako isipokuwa pale Mahakama inatoa order Na kama kuna SHERIA lazim iwe proportionate to social needs etc…."- Fatma Karume
Niliwahi kusema huku mboe ni dikteta na akipewa nchi tumekwisha
 
"Hakuna CHANJO ya lazima. HAKI za Binadamu zinataka FARGHA hususan wa MWILI wako. Serikali haiwezi kukuingilia mwili wako isipokuwa pale Mahakama inatoa order Na kama kuna SHERIA lazim iwe proportionate to social needs etc…."- Fatma Karume
NDIYO UMWAMBIE DJ WENU ANAROPOKAROPOKA TU KISA KALA ZA MABEBERU
 
Hakuna chanjo ya lazima Mkuu. Elewa hivyo.

Halafu watu hawafanani kinga. Kuna watu dunia hii, hii hata UKIMWI ni kama mafua tu na kuna wanakufa kwa Mafua tu.

Mimi sipingi chanjo, na kwa sehemu nilipo nadhani nitachanjwa ila sioni ulazima wowote wa kuchanja kila mtu.

Kwanza sidhani kama kila nchi imefanya hivyo.

Pili, nchi hii ina watu karibia 60M lakini serikali imeagiza chanjo 300,000 tu. Ukitoa zitakazoharibika maana miundombinu yetu tunaijua wenyewe.

Mambo mengine yote yatakwama kama nchi itaagiza chanjo za watu 60M.

Hiyo ni akili ya kawaida tu.
Hakuna wapi? Kama unazungumzia dunia nzima, chanjo za lazima zipo na zinafuata maadili ya kitabibu ipasavyo.

Ni suala la kufanya tafiti za kutosha tu.
 
Back
Top Bottom