#COVID19 Fatma Karume: Hakuna chanjo ya lazima. Haki za Binadamu zinataka faragha hususan wa mwili wako

#COVID19 Fatma Karume: Hakuna chanjo ya lazima. Haki za Binadamu zinataka faragha hususan wa mwili wako

Hakuna wapi? Kama unazungumzia dunia nzima, chanjo za lazima zipo na zinafuata maadili ya kitabibu ipasavyo.

Ni suala la kufanya tafiti za kutosha tu.
🤣🤣🤣 Kwahiyo makengeza Mbowe ndio tabibu na mtafiti wako.

images (2).jpeg
 
Suala la Covid 19 limeathiri watu. Nakubaliana nawe. Lakini si kiasi unachotaka kuuaminisha Umma. Inawezekana wewe na ndugu zako mmeugua na umepoteza ndugu. Pole sana.

Lakini huwezi kuwa sahihi kuwa CHANJO YA CORONA IWE NI SHURUTI. Hamna kitu kama hicho. Mbona sasa hapo utakuwa unakiuka haki za Binadamu?

Haya mambo usiyaongee kwa mihemko au hisia. Inawezekana umeathirika na Corona lakini usichukulie jambo hili kwa pupa,jazba na hisia. Chanjo ya Corona si Lazima na isiwe Lazima. Binafsi siihitaji kwa sasa.
 
Mwanza kunawachawi
CHalamila aliropoka waziwazi nisawa MTU afunge goli flani ukimuliza atakwambia hatasijui nilipgaje Mpira au ajali mbaya ukimuuluza umetokaje hapa atakwambia sijui

Mbowe karopoka

Hiyo ndo mwanza bwana
 
Mbowe yupo sahihi, ni vile umeambukizwa uwandawazimu uwezi elewa.
ili maisha yaendelee lazima tuchanjwe ili kudhibiti maambukizi.
Kama chanjo itapatikana ya kutosha , maana MaCCM na bi, Chokochoko wenu ni waongo waongo mno.
 
Bi Chokochoko ni nani?
Bw Chokonozi alikuwa nani?
 
Ili tuwe open-minded, yatupasa kujadili hoja ya mtu na si mtu husika ama personality yake!

Je, hoja ya chanjo za lazima ni halisi?

Kila mtu ana mapenzi yake katika hili, hilo halipingiki, lakini hilo halitufanyi kupuuza ukweli (facts) uliopo ama unaoweza kuwepo katika hoja hiyo.

Ukweli ni kwamba, zipo sera za kitabibu ambazo zinakubalika duniani kote katika utekelezaji wa chanjo za lazima ama sera nyingine zozote zile zinazohitaji utekelezaji wa lazima katika masuala ya kitabibu.

Ni kweli kwamba, watu wangependa kuamua kupata chanjo au hapana, lakini si kweli kwamba hakuna sera mbadala na za lazima za kitabibu ambazo zinaweza kutumika ili kukabiliana na janga lolote lile la kiafya tena hasa katika ngazi ya kidunia.
 
Mwambie huyo Mbowe wako kama anataka kudhibiti maambukizi aachane na vikongamano uchwara vya maigizo yenu ya katiba anavyohamasisha kufanyika kila siku
Na MaCCM wanaozunguka nchi nzima wale waliocha ndio zao Mombasa katibu mkuu wake, na wale wa Mwenge kusambaza Corona na UKIMWI..?!

Mbowe yupo sahihi sana , njanjo kama ipo tuchanjwe tu wote ili tudhibiti maambukizi
na maisha yaendelee.
 
Mwanza kunawachawi
CHalamila aliropoka waziwazi nisawa MTU afunge goli flani ukimuliza atakwambia hatasijui nilipgaje Mpira au ajali mbaya ukimuuluza umetokaje hapa atakwambia sijui

Mbowe karopoka

Hiyo ndo mwanza bwana
Corona ipo nyingi Mwanza ,kama chanjo ipo tuchanjwe ili maisha yaendelee.
Mbowe yupo sahihi kwa hili ,
 
Suala la Covid 19 limeathiri watu. Nakubaliana nawe. Lakini si kiasi unachotaka kuuaminisha Umma. Inawezekana wewe na ndugu zako mmeugua na umepoteza ndugu. Pole sana.

Lakini huwezi kuwa sahihi kuwa CHANJO YA CORONA IWE NI SHURUTI. Hamna kitu kama hicho. Mbona sasa hapo utakuwa unakiuka haki za Binadamu?

Haya mambo usiyaongee kwa mihemko au hisia. Inawezekana umeathirika na Corona lakini usichukulie jambo hili kwa pupa,jazba na hisia. Chanjo ya Corona si Lazima na isiwe Lazima. Binafsi siihitaji kwa sasa.
Mimi mwenyewe namshangaa anaongea kwa shuruti kama nani serikalini?
 
Mbowe yupo sahihi, ni vile umeambukizwa uwandawazimu uwezi elewa.
ili maisha yaendelee lazima tuchanjwe ili kudhibiti maambukizi.
Kama chanjo itapatikana ya kutosha , maana MaCCM na bi, Chokochoko wenu ni waongo waongo mno.
makengeza Mbowe yukp sahihi siku zote 🤣🤣🤣

images (2).jpeg


images (1).jpeg
 
Si tu kuwa haipo ya kutosha bali chanjo yenyewe haipo na uwezekano wa kupatikana kwake labda ni hadi Desemba.

Ukirejea kwenye ujinga uliopo, bila jitihada ya kutosha kwa kiwango cha ujinga uliopo hata hiyo kidogo inayoweza kupatikana kwa hali iliyopo inaweza kuwa nyingi mno na hata kubaki kwa kukosa wachanjwaji.

Hapo ndipo uyaone maajabu ya mtu kumwuuma mbwa!
Serikali ijikite kuelimisha wananchi.

Hizi habari za kutaka kulazimisha chanjo, hata kabla watu hawajaelimishwa, zitasababisha watu wakatae chanjo.

Ukianza kulazimisha chanjo ndiyo unatengeneza conspiracy theories against chanjo
 
Mimi nilishachanja tangu March.

Ukikutana na mtu hataki chanjo anasema yeye yuko tayari kufa, utamlazimisha achanje kinyume na matakwa yake?
Sasa kutakua na maana gani ya kudhibiti maambukizi kama kuna watu watasambaza Corona kwa kua tu hawataki chanjo. Na Serikali ya namna gani hiyo itaruhusu hayo.
Tupige tu kelele humu ila mwisho wa siku dunia nzima itachwanjwa.
 
Narudia, katika hili, Mbowe kakosea sana na sijui nani kamshauri.

Ni vema arekebishe kauli au aifute.

Hizi chanjo bado zina utata mwingi hivyo si busara kuja na hiyo kauli unless kuna ambazo zineshathibitishwa kuwa hazina madhara kwa walio wengi.
Huyo naye ni wakala wa hao wajamaa wa wenye dawa. Yaani yeye press conference yake yeyote ni lazima aongelee chanjo..
 
Narudia, katika hili, Mbowe kakosea sana na sijui nani kamshauri.

Ni vema arekebishe kauli au aifute.

Hizi chanjo bado zina utata mwingi hivyo si busara kuja na hiyo kauli unless kuna ambazo zineshathibitishwa kuwa hazina madhara kwa walio wengi.
Siringii elimu, lakini ukweli ni kwamba mwenyekiti wenu hana elimu ndio maana upeo ni mdogo wa kukurupuka namna hiyo. ndio mnataka tuwape ma DJ wacheze disco nchi?
 
Kiukweli Freeman Mbowe amechemka sana ktk hili; nashauri arudi kuomboleza msiba wa kaka yake. Chanjo ya corona haiwez kuwa jambo la lazima. Anayetaka achanje asiyetaja asichanje
Mwambieni waanze kwanza kamati kuu ya chadema, pia na wajumbe wote wa mkutano mkuu wa chadema! Baada ya hapo wachanjwe mashabiki wao wote, akiwemo na gentamycine.
 
Back
Top Bottom