Smart Contract
JF-Expert Member
- Sep 24, 2014
- 1,158
- 2,847
kesha kula teni pasenti ya mawakala wa chanjoIs Mbowe this naive and uninformed?
Or is he overly emotional after the recent demise in his family?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kesha kula teni pasenti ya mawakala wa chanjoIs Mbowe this naive and uninformed?
Or is he overly emotional after the recent demise in his family?
Yalishanenwa lazima yatimie,Kisheria statement hii iko sawa. Yaani kinadharia statement hiyo iko sahihi.
Lakini ki afya, kitalaamu na kiserikali (yaani kiutekelezaji) ni lazima watu wengi kwa kadri iwezekanavyo na ikibidi wote wachanjwe. Vinginevyo chanjo (kitalaamu) haitakuwa na maana.
Hiki ndicho Mwamba Mbowe bila shaka alikuwa akikimaanisha.
Kuhakikisha chanjo ni hiari kinadharia lakini si hiari kiuhalisia, ulazima hauko kwenye kulazimishana kwa fimbo au mabunduki kwenda kuchanjwa. Ulazima unakuja hivi:
1. Kusafiri onyesha proof ya chanjo
2. Kusajiliwa mahali onyesha proof ya chanjo
3. Kuingia mahali onyesha proof ya chanjo
4. Nk nk.
Hapo ndipo mzizi wa fitna ulipo.
Utajikuta mwenyewe kwenye fix tu, kama kwenye barakoa ulivyokuwa ambazo pia ni hiari.
Leo hii ofisi, hospitali au sehemu gani serious utaingia bila barakoa? Ndiyo shuruti zenyewe hizo. Hutaki usiingie maana kuingia si lazima pia.
Mwamba Mbowe yuko vizuri kwani kitalaamu njia zote ni lazima zitumike kuwataka watu kuchanjwa kwa hiari ikibidi kwa mjeledi (in the extreme) kwani ni kwa faida yao.
Hata hapa serikali itafuata utaratibu huo huo. Mbowe ni wa kupongezwa kwa kuwa muwazi. Chanjo ni kwa faida yetu.
Cc: denooJ BAK Salary Slip technically
Madhara ya Bangi na faru JohnKiukweli Freeman Mbowe amechemka sana ktk hili; nashauri arudi kuomboleza msiba wa kaka yake. Chanjo ya corona haiwez kuwa jambo la lazima. Anayetaka achanje asiyetaja asichanje
Narudia, katika hili, Mbowe kakosea sana na sijui nani kamshauri.
Ni vema arekebishe kauli au aifute.
Hizi chanjo bado zina utata mwingi hivyo si busara kuja na hiyo kauli unless kuna ambazo zineshathibitishwa kuwa hazina madhara kwa walio wengi.
ujasiri wa kutukana hivi hadharani unatoa wapi inaonyesha wazazi wako walikulea kiwendawazimuNchi iliongozwa na Mwendawazimu hii, vipi ulipungukiwa na kitu. Au una chuki zako na Mbowe.
Kukataa chanjo wakati wengine wanachanjwa kunafanya ugonjwa uendelee kuwepoChanjo hazina utata wowote ila hazipaswi kulazimishwa. Serikali haipaswi kuwalazimisha watu wasiotaka chanjo wakati zitakapoanzwa kutolewa.waachwe tu, hiyo ni gharama mojawapo ya demokrasia. Hii sio China au Korea Kaskazini.
Amechemka na alitakiwa aweke maelezo sawa, kwamba iwapo cha njo ni hiari, basi serikali/jamii ijitahidi sana kuhamasisha watu kuchanja, kwani kama mzigo utaletwa halafu wanaochanja wanakuwa wachache ni hasara kiuchumi, na pia kwenye upande wa ugonjwa ni kuwa tutegemee virus huyo kuwa mgumu na hatari zaidi kama huyu wa phase 3 Delta. Chanjo inaleta maana tu, iwapo watu wengi katika jamii wamepata chanjo hiyo.Kiukweli Freeman Mbowe amechemka sana ktk hili; nashauri arudi kuomboleza msiba wa kaka yake. Chanjo ya corona haiwez kuwa jambo la lazima. Anayetaka achanje asiyetaja asichanje
The pot calling the kettle black.Is Mbowe this naive and uninformed?
Or is he overly emotional after the recent demise in his family?
Narudia, katika hili, Mbowe kakosea sana na sijui nani kamshauri.
Ni vema arekebishe kauli au aifute.
Hizi chanjo bado zina utata mwingi hivyo si busara kuja na hiyo kauli unless kuna ambazo zineshathibitishwa kuwa hazina madhara kwa walio wengi.
Kiukweli Freeman Mbowe amechemka sana ktk hili; nashauri arudi kuomboleza msiba wa kaka yake. Chanjo ya corona haiwez kuwa jambo la lazima. Anayetaka achanje asiyetaja asichanje
Kila mtu ana haki ya kutoa mawazo yake (Freedom of expression) juu ya jambo lolote bila kuvunja sheria...Kwa mara ya Kwanza Leo umekuwa tofauti na mwamba, duh? Dunia inaenda haraka sana
Hukuwahi kupinga chochote cha mwamba, hata Enzi za Faru John.
Sent from my 5033X_EEA using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo ikitokea Shangazi Fatma Karume akakosea na Mbowe akamrekebisha, tatizo litakuwa umbumbumbu wa Fatma?Tatizo la Mbowe ni mbumbumbu na kutokwenda shule
Sina ujasiri wowote ndugu, na nimelelewa vizuri kabisa. Mwenyewe Mwendawazimu kwa mdomo wake alisema yeye ni KICHAA .ujasiri wa kutukana hivi hadharani unatoa wapi inaonyesha wazazi wako walikulea kiwendawazimu
Hajakosea!Narudia, katika hili, Mbowe kakosea sana na sijui nani kamshauri.
Ni vema arekebishe kauli au aifute.
Hizi chanjo bado zina utata mwingi hivyo si busara kuja na hiyo kauli unless kuna ambazo zineshathibitishwa kuwa hazina madhara kwa walio wengi.
Kwa hiyo kakosea kutoa msimamo wake au Ni msimamo wa chama? Pia tuheshimu mawazo ya wengine..mNarudia, katika hili, Mbowe kakosea sana na sijui nani kamshauri.
Ni vema arekebishe kauli au aifute.
Hizi chanjo bado zina utata mwingi hivyo si busara kuja na hiyo kauli unless kuna ambazo zineshathibitishwa kuwa hazina madhara kwa walio wengi.
Haahaa, na mama yetu vipi? Maana kashaagiza kwamba na sisi watanzania tumooo...Mbowe yupo kwenye payroll ya Astrazeneca...
Ni wakala wao na tayari amepewa chanjo yake ya kuonja!
Chanjo yenyewe ni maambukizi yaliyo control, so baada ya hapo hata ukipata maambukizi ambayo hayatojionesha, ambayo ndiyo majority, that is irrelevant.Hampati maambukizi au mnapata ila haifanyi mkaumwa hadi kulazwa na kusababisha kifo? maana nachojua chanjo hazizuii maambukizi hivyo unaweza ukapata maambukizi na usiumwe ila ukaambukiza wengine wasiochanjwa.
Kuhusu suala la vifo kuwaelimisha nadhani hilo hadi sasa lingekuwa limeshawaelimisha, kwa sababu corona imeanza toka mwaka jana mpaka leo kama bado hakuna la kujifunza basi hakuna tena somo litakalopatikana hapo au kwamba hakuna vifo vya kufanya watu wajifunze na kutaka chanjo.
Hahaha, who is the pot and who is the kettle sir?The pot calling the kettle black.
Amandla...
Narudia, katika hili, Mbowe kakosea sana na sijui nani kamshauri.
Ni vema arekebishe kauli au aifute.
Hizi chanjo bado zina utata mwingi hivyo si busara kuja na hiyo kauli unless kuna ambazo zineshathibitishwa kuwa hazina madhara kwa walio wengi.
Hahaha, who is the pot and who is the kettle sir?
I did not trade my right to be unruly by occupying a public office.
Mbowe hana uwezo wa kulazimisha chochote nchini; hawezi kuwa dikteta; sio kiongozi wa nchi. Katoa tu maoni yake kuhusu chanjo ya Covid-19. No need to overrate him.
Mimi binafsi siungi mkono wazo la chanjo kuwa lazima ingawa naelewa nia Mbowe. Haki zangu za binadamu haziwezi kuathiriwa na maoni ya mtu binafsi.
Madereva wengi wa kitanzania wanaamini kuwa pombe haiathiri uendeshaji wake. Wengine wanadai kuwa wakinywa ndio wanakuwa makini zaidi. Lakini sheria inazuia madereva wote kuendesha magari wakiwa wamekunywa kiasi fulani cha pombe hata wale wanaosema kuwa pombe inawafanya madereva bora zaidi. Kinachozuiwa hapa ni uwezekano wa dereva aliye kunywa kusababisha ajali ambayo itaathiri uhai wa watu wengine hata kama yeye atatoka mzima. Ingekuwa ukinywa pombe na kuendesha gari utaathirika peke yako, pengine serikali zingeona hamna haja ya kuingilia uhuru wako wa kunywa pombe.Chanjo yenyewe ni maambukizi yaliyo control, so baada ya hapo hata ukipata maambukizi ambayo hayatojionesha, ambayo ndiyo majority, that is irrelevant.
Kwenye vifo kuwaelimisha, ukiwa na tabia ya kuvuka barabara huku umefumba macho, ukasema umevuka mara tatu na hivyo kuvuka hivyo ni salama, huku hujui kwamba umeweza kuvuka kwa bahati tu, hilo halimaanishi kwamba kuvuka barabara huku umefumba macho ni jambo salama.
Tanzania Covid bado haijachanganya, usichukulie kwamba ndiyo imeshafika peak sasa.