Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Lo Hivi kuna studs gani huko? Hii ishu naona inazungumziwa sana nowadays!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lo Hivi kuna studs gani huko? Hii ishu naona inazungumziwa sana nowadays!
Nadhani hata tafsiri yenyewe ya jina Tanganyika HAINA MASHIKO.Lina ushamba gani? Yale yale ya ukila viazi na mchuzi ni chakula local tofauti na ukila "potato mix stew." Tanganyika ni jina zuri sana.
Kwa vigezo vipi boss?Nadhani hata tafsiri yenyewe ya jina Tanganyika HAINA MASHIKO.
Wakili msomi Fatma Karume anasema kuwa viongozi waTanganyika ndiyo tatizo.
View: https://m.youtube.com/watch?v=upbVqLpdVmk
Viongozi wa Zanzibar na wananchi wa Zanzibar wanajitambulisha kama wazanzibari katika muungano wa nchi mbili kisha inafuata uTanzania.
Lakini viongozi wa kutoka upande wa bara hasa hawa wa CCM na serikali yake wanaona haya na kulazimisha kuufuta utanganyika wa asili raia taifa lao Tanganyika.
Upande wa Zanzibar utambulisho ni Mzanzibari kwanza, halafu mbili kutoka Tanzania.
Hapo ndipo kunapotokea zogo lakini kiuhalisia huwezi kufuta uasili wa kitaifa wa mtu katika Muungano anasisitiza wakili Fatma Karume kwa viongozi wa CCM bara na walio katika serikali yake.
Jamhuri ya muungano wa Tanzania ni wa nchi mbili Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar.
Jina la kwanza lilitambulika kama nchi ya Jamhuri za Tanganyika na ya Watu wa Zanzibar April 26, 1964.
Ilichukua miezi kadhaa baada ya muungano jina hilo la kwanza refu hadi kubadilishwa kuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwezi Oktoba 1964
Historia ya nchi ya Tanganyika iliyopata uhuru mwezi December 1961 na nchi ya Zanzibar iliyopata uhuru wake mwaka 1963 mwezi December pamoja na vizazi vya nchi hizo vilivyofuatia haviwezi kufutwa na viongozi wachache wa CCM kwa kuwa utaifa ni asili.
Wewe unajua jina la Tanganyika lometokana na nini. Na je hiyo maana yake inathaminisha nini kama TaifaKwa vigezo vipi boss?
Boss, historia ya Tanganyika ilianza 1919 ipo wazi. Wewe umesema jina halina mashiko ndo ungetuambia sababu zako.Wewe unajua jina la Tanganyika lometokana na nini. Na je hiyo maana yake inathaminisha nini kama Taifa
Hicho kisiwa ni mali ya,tanganyikaHuu muungano Bora uvunjike Tu maana kila mmoja anasema lake!!!
Hao mix mix ndiyo wanaleta chkchk,hivi we jiulize huko zenji kabla mwarab hajaingiaWanzabar ni wabaguzi sn
Ndiyo hivyoHao mix mix ndiyo wanaleta chkchk,hivi we jiulize huko zenji kabla mwarab hajaingia
Walikuwepo watu gani,mbona hadi wandengereko walikuwepo huko
Ova
Pia tuambiwe ni lini hilo jina lilifutwa?Boss, historia ya Tanganyika ilianza 1919 ipo wazi. Wewe umesema jina halina mashiko ndo ungetuambia sababu zako.
Mbona wengine wanasema walipelekwa huko na waarabu kama watumwa?Hao mix mix ndiyo wanaleta chkchk,hivi we jiulize huko zenji kabla mwarab hajaingia
Walikuwepo watu gani,mbona hadi wandengereko walikuwepo huko
Ova
Siyo kweli,kabla mwarabu hajafikaMbona wengine wanasema walipelekwa huko na waarabu kama watumwa?
Nauliza tu kwani nadharia ni nyingi. Kuna wasemao visiwa vilikuwa havina wakaazi.Siyo kweli,kabla mwarabu hajafika
Hapo walikuwepo watu
Kwani machotora/wapemba hapo wamepatikana vp...
Si mwarabu alizaa na wafrika
Ova
Vilikuwa na wakazi,tatizo historia ya mwafrika inapenda kupindishwapindishwaNauliza tu kwani nadharia ni nyingi. Kuna wasemao visiwa vilikuwa havina wakaazi.
Sisi tunafaidikaje na koloni hili?Zanzibar ndo hawajitambui ndo maana tumewafanya ni koloni letu
Pole sanaDogo Rais siyo mtu ni taasisi
Pole sanaSachs u unjuke wachinjane wapemba na waunguja. Unguja asili TZ barua na Pemba Congo. Slave trade impact