Fatma Karume: Tatizo Watanganyika hawajitambui utaifa wao, sisi Zanzibar hatuwezi kufuta utaifa wetu

Lina ushamba gani? Yale yale ya ukila viazi na mchuzi ni chakula local tofauti na ukila "potato mix stew." Tanganyika ni jina zuri sana.
Nadhani hata tafsiri yenyewe ya jina Tanganyika HAINA MASHIKO.
 
Zanzibar forever
#waingie Kwa passport
 
Wewe unajua jina la Tanganyika lometokana na nini. Na je hiyo maana yake inathaminisha nini kama Taifa
Boss, historia ya Tanganyika ilianza 1919 ipo wazi. Wewe umesema jina halina mashiko ndo ungetuambia sababu zako.
 
Tukisema tuanze kuulizana mambo kama hayo.

Itabidi tuulizane pia kama babu yake ni mzanzibari kweli au mnyasa wa Malawi.
 
Hao mix mix ndiyo wanaleta chkchk,hivi we jiulize huko zenji kabla mwarab hajaingia
Walikuwepo watu gani,mbona hadi wandengereko walikuwepo huko

Ova
Mbona wengine wanasema walipelekwa huko na waarabu kama watumwa?
 
Mbona wengine wanasema walipelekwa huko na waarabu kama watumwa?
Siyo kweli,kabla mwarabu hajafika
Hapo walikuwepo watu
Kwani machotora/wapemba hapo wamepatikana vp...
Si mwarabu alizaa na wafrika

Ova
 
Siyo kweli,kabla mwarabu hajafika
Hapo walikuwepo watu
Kwani machotora/wapemba hapo wamepatikana vp...
Si mwarabu alizaa na wafrika

Ova
Nauliza tu kwani nadharia ni nyingi. Kuna wasemao visiwa vilikuwa havina wakaazi.
 
Zanzibar ndo hawajitambui ndo maana tumewafanya ni koloni letu
Sisi tunafaidikaje na koloni hili?

Kwenye ulingo wa Ajira, Mtanganyika hawezi kuajiriwa kwenye Serikali ya Zanzibar lakini Mzanzibar anaajiriwa kwenye Serikali ya Muungano. Ikumbukwe wote wapo ndani ya Muungano. Sasa hapa nani ni Koloni wa mwenzake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…