Buenos Aires
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 1,894
- 1,622
Acheni kulia lia mlijua na jana mngebebwa sio? Poyeeeeeeeeeeeeeeeeee
Naona bado hujapoa. Cr7 amewafanya nini vile maana niliona anatoka kwenu na boxer
Mtaongea leo bibie! Alaf mmesahau mlikula 4-0 kwenu? Lkn hamna neno, furahieni, kwa sbb sisi bdo tupo juu na tunaelekea kuweka historia Kwa kupata treble mbili zinazofuatana....ahahhhhm na ninyi mna kikombe gn?