FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

22e4ea516843a98483fa6be503f99165.jpg

Rekodi zinaongea
 
Tetesi
Barcelona iko tayari kulipa £132m ili kumsajili kiungo wa kati wa Liverpool Philippe Coutinho, 25, katika dirisha la uhamisho la mwezi Januari. (Sport - via Daily Mail)
 
Tetesi
Kiungo wa kati wa Barcelona na Hispania Sergio Busquets, yupo kwenye rada za Manchster City kwa dau la Paundi milioni 50 na Yaya Toure. (Daily Star)
 
Tetesi
Kiungo wa kati wa Barcelona na Hispania Sergio Busquets, yupo kwenye rada za Manchster City kwa dau la Paundi milioni 50 na Yaya Toure. (Daily Star)
Sergio Busquets is the unsung hero of Camp Nou. He's here to stay.

Kwa mtu asiefahamu mpira vizuri hawezi kuona umuhimu wa Busquets uwanjani.

He's a BEAST!
 
Hawa M-Bet wamenifanya kwa mara ya kwanza kabisa maishani nishabikie Barcadogs (at least kwa kesho)

Nimeweka mkeka wa 100,000/= hapa:
Barca akishinda nakula 1,200,000/= (1.2 Mil)
Madrid akishinda nakula 170,000/= (170k)
Kwakuwa natafuta hela, naombea Barcadogs washinde tu.
 
Hawa M-Bet wamenifanya kwa mara ya kwanza kabisa maishani nishabikie Barcadogs (at least kwa kesho)

Nimeweka mkeka wa 100,000/= hapa:
Barca akishinda nakula 1,200,000/= (1.2 Mil)
Madrid akishinda nakula 170,000/= (170k)
Kwakuwa natafuta hela, naombea Barcadogs washinde tu.
Mcharo mcharuko
 
Hawa M-Bet wamenifanya kwa mara ya kwanza kabisa maishani nishabikie Barcadogs (at least kwa kesho)

Nimeweka mkeka wa 100,000/= hapa:
Barca akishinda nakula 1,200,000/= (1.2 Mil)
Madrid akishinda nakula 170,000/= (170k)
Kwakuwa natafuta hela, naombea Barcadogs washinde tu.
unajua utakachofanywa wewe acha kujisalimisha
 
Hawa M-Bet wamenifanya kwa mara ya kwanza kabisa maishani nishabikie Barcadogs (at least kwa kesho)

Nimeweka mkeka wa 100,000/= hapa:
Barca akishinda nakula 1,200,000/= (1.2 Mil)
Madrid akishinda nakula 170,000/= (170k)
Kwakuwa natafuta hela, naombea Barcadogs washinde tu.
WE ungekuwa mtoto wa kike ungekuwa na toto 10 kila mmoja na baba ake na pengine lile gonjwa lingeshakuondoa duniani
 
Back
Top Bottom