Huyu jamaa Koeman naona kidogo ameanza kubadili tactics za timu.
Kwa jinsi navyomuona, anaamini sana vijana na kuleta mabadiliko ndani ya Barcelona.
Jamaa ingekuwa hiyari hawa akina Pique, Griezzman, Busquets wasingepata namba Barca.
Na mimi namuunga mkono aiseee, tunahutaji timu yenye damu za vijana kuanzia namba 1 mpaka 11.
Kwa jinsi navyomuona, anaamini sana vijana na kuleta mabadiliko ndani ya Barcelona.
Jamaa ingekuwa hiyari hawa akina Pique, Griezzman, Busquets wasingepata namba Barca.
Na mimi namuunga mkono aiseee, tunahutaji timu yenye damu za vijana kuanzia namba 1 mpaka 11.