Fedha zilizokuwa katika akaunti maalumu ya IPTL (Tegeta Escrow account), ni mali ya umma

Fedha zilizokuwa katika akaunti maalumu ya IPTL (Tegeta Escrow account), ni mali ya umma

Na serikali ya UK imezuia pesa za msaada kwa budget support Tanzania, hili nalo unalielezeaje!
Budget support imezuiwa kwa sababu kuna accustions za rushwa na serikali inabidi iielezee bunge.
Nielezee huyu mama balozi anapigania nini? He la za Wananchi au std chartered?
 
Nimeshangaa kuona magazeti na baadhi ya watu wakubwa tu hawataki kufuatilia na kuelewa ukweli. Mgogoro wa TANESCO na IPTL kuhusu capacity chargs uliisha na kutolewa hukumu tokea mwaka 2001. Sasa kuchanganya haya mambo mawili ni kujidanganya. IPTL na TANESO hawana mgogoro. Tunakubali kushabikia suala la kisheria na kitaalam bila kuelewa ukweli. Wengine kazi yao kutukana tu bila kujua undani. Asante sana kaka kwa shule yako, huenda wataelewa.

Tatizo niwachache sana wanaoutafuta ukweli. Wengi wapo kishabiki hivyo ni rahisi kuangukia au kudandia taarifa za kizushi. Wanasiasa kwao huu ni mtaji n ni sababu ya kujipatia umaarufu. Sijui kama bunge litatoa mwelekeo sahihi wakati lineshagawanyika katika makundi lukuki ambayo ni hasimu
 
Baada ya kusikia kelel nyingi juu ya suala la ESCROW, Nimepitia taarifa mbalimbali zinazohusu suala la fedha za account hii ya EScrow kwa upole, utulivu, unyenyekevu na bila ushabiki. Katika taarifa hizo nimepata kuelewa kuwa fedha za Escow si za umma, wala hazijaibiwa ka namna yoyote. Bali fedha hizi ni mali ya kampuniya IPTL kupitia kampuni tanzu mbili yaani Menchmar na VIP.

Kwa muda wa zaidi ya miaka miwili kumekuwapo na mgogoro wa waziwazi wa kimaslahi kati ya wamiliki wa IPTL ambao ni kampuni ya VIP na kampuni ya Mechmar kutoka Malaysia. Tuliokuwa tunafuatilia habari, hili si jambo geni

Cha ajabi kwangu, watu wengi wanashabikia bila kujua wala kujali kufuatilia kuwa account ya escrow ilianzishwaje. Taarifa zilizowazi zinaonyesha kwamba Mahakama Kuu, kufuatia mgogoro uliokuwepo, iliamua pande zote mbili yaani VIP na Mechmar zisaini hati ya makubaliano juu ya kutunza fedha za malipo ya kila mwezi ya umemeyatokanayo na umeme unaozalishwa na IPTL na kuiuzia TANESCO. Mpaka hapo nadhani wenzangu mmeanza kupata picha ya hili suala sumbufu.

Taarifa zinaonyesha kuwa, mahakama ilielekeza malipo hayo yahifadhiwe katika akaunti hiyo mpya ya ESCROW iliyofunguliwa Benki kuu hadi mgogoro kati ya wabia hawa wawili utakapoamriwa.
Mpaka hapo ndugu zangu, ikiwa taarifa hizi ni za kweli, mtakubaliana nami kuwa fedha za ESCROW ni mali ya IPTL. Yaani MENCHMAR na VIP. Zaidi ni majungu na wivu.

Sasa tujiulize mgogoro upo wapi? walalamikaji ni akina nani? fedha ambazo TANESCO imeridhia kulipia huduma inayotolewa kwa kazi ambayo imeshafanywa zinakuwaje fedha za umma?Ijulikane kuwa malipo yoyote ya taasisi nyeti kama TANESO hufanywa kwa kufuata taratibu na kuzingatia kanuni. maana yake malipo yale ni malipo halali kwa kazi halisiiliyofanywa.

Mwenzenu nimeona kuwa yawezekana jambo hili ni zaidi ya haya yanayotaarifiwa kwa uwazi.Pengine kuna nguvu inayoendesha mambo nyuma ya pazia. Suala lenyewe hapa lipo katika swali la kwanini baadhi ya viongozi wa umma wamepata mgao (Kama kweli wamepata, mimi hainihusu wala sina muda wa kuwaonea wivu). Hata hivyo bado hakuna sababu dhahiri ya kuziita fedha za ESCROW kuwa ni za umma. Zinabaki kuwa ni malipo ya umeme ambao TANESCO imeridhia kuwa umezalishwa na IPTL

Najua ni rahisi kuzusha mambo na kuyafanya yawe ni mjadala mkubwa katika jamii ya watu waliokosa mweleke na kukata tamaa. Wengi wetu tuna madeni, mipango yetu na njozi zetu zimevurugika... katika hali hii ni rahisi kupenda habari za uzushi zaidi kuliko za kweli na zenye tija. Lakini katika suala hili la fedha za Escrow...pesa hizo ni za IPTL.

Nahisi kuna mvutano wa makundi ya kisiasa. Lakini, ndugu zangu, kwa wanasiasa, muda huu ni muda wa kujipambanua. wale ambao watashindwa katika medani za ushindani katika mchezo huu rahisi, yamkini hata kuwa viongozi wa umma hawafai. Mimi niweke wazi, kama ningekuwa ni PM au AG nisingekubali kujiudhuru kwajambo lisilonihusu mimi wala kuuhusu umma, hata kama nimepokea fedha za ESCROW kwa maendeleo ya umma.

Mwenye taarifa tofauti atuletee hapa.... uzushi uwekwe pembeni, matatizo binafsi yawekwe pembeni...ebu tupeni raha ya kusoma vigezo na ukweli, si uzushi na kejeli. Suala hili limenipotezea muda kulifuatilia ili nione uhalisia ulipo...kumbe twajadili mipasho na uzushi. jambo hili si jema kwa ustawi wa jamii inayoheshimu utu, sheria na misingi ya utawala


Hivi ww unafaham maana ya ESCROW au umevamia mada. Hivi inaingia akilini kwako hili jambo watu wapoteze muda kulijadili hali ya kuwa hawana maslah nalo?anzia uraiani hadi bungeni. Hata kama umeagizwa kuletwa kizunguzungu kajipange maana hakuna kurud nyuma hapa.
Wamelikoroga lazima walinywe. Bring back our $$$$
 
Jibu kwa hoja siyo matusi

Yaani wewe ni mbwa kabisa, huna hata aibu kuja kutetea utumbo hapa. Umejifanya kuandika as if una upeo na unajua details zote za hii scandal kumbe huna unachojua! Mijitu kama wewe kama ipo mingi hii nchi haitakaa iendelee! Huna huruma watoto wetu wanakaa chini, wamama wajawazito wanalundikwa wodini kama wadudu, madawa hospitalini hakuna watu wanakufa kwa kukosa dawa halafu unatetea wizi mkubwa kama huu! Shenz type!!
 
Yaani wewe ni mbwa kabisa, huna hata aibu kuja kutetea utumbo hapa. Umejifanya kuandika as if una upeo na unajua details zote za hii scandal kumbe huna unachojua! Mijitu kama wewe kama ipo mingi hii nchi haitakaa iendelee! Huna huruma watoto wetu wanakaa chini, wamama wajawazito wanalundikwa wodini kama wadudu, madawa hospitalini hakuna watu wanakufa kwa kukosa dawa halafu unatetea wizi mkubwa kama huu! Shenz type!!

Matusi hayasaidii kuubadili ukweli. Fedha ile ni ya IPTL, imeibiwaje wakati imechukuliwa kwa mujibu, kanuni na taratibu zote za mmiliki kuchukua chake? Labda kama una taarifa ngeni, nitafurahi kuzijua.
 
titomganwa kama pesa hizi si za umma na hazina any association why is our poor parliament sweating on it?? Kama sio kupoteza muda wa kujadili mambo ya msingi mengine na Kama viongozi walilijua hilo why did they agree kupotea kwa muda kujadili? Na kwa nini kuna wabunge na watu wa TRA na majaji walipewa hiyo pesa? Anything to do with hongo?
 
Last edited by a moderator:
huyu atakuwa ni kaka yake msalani mpumbavu sana kwa hiyo hizo pesa ni za ccm au?????
 
Kuna watu wana ujasiri wa kuanzisha thread jamani, looooooh!
 
Najua sana hizi ni siasa jaman watanzania kwa kushabikia msiyoyajua tutaangamiaa
 
Tatizo lako umetafuta taarifa nusu ukaact. Kibaya tu ni kwamba ume act ukijifanya mjuaji kumbe mnywanywa tu. Tafuta taarifa kuhusu judgement ya ICID juu ya monthly capacity charges halafu anzia hapo ndo utajua hizi hela ni za nani.
achanen nae n mpumbavu hajui kinachoendelea
 
Matusi hayasaidii kuubadili ukweli. Fedha ile ni ya IPTL, imeibiwaje wakati imechukuliwa kwa mujibu, kanuni na taratibu zote za mmiliki kuchukua chake? Labda kama una taarifa ngeni, nitafurahi kuzijua.
Mkuu...naomba unijulishe hizo pesa zilichukuliwa toka tegeta escrow account kufanya nini???
 
huyu atakuwa ni kaka yake msalani mpumbavu sana kwa hiyo hizo pesa ni za ccm au?????

Mbona unanitukana bila sababu? Laiti ungekuja na taarifa mbadala ningekusamehe, lakini wewe unakurupuka tu na kurusha matusi. !!! Dah! Tanzania niipendayo ina njia ndefu. Sasa kama wewe si mzushi, mpuuzi usiye elimika niambie ni wapi nimesema fedha hizo ni za ccm? Kama wewe si shoga niambie kwa vigezo vipi nafanana na msalani ki hoja, jina au sura. Jikusanye kijana maisha bado hanakusubiri.Kimantiki, fedha za escrow ni mali ya IPTL
 
Hoja ya kwanza ujaweka wazi. Fedha katika account ya ESCROW na umma au za IPTL? Ukijibu hili ndiyo turudi huko nyumaa 2001 kwenye hukumu ya capacity charges kutoka 4.2m na kuwa 2.6m.
Tatizo lako umetafuta taarifa nusu ukaact. Kibaya tu ni kwamba ume act ukijifanya mjuaji kumbe mnywanywa tu. Tafuta taarifa kuhusu judgement ya ICID juu ya monthly capacity charges halafu anzia hapo ndo utajua hizi hela ni za nani.
 
Kuna watu wana hangover hapa...kama sio za umma ni za nani? Hela ya walipa kodi iweje isiwe ya umma? Ndio mnavyodanganyana? Hii sauti ya kisasi itawaandama mpaka makaburini kama hamtaki kujirudi na kutambua makosa yenu.
 
Kaka utaumiza kichwa, kuna watu humu ni vichwa maji hawataki tu kuelewa.

Mbona unanitukana bila sababu? Laiti ungekuja na taarifa mbadala ningekusamehe, lakini wewe unakurupuka tu na kurusha matusi. !!! Dah! Tanzania niipendayo ina njia ndefu. Sasa kama wewe si mzushi, mpuuzi usiye elimika niambie ni wapi nimesema fedha hizo ni za ccm? Kama wewe si shoga niambie kwa vigezo vipi nafanana na msalani ki hoja, jina au sura. Jikusanye kijana maisha bado hanakusubiri.Kimantiki, fedha za escrow ni mali ya IPTL
 
Back
Top Bottom