Fedha zilizokuwa katika akaunti maalumu ya IPTL (Tegeta Escrow account), ni mali ya umma

Fedha zilizokuwa katika akaunti maalumu ya IPTL (Tegeta Escrow account), ni mali ya umma

Hahah…wamekulipa uje na maigizo sio…?? we una interesr gani hadi ufuatilie hizi habari out of curiosity kumsafisha huyo sura mbaya na wezi wenzie?

Hatuna muda wa kukueleza chochote coz tunataka kudeal na mwenye mbwa! wewe endelea kubweka tuu!!

Nadhani kachelewa. Alipewa fungu siku nyingi kajikuta anatimiza jukumu wakati kumekucha
 
Kwenye ripoti ya GAG IPTL imelipisha serikali zaidi ya Tsh 300b zaidi ya pesa ambayo wangetakikwa kulipwa Overbill! hivyo hata kama account haikuwa ya serikali ni ndogo kuliko deni la IPTL. Pili ni kwanini huyo mmiliki katoa pesa kwa wabunge

Overbilling si hoja kwasababu inaweza kutokana na makubaliano yao ya awali. Hilo la pili hata mimi limenishtua

But kama serikali au TANESCO wanaidai IPTL Hilo ni suala jipya ambalo wanatakiwa kuendelea kudaiana. Vina uhusiano gani na fedha ya escrow ambayo iliwekwa huko kutokana na mgogoro wa wabia wanaoiunda IPTL? Labda uniambie kuwa escrow haikufunguliwa kwa lengo hilo
 
Unataka kusema watazania wote pluc wasomi wa nchi hii na wabunge pluc na nchi jiran wote hawajui ila ww ndo unaijua sana hyo escrow au cjakuelewa mkuu

Namaanisha kuwa mambo si bayana. Wewe unasababu zozote za kisema pesa za escrow ni za umma? Mimi nilifuatilia ili kujua ukweli. Kama una vigezo nitafurahi kuvisikia. Maadam visiwe vya kejeli wala matusi
 
Baada ya kusikia kelel nyingi juu ya suala la ESCROW, Nimepitia taarifa mbalimbali zinazohusu suala la fedha za account hii ya EScrow kwa upole, utulivu, unyenyekevu na bila ushabiki. Katika taarifa hizo nimepata kuelewa kuwa fedha za Escow si za umma, wala hazijaibiwa ka namna yoyote. Bali fedha hizi ni mali ya kampuniya IPTL kupitia kampuni tanzu mbili yaani Menchmar na VIP.

Kwa muda wa zaidi ya miaka miwili kumekuwapo na mgogoro wa waziwazi wa kimaslahi kati ya wamiliki wa IPTL ambao ni kampuni ya VIP na kampuni ya Mechmar kutoka Malaysia. Tuliokuwa tunafuatilia habari, hili si jambo geni

Cha ajabi kwangu, watu wengi wanashabikia bila kujua wala kujali kufuatilia kuwa account ya escrow ilianzishwaje. Taarifa zilizowazi zinaonyesha kwamba Mahakama Kuu, kufuatia mgogoro uliokuwepo, iliamua pande zote mbili yaani VIP na Mechmar zisaini hati ya makubaliano juu ya kutunza fedha za malipo ya kila mwezi ya umemeyatokanayo na umeme unaozalishwa na IPTL na kuiuzia TANESCO. Mpaka hapo nadhani wenzangu mmeanza kupata picha ya hili suala sumbufu.

Taarifa zinaonyesha kuwa, mahakama ilielekeza malipo hayo yahifadhiwe katika akaunti hiyo mpya ya ESCROW iliyofunguliwa Benki kuu hadi mgogoro kati ya wabia hawa wawili utakapoamriwa.
Mpaka hapo ndugu zangu, ikiwa taarifa hizi ni za kweli, mtakubaliana nami kuwa fedha za ESCROW ni mali ya IPTL. Yaani MENCHMAR na VIP. Zaidi ni majungu na wivu.

Sasa tujiulize mgogoro upo wapi? walalamikaji ni akina nani? fedha ambazo TANESCO imeridhia kulipia huduma inayotolewa kwa kazi ambayo imeshafanywa zinakuwaje fedha za umma?Ijulikane kuwa malipo yoyote ya taasisi nyeti kama TANESO hufanywa kwa kufuata taratibu na kuzingatia kanuni. maana yake malipo yale ni malipo halali kwa kazi halisiiliyofanywa.

Mwenzenu nimeona kuwa yawezekana jambo hili ni zaidi ya haya yanayotaarifiwa kwa uwazi.Pengine kuna nguvu inayoendesha mambo nyuma ya pazia. Suala lenyewe hapa lipo katika swali la kwanini baadhi ya viongozi wa umma wamepata mgao (Kama kweli wamepata, mimi hainihusu wala sina muda wa kuwaonea wivu). Hata hivyo bado hakuna sababu dhahiri ya kuziita fedha za ESCROW kuwa ni za umma. Zinabaki kuwa ni malipo ya umeme ambao TANESCO imeridhia kuwa umezalishwa na IPTL

Najua ni rahisi kuzusha mambo na kuyafanya yawe ni mjadala mkubwa katika jamii ya watu waliokosa mweleke na kukata tamaa. Wengi wetu tuna madeni, mipango yetu na njozi zetu zimevurugika... katika hali hii ni rahisi kupenda habari za uzushi zaidi kuliko za kweli na zenye tija. Lakini katika suala hili la fedha za Escrow...pesa hizo ni za IPTL.

Nahisi kuna mvutano wa makundi ya kisiasa. Lakini, ndugu zangu, kwa wanasiasa, muda huu ni muda wa kujipambanua. wale ambao watashindwa katika medani za ushindani katika mchezo huu rahisi, yamkini hata kuwa viongozi wa umma hawafai. Mimi niweke wazi, kama ningekuwa ni PM au AG nisingekubali kujiudhuru kwajambo lisilonihusu mimi wala kuuhusu umma, hata kama nimepokea fedha za ESCROW kwa maendeleo ya umma.

Mwenye taarifa tofauti atuletee hapa.... uzushi uwekwe pembeni, matatizo binafsi yawekwe pembeni...ebu tupeni raha ya kusoma vigezo na ukweli, si uzushi na kejeli. Suala hili limenipotezea muda kulifuatilia ili nione uhalisia ulipo...kumbe twajadili mipasho na uzushi. jambo hili si jema kwa ustawi wa jamii inayoheshimu utu, sheria na misingi ya utawala bora.







Wewe ni mpuuzi tu unastahili tu kupuuzwa kama wengine wanaoleta mada za kipuuzi wanavyopuuzwa. Bring back our Escrow monies, you FISADIS
 
Wewe ni mjinga sana hapa tumeibiwa kihalali naweza kusema hivyo.ndio tanesco wameuza umeme ila kwa bei gani? Hii imefanyika hapa ni black market Na ndio maana cag Na takukuru wakatoa taarifa Yao baada ya uchunguzi uliofanyika. Mtatetea Sana lakinni ukweli upo wazi tumezidiwa nguvu Na watu wachache Na ndio sababu mkaanza kugawana fedha hovyo mnalipia harusi kwa mabilioni hivi mnaona watanzania wajinga Sana enhee?

Kujibu hoja kwa Matusi ni dalili ya ugonjwa wa kudumu wa kiakili na kifikra. Pengine Umedumazwa na mapicha ya ngono uliyokuwa unayaangalia toka ukiwa mdogo.. kwa hilo pole sana.

Ila hujatoa hoja wala taarifa mbadala kuwa fedh ya escrow ni ya umma kwa vigezo vipi. Jifunze unyamavu hasa kama huna hoja. Fedha za escro ni za IPTL
 
Kwenye ripoti ya GAG IPTL imelipisha serikali zaidi ya Tsh 300b zaidi ya pesa ambayo wangetakikwa kulipwa Overbill! hivyo hata kama account haikuwa ya serikali ni ndogo kuliko deni la IPTL. Pili ni kwanini huyo mmiliki katoa pesa kwa wabunge
Kuna balozi wa UK anatetea Standard Chartered Bank .....
Huyu unamuelezeaje?
 
Kwa mara ya kwanza tokea sakata hili lianze, leo ndiyo nimefunguka macho. Ukweli kabisa bila ushabiki pesa hizo si za umma kama tunavyodanganywa. Suala hili limekuja wakati mbaya ambapo kuna wengine wanataka kujiimarisha kisiasa kupitia hoja hii kwa ajili ya uchaguzi ujao. Nionavyo mimi tusubiri tu tutaona kila kitu.
 
Tunaomba hzo nyaraka ulizozipitia uziweke hapa ili na sisi tujiridhishe kuwa pesa sio zetu bali ni za hao unaowasema!!
 
Baada ya kusikia kelel nyingi juu ya suala la ESCROW, Nimepitia taarifa mbalimbali zinazohusu suala la fedha za account hii ya EScrow kwa upole, utulivu, unyenyekevu na bila ushabiki. Katika taarifa hizo nimepata kuelewa kuwa fedha za Escow si za umma, wala hazijaibiwa ka namna yoyote. Bali fedha hizi ni mali ya kampuniya IPTL kupitia kampuni tanzu mbili yaani Menchmar na VIP.

Kwa muda wa zaidi ya miaka miwili kumekuwapo na mgogoro wa waziwazi wa kimaslahi kati ya wamiliki wa IPTL ambao ni kampuni ya VIP na kampuni ya Mechmar kutoka Malaysia. Tuliokuwa tunafuatilia habari, hili si jambo geni

Cha ajabi kwangu, watu wengi wanashabikia bila kujua wala kujali kufuatilia kuwa account ya escrow ilianzishwaje. Taarifa zilizowazi zinaonyesha kwamba Mahakama Kuu, kufuatia mgogoro uliokuwepo, iliamua pande zote mbili yaani VIP na Mechmar zisaini hati ya makubaliano juu ya kutunza fedha za malipo ya kila mwezi ya umemeyatokanayo na umeme unaozalishwa na IPTL na kuiuzia TANESCO. Mpaka hapo nadhani wenzangu mmeanza kupata picha ya hili suala sumbufu.

Taarifa zinaonyesha kuwa, mahakama ilielekeza malipo hayo yahifadhiwe katika akaunti hiyo mpya ya ESCROW iliyofunguliwa Benki kuu hadi mgogoro kati ya wabia hawa wawili utakapoamriwa.
Mpaka hapo ndugu zangu, ikiwa taarifa hizi ni za kweli, mtakubaliana nami kuwa fedha za ESCROW ni mali ya IPTL. Yaani MENCHMAR na VIP. Zaidi ni majungu na wivu.

Sasa tujiulize mgogoro upo wapi? walalamikaji ni akina nani? fedha ambazo TANESCO imeridhia kulipia huduma inayotolewa kwa kazi ambayo imeshafanywa zinakuwaje fedha za umma?Ijulikane kuwa malipo yoyote ya taasisi nyeti kama TANESO hufanywa kwa kufuata taratibu na kuzingatia kanuni. maana yake malipo yale ni malipo halali kwa kazi halisiiliyofanywa.

Mwenzenu nimeona kuwa yawezekana jambo hili ni zaidi ya haya yanayotaarifiwa kwa uwazi.Pengine kuna nguvu inayoendesha mambo nyuma ya pazia. Suala lenyewe hapa lipo katika swali la kwanini baadhi ya viongozi wa umma wamepata mgao (Kama kweli wamepata, mimi hainihusu wala sina muda wa kuwaonea wivu). Hata hivyo bado hakuna sababu dhahiri ya kuziita fedha za ESCROW kuwa ni za umma. Zinabaki kuwa ni malipo ya umeme ambao TANESCO imeridhia kuwa umezalishwa na IPTL

Najua ni rahisi kuzusha mambo na kuyafanya yawe ni mjadala mkubwa katika jamii ya watu waliokosa mweleke na kukata tamaa. Wengi wetu tuna madeni, mipango yetu na njozi zetu zimevurugika... katika hali hii ni rahisi kupenda habari za uzushi zaidi kuliko za kweli na zenye tija. Lakini katika suala hili la fedha za Escrow...pesa hizo ni za IPTL.

Nahisi kuna mvutano wa makundi ya kisiasa. Lakini, ndugu zangu, kwa wanasiasa, muda huu ni muda wa kujipambanua. wale ambao watashindwa katika medani za ushindani katika mchezo huu rahisi, yamkini hata kuwa viongozi wa umma hawafai. Mimi niweke wazi, kama ningekuwa ni PM au AG nisingekubali kujiudhuru kwajambo lisilonihusu mimi wala kuuhusu umma, hata kama nimepokea fedha za ESCROW kwa maendeleo ya umma.

Mwenye taarifa tofauti atuletee hapa.... uzushi uwekwe pembeni, matatizo binafsi yawekwe pembeni...ebu tupeni raha ya kusoma vigezo na ukweli, si uzushi na kejeli. Suala hili limenipotezea muda kulifuatilia ili nione uhalisia ulipo...kumbe twajadili mipasho na uzushi. jambo hili si jema kwa ustawi wa jamii inayoheshimu utu, sheria na misingi ya utawala bora.







haa ha ha ha ha! una akili nyingi, yaani shetani mmezidiana kidogo tu!
 
Huko nyuma umeulizwa...je unajua maana ya ESCROW?
Donald Rumsfeld said:
  1. There are known knowns. These are things we know that we know.
  2. There are known unknowns. That is to say, there are things that we know we don't know.
  3. But there are also unknown unknowns. There are things we don't know we don't know.
titomganwa kwa kiasi fulani nadhani umenata hapo kwenye No. 3, umeshupaa...hujui kuwa hujui!
 
Kwa mara ya kwanza tokea sakata hili lianze, leo ndiyo nimefunguka macho. Ukweli kabisa bila ushabiki pesa hizo si za umma kama tunavyodanganywa. Suala hili limekuja wakati mbaya ambapo kuna wengine wanataka kujiimarisha kisiasa kupitia hoja hii kwa ajili ya uchaguzi ujao. Nionavyo mimi tusubiri tu tutaona kila kitu.

Tatizo niwachache sana wanaoutafuta ukweli. Wengi wapo kishabiki hivyo ni rahisi kuangukia au kudandia taarifa za kizushi. Wanasiasa kwao huu ni mtaji n ni sababu ya kujipatia umaarufu. Sijui kama bunge litatoa mwelekeo sahihi wakati lineshagawanyika katika makundi lukuki ambayo ni hasimu
 
Yaani wewe ni mbwa kabisa, huna hata aibu kuja kutetea utumbo hapa. Umejifanya kuandika as if una upeo na unajua details zote za hii scandal kumbe huna unachojua! Mijitu kama wewe kama ipo mingi hii nchi haitakaa iendelee! Huna huruma watoto wetu wanakaa chini, wamama wajawazito wanalundikwa wodini kama wadudu, madawa hospitalini hakuna watu wanakufa kwa kukosa dawa halafu unatetea wizi mkubwa kama huu! Shenz type!!
Baada ya kusikia kelel nyingi juu ya suala la ESCROW, Nimepitia taarifa mbalimbali zinazohusu suala la fedha za account hii ya EScrow kwa upole, utulivu, unyenyekevu na bila ushabiki. Katika taarifa hizo nimepata kuelewa kuwa fedha za Escow si za umma, wala hazijaibiwa ka namna yoyote. Bali fedha hizi ni mali ya kampuniya IPTL kupitia kampuni tanzu mbili yaani Menchmar na VIP.

Kwa muda wa zaidi ya miaka miwili kumekuwapo na mgogoro wa waziwazi wa kimaslahi kati ya wamiliki wa IPTL ambao ni kampuni ya VIP na kampuni ya Mechmar kutoka Malaysia. Tuliokuwa tunafuatilia habari, hili si jambo geni

Cha ajabi kwangu, watu wengi wanashabikia bila kujua wala kujali kufuatilia kuwa account ya escrow ilianzishwaje. Taarifa zilizowazi zinaonyesha kwamba Mahakama Kuu, kufuatia mgogoro uliokuwepo, iliamua pande zote mbili yaani VIP na Mechmar zisaini hati ya makubaliano juu ya kutunza fedha za malipo ya kila mwezi ya umemeyatokanayo na umeme unaozalishwa na IPTL na kuiuzia TANESCO. Mpaka hapo nadhani wenzangu mmeanza kupata picha ya hili suala sumbufu.

Taarifa zinaonyesha kuwa, mahakama ilielekeza malipo hayo yahifadhiwe katika akaunti hiyo mpya ya ESCROW iliyofunguliwa Benki kuu hadi mgogoro kati ya wabia hawa wawili utakapoamriwa.
Mpaka hapo ndugu zangu, ikiwa taarifa hizi ni za kweli, mtakubaliana nami kuwa fedha za ESCROW ni mali ya IPTL. Yaani MENCHMAR na VIP. Zaidi ni majungu na wivu.

Sasa tujiulize mgogoro upo wapi? walalamikaji ni akina nani? fedha ambazo TANESCO imeridhia kulipia huduma inayotolewa kwa kazi ambayo imeshafanywa zinakuwaje fedha za umma?Ijulikane kuwa malipo yoyote ya taasisi nyeti kama TANESO hufanywa kwa kufuata taratibu na kuzingatia kanuni. maana yake malipo yale ni malipo halali kwa kazi halisiiliyofanywa.

Mwenzenu nimeona kuwa yawezekana jambo hili ni zaidi ya haya yanayotaarifiwa kwa uwazi.Pengine kuna nguvu inayoendesha mambo nyuma ya pazia. Suala lenyewe hapa lipo katika swali la kwanini baadhi ya viongozi wa umma wamepata mgao (Kama kweli wamepata, mimi hainihusu wala sina muda wa kuwaonea wivu). Hata hivyo bado hakuna sababu dhahiri ya kuziita fedha za ESCROW kuwa ni za umma. Zinabaki kuwa ni malipo ya umeme ambao TANESCO imeridhia kuwa umezalishwa na IPTL

Najua ni rahisi kuzusha mambo na kuyafanya yawe ni mjadala mkubwa katika jamii ya watu waliokosa mweleke na kukata tamaa. Wengi wetu tuna madeni, mipango yetu na njozi zetu zimevurugika... katika hali hii ni rahisi kupenda habari za uzushi zaidi kuliko za kweli na zenye tija. Lakini katika suala hili la fedha za Escrow...pesa hizo ni za IPTL.

Nahisi kuna mvutano wa makundi ya kisiasa. Lakini, ndugu zangu, kwa wanasiasa, muda huu ni muda wa kujipambanua. wale ambao watashindwa katika medani za ushindani katika mchezo huu rahisi, yamkini hata kuwa viongozi wa umma hawafai. Mimi niweke wazi, kama ningekuwa ni PM au AG nisingekubali kujiudhuru kwajambo lisilonihusu mimi wala kuuhusu umma, hata kama nimepokea fedha za ESCROW kwa maendeleo ya umma.

Mwenye taarifa tofauti atuletee hapa.... uzushi uwekwe pembeni, matatizo binafsi yawekwe pembeni...ebu tupeni raha ya kusoma vigezo na ukweli, si uzushi na kejeli. Suala hili limenipotezea muda kulifuatilia ili nione uhalisia ulipo...kumbe twajadili mipasho na uzushi. jambo hili si jema kwa ustawi wa jamii inayoheshimu utu, sheria na misingi ya utawala bora.






 
Back
Top Bottom