Fedha zilizokuwa katika akaunti maalumu ya IPTL (Tegeta Escrow account), ni mali ya umma

Fedha zilizokuwa katika akaunti maalumu ya IPTL (Tegeta Escrow account), ni mali ya umma

Baada ya kusikia kelel nyingi juu ya suala la ESCROW, Nimepitia taarifa mbalimbali zinazohusu suala la fedha za account hii ya EScrow kwa upole, utulivu, unyenyekevu na bila ushabiki. Katika taarifa hizo nimepata kuelewa kuwa fedha za Escow si za umma, wala hazijaibiwa ka namna yoyote. Bali fedha hizi ni mali ya kampuniya IPTL kupitia kampuni tanzu mbili yaani Menchmar na VIP.

Kwa muda wa zaidi ya miaka miwili kumekuwapo na mgogoro wa waziwazi wa kimaslahi kati ya wamiliki wa IPTL ambao ni kampuni ya VIP na kampuni ya Mechmar kutoka Malaysia. Tuliokuwa tunafuatilia habari, hili si jambo geni

Cha ajabi kwangu, watu wengi wanashabikia bila kujua wala kujali kufuatilia kuwa account ya escrow ilianzishwaje. Taarifa zilizowazi zinaonyesha kwamba Mahakama Kuu, kufuatia mgogoro uliokuwepo, iliamua pande zote mbili yaani VIP na Mechmar zisaini hati ya makubaliano juu ya kutunza fedha za malipo ya kila mwezi ya umemeyatokanayo na umeme unaozalishwa na IPTL na kuiuzia TANESCO. Mpaka hapo nadhani wenzangu mmeanza kupata picha ya hili suala sumbufu.

Taarifa zinaonyesha kuwa, mahakama ilielekeza malipo hayo yahifadhiwe katika akaunti hiyo mpya ya ESCROW iliyofunguliwa Benki kuu hadi mgogoro kati ya wabia hawa wawili utakapoamriwa.
Mpaka hapo ndugu zangu, ikiwa taarifa hizi ni za kweli, mtakubaliana nami kuwa fedha za ESCROW ni mali ya IPTL. Yaani MENCHMAR na VIP. Zaidi ni majungu na wivu.

Sasa tujiulize mgogoro upo wapi? walalamikaji ni akina nani? fedha ambazo TANESCO imeridhia kulipia huduma inayotolewa kwa kazi ambayo imeshafanywa zinakuwaje fedha za umma?Ijulikane kuwa malipo yoyote ya taasisi nyeti kama TANESO hufanywa kwa kufuata taratibu na kuzingatia kanuni. maana yake malipo yale ni malipo halali kwa kazi halisiiliyofanywa.

Mwenzenu nimeona kuwa yawezekana jambo hili ni zaidi ya haya yanayotaarifiwa kwa uwazi.Pengine kuna nguvu inayoendesha mambo nyuma ya pazia. Suala lenyewe hapa lipo katika swali la kwanini baadhi ya viongozi wa umma wamepata mgao (Kama kweli wamepata, mimi hainihusu wala sina muda wa kuwaonea wivu). Hata hivyo bado hakuna sababu dhahiri ya kuziita fedha za ESCROW kuwa ni za umma. Zinabaki kuwa ni malipo ya umeme ambao TANESCO imeridhia kuwa umezalishwa na IPTL

Najua ni rahisi kuzusha mambo na kuyafanya yawe ni mjadala mkubwa katika jamii ya watu waliokosa mweleke na kukata tamaa. Wengi wetu tuna madeni, mipango yetu na njozi zetu zimevurugika... katika hali hii ni rahisi kupenda habari za uzushi zaidi kuliko za kweli na zenye tija. Lakini katika suala hili la fedha za Escrow...pesa hizo ni za IPTL.

Nahisi kuna mvutano wa makundi ya kisiasa. Lakini, ndugu zangu, kwa wanasiasa, muda huu ni muda wa kujipambanua. wale ambao watashindwa katika medani za ushindani katika mchezo huu rahisi, yamkini hata kuwa viongozi wa umma hawafai. Mimi niweke wazi, kama ningekuwa ni PM au AG nisingekubali kujiudhuru kwajambo lisilonihusu mimi wala kuuhusu umma, hata kama nimepokea fedha za ESCROW kwa maendeleo ya umma.

Mwenye taarifa tofauti atuletee hapa.... uzushi uwekwe pembeni, matatizo binafsi yawekwe pembeni...ebu tupeni raha ya kusoma vigezo na ukweli, si uzushi na kejeli. Suala hili limenipotezea muda kulifuatilia ili nione uhalisia ulipo...kumbe twajadili mipasho na uzushi. jambo hili si jema kwa ustawi wa jamii inayoheshimu utu, sheria na misingi ya utawala bora.







Issue ni ndogo sana hapa. Mnaojiaminisha kua kesi ESCROW ilitokana na wabia kugombana ndio mnaosema fedha hazikua za umma!!

V/s

Tunaojiaminishia kua ESCROW ilifunguliwa kutokana na IPTL kui-overprice TANESCO tunasema fedha zilikua za umma!!
 
Wewe umelipwa Shs ngapi kutoka kwenye fuko la Escro account? Mbona unaelekea kuwa wewe ni Werema uliyeonekana umenywea kwenye mjadala wa Bunge jana, au Mh. Pinda aliyeonekana kupwaywa na nguo alizovaa ghafla.
Umechelewa sana, hata hao unaojaribu kuwakingia kifua watakushangaa jinsi usivyokwenda na wakati.
Subiri uone mjadala utakapoanza rasmi ndani ya Bunge. Pole sana.
 
Zimetoka wapi hizi fedha?
halafu mleta Mada unajua unaniudhi Sana wewe? Halafu una dharau Sana yamkini wewe ni yule waziri mwenye majigambo na dharau Sana. Iweje watu wagawane Pesa. Huoni ni ishara kuwa Kuna namna wamesaidia ukwapuaji huo???? Ujue watz Wana hasira! Ficha ujinga wako.
 
Tatizo lako umetafuta taarifa nusu ukaact. Kibaya tu ni kwamba ume act ukijifanya mjuaji kumbe mnywanywa tu. Tafuta taarifa kuhusu judgement ya ICID juu ya monthly capacity charges halafu anzia hapo ndo utajua hizi hela ni za nani.
 
Mara nyingi watu wanaobandika mada kama hizi huwa hawaonekani kwenye mtiririko wa uzi wakitetea walichoandika...

Yaani ni kama vile mtu anakuwa kanakili mahali na kuja kubandika hapa hiyo nakala...
 
Baada ya kusikia kelel nyingi juu ya suala la ESCROW, Nimepitia taarifa mbalimbali zinazohusu suala la fedha za account hii ya EScrow kwa upole, utulivu, unyenyekevu na bila ushabiki. Katika taarifa hizo nimepata kuelewa kuwa fedha za Escow si za umma, wala hazijaibiwa ka namna yoyote. Bali fedha hizi ni mali ya kampuniya IPTL kupitia kampuni tanzu mbili yaani Menchmar na VIP.

Kwa muda wa zaidi ya miaka miwili kumekuwapo na mgogoro wa waziwazi wa kimaslahi kati ya wamiliki wa IPTL ambao ni kampuni ya VIP na kampuni ya Mechmar kutoka Malaysia. Tuliokuwa tunafuatilia habari, hili si jambo geni

Cha ajabi kwangu, watu wengi wanashabikia bila kujua wala kujali kufuatilia kuwa account ya escrow ilianzishwaje. Taarifa zilizowazi zinaonyesha kwamba Mahakama Kuu, kufuatia mgogoro uliokuwepo, iliamua pande zote mbili yaani VIP na Mechmar zisaini hati ya makubaliano juu ya kutunza fedha za malipo ya kila mwezi ya umemeyatokanayo na umeme unaozalishwa na IPTL na kuiuzia TANESCO. Mpaka hapo nadhani wenzangu mmeanza kupata picha ya hili suala sumbufu.

Taarifa zinaonyesha kuwa, mahakama ilielekeza malipo hayo yahifadhiwe katika akaunti hiyo mpya ya ESCROW iliyofunguliwa Benki kuu hadi mgogoro kati ya wabia hawa wawili utakapoamriwa.
Mpaka hapo ndugu zangu, ikiwa taarifa hizi ni za kweli, mtakubaliana nami kuwa fedha za ESCROW ni mali ya IPTL. Yaani MENCHMAR na VIP. Zaidi ni majungu na wivu.

Sasa tujiulize mgogoro upo wapi? walalamikaji ni akina nani? fedha ambazo TANESCO imeridhia kulipia huduma inayotolewa kwa kazi ambayo imeshafanywa zinakuwaje fedha za umma?Ijulikane kuwa malipo yoyote ya taasisi nyeti kama TANESO hufanywa kwa kufuata taratibu na kuzingatia kanuni. maana yake malipo yale ni malipo halali kwa kazi halisiiliyofanywa.

Mwenzenu nimeona kuwa yawezekana jambo hili ni zaidi ya haya yanayotaarifiwa kwa uwazi.Pengine kuna nguvu inayoendesha mambo nyuma ya pazia. Suala lenyewe hapa lipo katika swali la kwanini baadhi ya viongozi wa umma wamepata mgao (Kama kweli wamepata, mimi hainihusu wala sina muda wa kuwaonea wivu). Hata hivyo bado hakuna sababu dhahiri ya kuziita fedha za ESCROW kuwa ni za umma. Zinabaki kuwa ni malipo ya umeme ambao TANESCO imeridhia kuwa umezalishwa na IPTL

Najua ni rahisi kuzusha mambo na kuyafanya yawe ni mjadala mkubwa katika jamii ya watu waliokosa mweleke na kukata tamaa. Wengi wetu tuna madeni, mipango yetu na njozi zetu zimevurugika... katika hali hii ni rahisi kupenda habari za uzushi zaidi kuliko za kweli na zenye tija. Lakini katika suala hili la fedha za Escrow...pesa hizo ni za IPTL.

Nahisi kuna mvutano wa makundi ya kisiasa. Lakini, ndugu zangu, kwa wanasiasa, muda huu ni muda wa kujipambanua. wale ambao watashindwa katika medani za ushindani katika mchezo huu rahisi, yamkini hata kuwa viongozi wa umma hawafai. Mimi niweke wazi, kama ningekuwa ni PM au AG nisingekubali kujiudhuru kwajambo lisilonihusu mimi wala kuuhusu umma, hata kama nimepokea fedha za ESCROW kwa maendeleo ya umma.

Mwenye taarifa tofauti atuletee hapa.... uzushi uwekwe pembeni, matatizo binafsi yawekwe pembeni...ebu tupeni raha ya kusoma vigezo na ukweli, si uzushi na kejeli. Suala hili limenipotezea muda kulifuatilia ili nione uhalisia ulipo...kumbe twajadili mipasho na uzushi. jambo hili si jema kwa ustawi wa jamii inayoheshimu utu, sheria na misingi ya utawala bora.







"I will not let anyone walk through my mind with their dirty feet" Mahatma Gandhi.
 
kimtokacho mtu ndicho kimjaacho. umejaa ujinga ndo maana umeutoa. usidhani watz ni wajinga. you can fool all people BUT you can not fool them all the time.
 
Nipo na ninandelea kufuatilia. Nikimbie nini? Kwakuwa suala hili limejaa ushabiki na hisia, ni ngumu sana kujibizana na halaiki yenye hasira juu ya jambo wasilolifuatilia kwa kina wala kutaka kujua hoja, vigezo na kanuni.

Jamani mwenye hoja na taatifa za uhakika kuwa fedha hizi ni zauma atiririke hapa. Nitafurahi kupata taarifa zinazoainisha bayana kuwa fedha zile zilikuwa za umma. Mimi si shabiki wa kutafuta ushindi. ukiwa na hoja na vigezo bayana na vya kweli sikawii kubadili msimamo.

Nielekezeni, hela hizo ni za umma kivipi? IPTL haijauza umeme TANESCO? Au walilipwa kwa namna nyingine?

Matusi ni dalili ya utepetevu wa ki fikra. Toeni hoja. Najua katika hili mtanikejeli sana lakini nasubiri taarifa zenu

Mara nyingi watu wanaobandika mada kama hizi huwa hawaonekani kwenye mtiririko wa uzi wakitetea walichoandika...

Yaani ni kama vile mtu anakuwa kanakili mahali na kuja kubandika hapa hiyo nakala...
 
Whiteberry uungwana wako uko wapi? Ujinga si tusi maana ni kukosa maarifa? Lakini kuhusu Escrow money taarifa nilizozifuatilia zinaonyesha kuwa ni mali ya IPTL. Wewe kama una taarifa kuwa fedha hizo ni za umma nijulishe. Nitafurahi sana tu. Nitakushukuru pia

kimtokacho mtu ndicho kimjaacho. umejaa ujinga ndo maana umeutoa. usidhani watz ni wajinga. you can fool all people BUT you can not fool them all the time.
 
Yaani mleta mada km tungekuwa tunaonana ana kwa ana,ningeshakuharibu sura kabisa na kwa hasira nilizonazo juu yako ningekufanyia hadi 0713..! Nyambaf...u kabisaa!!
 
Baada ya kusikia kelel nyingi juu ya suala la ESCROW, Nimepitia taarifa mbalimbali zinazohusu suala la fedha za account hii ya EScrow kwa upole, utulivu, unyenyekevu na bila ushabiki. Katika taarifa hizo nimepata kuelewa kuwa fedha za Escow si za umma, wala hazijaibiwa ka namna yoyote. Bali fedha hizi ni mali ya kampuniya IPTL kupitia kampuni tanzu mbili yaani Menchmar na VIP.

Kwa muda wa zaidi ya miaka miwili kumekuwapo na mgogoro wa waziwazi wa kimaslahi kati ya wamiliki wa IPTL ambao ni kampuni ya VIP na kampuni ya Mechmar kutoka Malaysia. Tuliokuwa tunafuatilia habari, hili si jambo geni

Cha ajabi kwangu, watu wengi wanashabikia bila kujua wala kujali kufuatilia kuwa account ya escrow ilianzishwaje. Taarifa zilizowazi zinaonyesha kwamba Mahakama Kuu, kufuatia mgogoro uliokuwepo, iliamua pande zote mbili yaani VIP na Mechmar zisaini hati ya makubaliano juu ya kutunza fedha za malipo ya kila mwezi ya umemeyatokanayo na umeme unaozalishwa na IPTL na kuiuzia TANESCO. Mpaka hapo nadhani wenzangu mmeanza kupata picha ya hili suala sumbufu.

Taarifa zinaonyesha kuwa, mahakama ilielekeza malipo hayo yahifadhiwe katika akaunti hiyo mpya ya ESCROW iliyofunguliwa Benki kuu hadi mgogoro kati ya wabia hawa wawili utakapoamriwa.
Mpaka hapo ndugu zangu, ikiwa taarifa hizi ni za kweli, mtakubaliana nami kuwa fedha za ESCROW ni mali ya IPTL. Yaani MENCHMAR na VIP. Zaidi ni majungu na wivu.

Sasa tujiulize mgogoro upo wapi? walalamikaji ni akina nani? fedha ambazo TANESCO imeridhia kulipia huduma inayotolewa kwa kazi ambayo imeshafanywa zinakuwaje fedha za umma?Ijulikane kuwa malipo yoyote ya taasisi nyeti kama TANESO hufanywa kwa kufuata taratibu na kuzingatia kanuni. maana yake malipo yale ni malipo halali kwa kazi halisiiliyofanywa.

Mwenzenu nimeona kuwa yawezekana jambo hili ni zaidi ya haya yanayotaarifiwa kwa uwazi.Pengine kuna nguvu inayoendesha mambo nyuma ya pazia. Suala lenyewe hapa lipo katika swali la kwanini baadhi ya viongozi wa umma wamepata mgao (Kama kweli wamepata, mimi hainihusu wala sina muda wa kuwaonea wivu). Hata hivyo bado hakuna sababu dhahiri ya kuziita fedha za ESCROW kuwa ni za umma. Zinabaki kuwa ni malipo ya umeme ambao TANESCO imeridhia kuwa umezalishwa na IPTL

Najua ni rahisi kuzusha mambo na kuyafanya yawe ni mjadala mkubwa katika jamii ya watu waliokosa mweleke na kukata tamaa. Wengi wetu tuna madeni, mipango yetu na njozi zetu zimevurugika... katika hali hii ni rahisi kupenda habari za uzushi zaidi kuliko za kweli na zenye tija. Lakini katika suala hili la fedha za Escrow...pesa hizo ni za IPTL.

Nahisi kuna mvutano wa makundi ya kisiasa. Lakini, ndugu zangu, kwa wanasiasa, muda huu ni muda wa kujipambanua. wale ambao watashindwa katika medani za ushindani katika mchezo huu rahisi, yamkini hata kuwa viongozi wa umma hawafai. Mimi niweke wazi, kama ningekuwa ni PM au AG nisingekubali kujiudhuru kwajambo lisilonihusu mimi wala kuuhusu umma, hata kama nimepokea fedha za ESCROW kwa maendeleo ya umma.

Mwenye taarifa tofauti atuletee hapa.... uzushi uwekwe pembeni, matatizo binafsi yawekwe pembeni...ebu tupeni raha ya kusoma vigezo na ukweli, si uzushi na kejeli. Suala hili limenipotezea muda kulifuatilia ili nione uhalisia ulipo...kumbe twajadili mipasho na uzushi. jambo hili si jema kwa ustawi wa jamii inayoheshimu utu, sheria na misingi ya utawala bora.







Yaani wewe mbululaa kama umetumwaa au umelipwaa usemee,i dont See your point
 
Kwenye ripoti ya GAG IPTL imelipisha serikali zaidi ya Tsh 300b zaidi ya pesa ambayo wangetakikwa kulipwa Overbill! hivyo hata kama account haikuwa ya serikali ni ndogo kuliko deni la IPTL. Pili ni kwanini huyo mmiliki katoa pesa kwa wabunge
 
Nipo na ninandelea kufuatilia. Nikimbie nini? Kwakuwa suala hili limejaa ushabiki na hisia, ni ngumu sana kujibizana na halaiki yenye hasira juu ya jambo wasilolifuatilia kwa kina wala kutaka kujua hoja, vigezo na kanuni.

Jamani mwenye hoja na taatifa za uhakika kuwa fedha hizi ni zauma atiririke hapa. Nitafurahi kupata taarifa zinazoainisha bayana kuwa fedha zile zilikuwa za umma. Mimi si shabiki wa kutafuta ushindi. ukiwa na hoja na vigezo bayana na vya kweli sikawii kubadili msimamo.

Nielekezeni, hela hizo ni za umma kivipi? IPTL haijauza umeme TANESCO? Au walilipwa kwa namna nyingine?

Matusi ni dalili ya utepetevu wa ki fikra. Toeni hoja. Najua katika hili mtanikejeli sana lakini nasubiri taarifa zenu
Wewe ni mjinga sana hapa tumeibiwa kihalali naweza kusema hivyo.ndio tanesco wameuza umeme ila kwa bei gani? Hii imefanyika hapa ni black market Na ndio maana cag Na takukuru wakatoa taarifa Yao baada ya uchunguzi uliofanyika. Mtatetea Sana lakinni ukweli upo wazi tumezidiwa nguvu Na watu wachache Na ndio sababu mkaanza kugawana fedha hovyo mnalipia harusi kwa mabilioni hivi mnaona watanzania wajinga Sana enhee?
 
Unataka kusema watazania wote pluc wasomi wa nchi hii na wabunge pluc na nchi jiran wote hawajui ila ww ndo unaijua sana hyo escrow au cjakuelewa mkuu
 
Duh!!! jamaa kaweka MAVI yake hapa na kuingia mtini hajajibu hoja hata moja.
 
Back
Top Bottom