Fedha zilizokuwa katika akaunti maalumu ya IPTL (Tegeta Escrow account), ni mali ya umma

Chanzo chenyewe cha habari ni chanzo cha wavuta bangi kama bavicha.
 
Kwahiyo wewe ndiyo umeyaona leo haya?
 
Hii kitu ipo humu tangu majuzi lakini naona vimelea vya traitors vinashindana kudurufu hii kitu kila ikiondolewa au kuhamishwa!!

Ushauri kwa Zitto $ Company,aitishe press conference ya kufafanua na kuwajibu wale waliosema Zitto na Kafulila ni wala rushwa na w@shenzi na pia tumbili tu!! Yes kama ana guts anasubiri nini kwa kujificha Facebook na Twitter??!!

Nahisi siku hizi hata michango yake bungeni anatumia ofisi yake ya facebook kuchangia bungeni!!
 
Hivi CAG na Takokuru wanamaliza lini uchunguzi tujue kama tumeliwa au haki yetu watanzania ipo? Hapa kuna kila dalili kuwa uchunguzi utachukua muda mrefu hadi Muhongo, Maswi na Werema wamemaliza hela walizoiba
 
Zitto ana akili kuliko chadema wote
Hivi nyie ni bangi au kuchanganyikiwa? Mbona upande wa pili mnakataa kuwa chama chenu hakija simamia wizi huo ila anayesema mmeiba ana akili sana ? Inamaana mnakubali kuwa AG na timu yake wamehusika na wizi huo kwq baraka za serikali ya ccm?
Au mnaandikq tuu ili muitaje Chadema?
 
CCM ni ukoo wa panya—babu mwizi, baba mwizi, watoto wezi, wajukuu wezi, vitukuu wezi, vilembwe wezi na vining’ina wezi! Ukoo huu wa panya walikuwa wanasafiri katika boti la muhogo, lakini kwa sababu ya uroho wao, walianza kulitafuna boti! Kilichofuata ni ukoo mzima wa kizazi cha panya kuzama na kuangamia.

CCM wameanza kuitafuna nchi tangu mwaka 1961 lakini ukomo wao wa kutafuna rasilimali za nchi ni mwaka 2015 kwani hakuna mtanzania mwenye hamu ya kuongozwa na chama cha kifisadi kama CCM ambacho kimeshindwa kuboresha maisha na ustawi wa watanzania. Wananchi wamechoka kubebeshwa ‘magunia ya misumari’ ya bei ya juu ya umeme, mfumuko wa bei wa kutisha, elimu duni, maisha duni, ufisadi wa kutisha, EPA na matatizo lukuki yanayosababishwa na panya (CCM) hawa wasiokuwa na haya! Kizazi kizima cha CCM kinakaribia kuzama na kusahaulika kabisa katika ardhi ya Tanzania.

It’s a matter of time before CCM dynasty comes to an end, and that’s when magambas will apprehend the significance and power of the people. Desolately, CCM have been ignoring and looking down their noses at common Tanzanians for many years. Time has now come when citizens can no longer endure CCM’s tyranny and corrupt rule. Everybody is tired of living like a slave in a land endowed with an assortment of natural wealth which only benefits the minority fisadis and a few elites in power while majority Tanzanians lead very miserable lives.

What comes around goes around. Let CCM go to hell for good because they have absolutely failed to uplift the living standards of millions of Tanzanians at the expense of a few fisadis whose gargantuan stomachs never fill up! And no one should be blamed for the hatred and grudge that many Tanzanians hold against CCM and their crooked government except fisadis themselves who, horrendously, decided to gnaw the cassava-made boat by which they were sailing!
 
Mbona Zitto hajibu hoja ya Maswi kuwa hajachangia wizara ya nishat na madini toka 2011?

Mbona hajitokezi kumjibu nje ya bunge hadharani si nyuma ya keyboard?

Tokanlini Zitto ameanza kuwa mtetezi wa wanawake?

Mada inahusu escrow account, haya mengine si maswali ya msingi. Tuwe wazalendo tustick kweny point na sio personal attack.
 
Soma Africa Confidential kuhusu Escrow, hii biashara ni chafu kuliko tudhaniavyo! Na huenda inahusiana sana na Ufisadi wa Radar. Huenda ikawa huu mpango ulikuwa ni kuendeleza akaunti za kule Virgin Islands??

Tanzania/EnEnergy
MPs demand answers
The government refused to give in to parliamentary demands for an answer about strange goings on at the power suppliers
Investigations into the controversial release of US$122 million from an escrow account to the new owners of Independent Power Tanzania Limited (IPTL) are running into heavy weather. All enquiries by members of parliament or journalists meet a mixture of obfuscation and threats by government ministers and other state departments (AC Vol 55 No 9).
In an effort to bring clarity to the issue, Parliament's Public Accounts Committee in Dodoma has issued an ultimatum to both the Controller and Auditor General, Ludovick Utouh, and the Prevention and Combating of Corruption Bureau to complete their audits in the coming weeks. The PAC Chairman, Zitto Kabwe of the opposition Chama cha Demokrasia na Maendeleo, hopes to establish how IPTL's previous Malaysian ownership came to be transferred to Pan African Power Solutions Tanzania Ltd. (PAP), a company with no demonstrable experience in the power sector, under Executive Chairman Harbinder Singh Sethi.Sethi is seeking US$5.5 billion from both The Citizen and its parent company in general damages and business losses that he claims PAP suffered following articles published earlier this year. PAP and Sethi have demanded that the High Court impose a blanket ban on both papers publishing any story related to IPTL.Energy and Mineral Resources Minister Sospeter Muhongo told Parliament at the end of May that opposition MPs were being bribed to raise questions about IPTL. However, when his Deputy, Stephen Julius Masele, accused the British High Commissioner, Dianna Patricia Melrose,

of a ‘violation of diplomatic principles' over the affair, he seems to have gone too far. Prime Minister Mizengo Pinda has attempted to smooth over any signs of a diplomatic rift and the UK is a major donor which continues to pay regular tranches of budget support. In May, Melrose had told The Citizen that the IPTL issue was of ‘great concern' to her government and that the High Commission had been in touch with the relevant ministers and the Governor of the Bank of Tanzania, Benno Ndulu.The liquidators of Malaysia's Mechmar Corporation, which originally owned 70% of IPTL, have informed the PAC that Sethi is not the custodian of Mechmar's assets in Tanzania and they refute his claim that he acquired Mechmar from Piper Link Investments Ltd., a company registered in the British Virgin Islands. ‘In the circumstances, it is inconceivable that either Sethi or PAP acquired any legal interest in Mechmar's shares in IPTL,' Australian liquidators Ferrier Hodgson declared in March.
Embracing CSRCSRCSR
Despite several current legal proceedings outside Tanzania, Sethi has embarked on a local charm offensive and claiming to embrace corporate social responsibility. In June, he presented a cheque for 10 million Tanzania shillings (US$5,950) to build a new police station in the Mbweni-Malindi area of Dar es Salaam, to improve security in that part of the city. Sethi's complex business relationships are thought to include an interest in Hydrotanz, whose main shareholder is Signet Petroleum Ltd., also registered in the British Virgin Islands. Signet has a production-sharing agreement with the government for prospective gas reserves in North Mnazi Bay, scheduled to be linked by pipeline to Dar es Salaam.Sethi, whose interests include property in New York, is routinely referred to as a Kenyan businessman and sometimes as ‘South African-based' but he is thought to be Tanzanian by birth. In 2011, Kenya's Ethics and Anti-Corruption Committee investigated alleged irregular payments by Kenya's National Social Security Fund to Sethi's Pan African Builders and Contractors Ltd. The NSSF paid a hefty out of court settlement to Pabco after a long-running dispute over building the upmarket Kitsuru suburb in Nairobi. l
 

Ni mjinga na mwehu tu atakayeingia barabarani kupiga kelele na taperi, mwizi, jambazi na msaliti kumuunga mkono anapopiga kelelekuwa ameona wezi sehemu wakati yeye mwenyewe hajaacha uchafu huo!
 
Mada inahusu escrow account, haya mengine si maswali ya msingi. Tuwe wazalendo tustick kweny point na sio personal attack.

Wewe stuka!... Jambazi na msaliti hana jipya la kutuambia kuhusu wizi na ujambazi ambao yeye mwenyewe anautetea na kuutumikia kwa siri!
 
Kweli mkuu naona wote ni wazee wa dili tu, Zitto huwa akichafuliwa hamalizi hata nusu saa kakanusha ila kwa hili inaonekana Maswi kampiga kwenye kichwa mzee wa madili ZK

Mkuu mbona ni crystal clear kuwa sehemu ya fedha za IPTL zimepelekwa ACT kwaajili ya kuihujumu CDM.... si zitto wa Mwigamba utamsikia wakipiga kelele kulaani UFISADI huu unao angusha na kuporomosha thamani ya shilling kwa sasa ...
 

Mwizi na fisadi hawezi kuongoza vita ya ukombozi dhidi ya ufisadi, full stop!... Lazima atueleze alipewa magari na NIMRODI Mkono kwa madhumuni gani? Bilioni tatu za kuhujumu chadema ulipata mgao?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…