Fedha zilizokuwa katika akaunti maalumu ya IPTL (Tegeta Escrow account), ni mali ya umma

Fedha zilizokuwa katika akaunti maalumu ya IPTL (Tegeta Escrow account), ni mali ya umma

Mtu mmoja analipwaje mpaka 1.6bn kwa kazi ipi, na kama IPTL inatengeneza surplus ya namna hiyo nani kanyonywa hapo si mwananchi sio tu kudeal ki hivyo angalia bei ta umee kunufaisha wachache. Yaani umchague mtu alafu akukarie kiasi hicho. Ci unafamu hakuna cha bure ciku hizi sasa mtu atapataje mgao ambao hajui ulikotoka?

Hivi hiyo 1.6 bn unayozungumzia imetoka kwa Akaunt ya nani??,Nnavoona wengi hawajui hata wanachojadili ukija kwenye sakata la Escrow..Mtu hujui Historia ya IPTL,Hujui Escrow akaunt kwa nini ilifunguliwa na lini,hujui ilifungwa lini,hujui kipindi inafungwa kulikuwa na makubaliano yapi baina ya wabia,hujui mahakama ilitoa agizo gani kwenye hilo, hujui riport ya CAG itakuwaje.Kila kitu hujui alafu unaandika mashudu tu hapa....
 
Baada ya kusikia kelel nyingi juu ya suala la ESCROW, Nimepitia taarifa mbalimbali zinazohusu suala la fedha za account hii ya EScrow kwa upole, utulivu, unyenyekevu na bila ushabiki. Katika taarifa hizo nimepata kuelewa kuwa fedha za Escow si za umma, wala hazijaibiwa ka namna yoyote. Bali fedha hizi ni mali ya kampuniya IPTL kupitia kampuni tanzu mbili yaani Menchmar na VIP.

Kwa muda wa zaidi ya miaka miwili kumekuwapo na mgogoro wa waziwazi wa kimaslahi kati ya wamiliki wa IPTL ambao ni kampuni ya VIP na kampuni ya Mechmar kutoka Malaysia. Tuliokuwa tunafuatilia habari, hili si jambo geni

Cha ajabi kwangu, watu wengi wanashabikia bila kujua wala kujali kufuatilia kuwa account ya escrow ilianzishwaje. Taarifa zilizowazi zinaonyesha kwamba Mahakama Kuu, kufuatia mgogoro uliokuwepo, iliamua pande zote mbili yaani VIP na Mechmar zisaini hati ya makubaliano juu ya kutunza fedha za malipo ya kila mwezi ya umemeyatokanayo na umeme unaozalishwa na IPTL na kuiuzia TANESCO. Mpaka hapo nadhani wenzangu mmeanza kupata picha ya hili suala sumbufu.

Taarifa zinaonyesha kuwa, mahakama ilielekeza malipo hayo yahifadhiwe katika akaunti hiyo mpya ya ESCROW iliyofunguliwa Benki kuu hadi mgogoro kati ya wabia hawa wawili utakapoamriwa.
Mpaka hapo ndugu zangu, ikiwa taarifa hizi ni za kweli, mtakubaliana nami kuwa fedha za ESCROW ni mali ya IPTL. Yaani MENCHMAR na VIP. Zaidi ni majungu na wivu.

Sasa tujiulize mgogoro upo wapi? walalamikaji ni akina nani? fedha ambazo TANESCO imeridhia kulipia huduma inayotolewa kwa kazi ambayo imeshafanywa zinakuwaje fedha za umma?Ijulikane kuwa malipo yoyote ya taasisi nyeti kama TANESO hufanywa kwa kufuata taratibu na kuzingatia kanuni. maana yake malipo yale ni malipo halali kwa kazi halisiiliyofanywa.

Mwenzenu nimeona kuwa yawezekana jambo hili ni zaidi ya haya yanayotaarifiwa kwa uwazi.Pengine kuna nguvu inayoendesha mambo nyuma ya pazia. Suala lenyewe hapa lipo katika swali la kwanini baadhi ya viongozi wa umma wamepata mgao (Kama kweli wamepata, mimi hainihusu wala sina muda wa kuwaonea wivu). Hata hivyo bado hakuna sababu dhahiri ya kuziita fedha za ESCROW kuwa ni za umma. Zinabaki kuwa ni malipo ya umeme ambao TANESCO imeridhia kuwa umezalishwa na IPTL

Najua ni rahisi kuzusha mambo na kuyafanya yawe ni mjadala mkubwa katika jamii ya watu waliokosa mweleke na kukata tamaa. Wengi wetu tuna madeni, mipango yetu na njozi zetu zimevurugika... katika hali hii ni rahisi kupenda habari za uzushi zaidi kuliko za kweli na zenye tija. Lakini katika suala hili la fedha za Escrow...pesa hizo ni za IPTL.

Nahisi kuna mvutano wa makundi ya kisiasa. Lakini, ndugu zangu, kwa wanasiasa, muda huu ni muda wa kujipambanua. wale ambao watashindwa katika medani za ushindani katika mchezo huu rahisi, yamkini hata kuwa viongozi wa umma hawafai. Mimi niweke wazi, kama ningekuwa ni PM au AG nisingekubali kujiudhuru kwajambo lisilonihusu mimi wala kuuhusu umma, hata kama nimepokea fedha za ESCROW kwa maendeleo ya umma.

Mwenye taarifa tofauti atuletee hapa.... uzushi uwekwe pembeni, matatizo binafsi yawekwe pembeni...ebu tupeni raha ya kusoma vigezo na ukweli, si uzushi na kejeli. Suala hili limenipotezea muda kulifuatilia ili nione uhalisia ulipo...kumbe twajadili mipasho na uzushi. jambo hili si jema kwa ustawi wa jamii inayoheshimu utu, sheria na misingi ya utawala bora.







hili linaeleweka ingawa baadhi ya watu wanajitoa ufahamu na kudhani IPTL ni mali ya umma na hivyo hawakustahili kulipwa na umeme tuliotuma miaka kumi na moja tutumie bure
 
10383896_893534344011683_5447752879508876137_n.jpg
 
Hivi hiyo 1.6 bn unayozungumzia imetoka kwa Akaunt ya nani??,Nnavoona wengi hawajui hata wanachojadili ukija kwenye sakata la Escrow..Mtu hujui Historia ya IPTL,Hujui Escrow akaunt kwa nini ilifunguliwa na lini,hujui ilifungwa lini,hujui kipindi inafungwa kulikuwa na makubaliano yapi baina ya wabia,hujui mahakama ilitoa agizo gani kwenye hilo, hujui riport ya CAG itakuwaje.Kila kitu hujui alafu unaandika mashudu tu hapa....

kweli mkuu hawa jamaa ni vilaza na wanalenga kupotosha umma kwa makusudi
 
kujandili escrow unatakiwa uwe mtu kama mwendawazimu kuna watu wanaielezea vizuri sana kuwa hela hizo si za uma lakini wanaosema hela umma hawafafanui utasikia watoke wajiuzuru

wanafahamu ila wanajitoa ufahamu hawa wadudu, ila jumatatu upuuzi huu utaisha na ukweli utawekwa wazi
 
[h=2]Saturday, 22 November 2014[/h] [h=3]SAKATA LA ESCROW BUNGE KULIPUKA[/h]
SAKATA la akaunti ya Escrow limezidi kuchukua sura mpya, baada ya kuibuka mambo mazito ikiwemo taarifa za baadhi ya wajumbe wa Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC) kudaiwa kuchukua rushwa kwa kampuni ya Independet Power Limited (IPTL).

Taarifa hiyo imekuja wakati ripoti ya uchunguzi wa akaunti hiyo ikitarajia kusomwa ndani ya bunge, ambapo imeelezwa kuwepo kwa makelele mengi ndani ya bunge kunatokana na baadhi ya wabunge kukosa mgawo wa fedha na wengine na wao kuchukua rushwa.

Nyaraka za malipo, ambazo gazeti hili ilizipata ambazo zinamuhusisha mtumishi wa bunge ambaye ni mmoja wa makatibu wa kamati ya PAC, Beatus Malima na wakili wa Mwenyekiti wa PAC, Zitto Kabwe aitwaye Alberto Msando, ambao walichukua milioni 10 kila mmoja kwa nyakati tofauti na kuzipeleka kwa wajumbe PAC ili waandae Ripoti itakayoonyesha kwamba kwenye IPTL haina Tatizo.

Katika vocha ya malipo iliyotoka PAP inamuonyesha April 8, 2014 Wakili Msando alipokea sh. milioni 10 kwa ajili PAC na Zitto kuandaa majibu ya malalamiko ya kampuni ya MECHMAR dhidi ya IPTL/PAP kazi ambayo inasemekana zitto aliifanya Machi 28, mwaka huu.

Taarifa zaidi zinaonyesha kwamba tarehe hiyo, mtumishi wa bunge anayefanya kazi na Kamati ya PAC, Beatus Malima naye alichukua kiasi kama hicho cha fedha kwa kazi hiyo hiyo

Msando alitambulishwa na Zitto kwa uongozi wa IPTL/PAP kama mshauri wake wa kisheria na mwanasheria hivyo chochote atakachowaambia ni maagizo kutoka kwake, ambapo Zitto alimtambulisha kwa Mwenyekiti Mtendaji wa PAP, Harbinder Sethi baada ya kikao kirefu walichokifanya yeye na zitto kabla ya Mwenyekiti huyo wa PAC hajasafiri kwenda India kwenye matibabu ya marehemu mama yake, siku chache kabla ya malipo haya hayajafanyika.

Mmoja wa wabunge, ambaye hakupenda kutaja jina lake, alisema hili suala lina makandomakando mengi na wala si hayo yanayozungumzwa kwa kuwa PAP waliipata IPTL kwa kufuata taratibu zote kisheria pamoja na malipo waliyopewa katika akaunti ya Escrow yalikuwa halali kwao.

Taarifa hizo zilionyesha kuwa wakili huyo na mtumishi huyo waliendelea na utaratibu wa kuwa wanachukua pesa IPTL kwa sababu mbalimbali na mwishowe kuwapa maagizo kwamba itabidi PAC walipwe kiasi cha billioni 1.5 ili wazuie mjadala uliotarajia kuibuliwa kipindi hicho kuhusu sakata hilo.

"Hawa jamaa wanaonewa kwa kuwa kuna kundi kubwa la wafanyabiashara nyumba ya IPTL, ambao waliitaka kampuni hii lakini wameshindwa. Hawa hawana makosa yeyote na kinachofanyika ni kuwaonea na mvutano uliopo kwa wale waliokosa mshiko wao ndio wanatumiwa,''alisema mbunge huyo.

Mbunge huyo, alisema "hebu fikiria, kama wangepewa hizo pesa walizoomba, je IPTL ingekuwa halali leo machoni mwao?, kwanini wawatese watu wasio na hatia kwa uroho na njaa zao binafsi?, ninakuhakikishia safari hii hatutakubali bunge kutumiwa kama kichaka cha watu kutimiza matakwa yao ya kisiasa baada ya kukosa hongo walizoomba" alisema.

Hivyo, alisema wabunge wengi wamejiandaa kueleza ukweli ndani ya bunge pamoja na kutoa mawasiliano ya simu kati ya wajumbe wa PAC na baadhi ya wabunge kuwaomba wawape nguvu katika suala hilo, pamoja na mawasiliano ya fedha kwa viongozi wa PAP yalivyokuwa yakifanyika.

attachment.php


attachment.php


HABARI MOTO: SAKATA LA ESCROW BUNGE KULIPUKA


SOURCE GAZETI UHURU, JAMII FORUMS
 
Bado naendelea kukusanya idadi ya misukule sugu ya magamba nikishamaliza hii kazi ntakuambia we ni msukule namba ngapi!!.

bora misukule inayoishi kuliko maiti iliyooza......mmmh kweli fumbo la mjinga ni kemi
 
Saturday, 22 November 2014

SAKATA LA ESCROW BUNGE KULIPUKA


SAKATA la akaunti ya Escrow limezidi kuchukua sura mpya, baada ya kuibuka mambo mazito ikiwemo taarifa za baadhi ya wajumbe wa Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC) kudaiwa kuchukua rushwa kwa kampuni ya Independet Power Limited (IPTL).

Taarifa hiyo imekuja wakati ripoti ya uchunguzi wa akaunti hiyo ikitarajia kusomwa ndani ya bunge, ambapo imeelezwa kuwepo kwa makelele mengi ndani ya bunge kunatokana na baadhi ya wabunge kukosa mgawo wa fedha na wengine na wao kuchukua rushwa.

Nyaraka za malipo, ambazo gazeti hili ilizipata ambazo zinamuhusisha mtumishi wa bunge ambaye ni mmoja wa makatibu wa kamati ya PAC, Beatus Malima na wakili wa Mwenyekiti wa PAC, Zitto Kabwe aitwaye Alberto Msando, ambao walichukua milioni 10 kila mmoja kwa nyakati tofauti na kuzipeleka kwa wajumbe PAC ili waandae Ripoti itakayoonyesha kwamba kwenye IPTL haina Tatizo.

Katika vocha ya malipo iliyotoka PAP inamuonyesha April 8, 2014 Wakili Msando alipokea sh. milioni 10 kwa ajili PAC na Zitto kuandaa majibu ya malalamiko ya kampuni ya MECHMAR dhidi ya IPTL/PAP kazi ambayo inasemekana zitto aliifanya Machi 28, mwaka huu.

Taarifa zaidi zinaonyesha kwamba tarehe hiyo, mtumishi wa bunge anayefanya kazi na Kamati ya PAC, Beatus Malima naye alichukua kiasi kama hicho cha fedha kwa kazi hiyo hiyo

Msando alitambulishwa na Zitto kwa uongozi wa IPTL/PAP kama mshauri wake wa kisheria na mwanasheria hivyo chochote atakachowaambia ni maagizo kutoka kwake, ambapo Zitto alimtambulisha kwa Mwenyekiti Mtendaji wa PAP, Harbinder Sethi baada ya kikao kirefu walichokifanya yeye na zitto kabla ya Mwenyekiti huyo wa PAC hajasafiri kwenda India kwenye matibabu ya marehemu mama yake, siku chache kabla ya malipo haya hayajafanyika.

Mmoja wa wabunge, ambaye hakupenda kutaja jina lake, alisema hili suala lina makandomakando mengi na wala si hayo yanayozungumzwa kwa kuwa PAP waliipata IPTL kwa kufuata taratibu zote kisheria pamoja na malipo waliyopewa katika akaunti ya Escrow yalikuwa halali kwao.

Taarifa hizo zilionyesha kuwa wakili huyo na mtumishi huyo waliendelea na utaratibu wa kuwa wanachukua pesa IPTL kwa sababu mbalimbali na mwishowe kuwapa maagizo kwamba itabidi PAC walipwe kiasi cha billioni 1.5 ili wazuie mjadala uliotarajia kuibuliwa kipindi hicho kuhusu sakata hilo.

"Hawa jamaa wanaonewa kwa kuwa kuna kundi kubwa la wafanyabiashara nyumba ya IPTL, ambao waliitaka kampuni hii lakini wameshindwa. Hawa hawana makosa yeyote na kinachofanyika ni kuwaonea na mvutano uliopo kwa wale waliokosa mshiko wao ndio wanatumiwa,''alisema mbunge huyo.

Mbunge huyo, alisema "hebu fikiria, kama wangepewa hizo pesa walizoomba, je IPTL ingekuwa halali leo machoni mwao?, kwanini wawatese watu wasio na hatia kwa uroho na njaa zao binafsi?, ninakuhakikishia safari hii hatutakubali bunge kutumiwa kama kichaka cha watu kutimiza matakwa yao ya kisiasa baada ya kukosa hongo walizoomba" alisema.

Hivyo, alisema wabunge wengi wamejiandaa kueleza ukweli ndani ya bunge pamoja na kutoa mawasiliano ya simu kati ya wajumbe wa PAC na baadhi ya wabunge kuwaomba wawape nguvu katika suala hilo, pamoja na mawasiliano ya fedha kwa viongozi wa PAP yalivyokuwa yakifanyika.

attachment.php


attachment.php


HABARI MOTO: SAKATA LA ESCROW BUNGE KULIPUKA


SOURCE GAZETI UHURU, JAMII FORUMS

jumatatu tutajua nani mzalendo, nani mwizi huyu zitto hajaanza leo huu wizi aulizwe iko wapi list ya wanaomiliki mabilioni uswis?,kaificha baada ya kupewa visenti vya kutuliza njaa yake,sasa amekwaa kisiki kwa iptl hajapata kitu, na njaa hii imemfukuzisha chadema na itamfukuzisha hata ACT anakopanga kukimbilia
 
Saturday, 22 November 2014

SAKATA LA ESCROW BUNGE KULIPUKA


SAKATA la akaunti ya Escrow limezidi kuchukua sura mpya, baada ya kuibuka mambo mazito ikiwemo taarifa za baadhi ya wajumbe wa Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC) kudaiwa kuchukua rushwa kwa kampuni ya Independet Power Limited (IPTL).

Taarifa hiyo imekuja wakati ripoti ya uchunguzi wa akaunti hiyo ikitarajia kusomwa ndani ya bunge, ambapo imeelezwa kuwepo kwa makelele mengi ndani ya bunge kunatokana na baadhi ya wabunge kukosa mgawo wa fedha na wengine na wao kuchukua rushwa.

Nyaraka za malipo, ambazo gazeti hili ilizipata ambazo zinamuhusisha mtumishi wa bunge ambaye ni mmoja wa makatibu wa kamati ya PAC, Beatus Malima na wakili wa Mwenyekiti wa PAC, Zitto Kabwe aitwaye Alberto Msando, ambao walichukua milioni 10 kila mmoja kwa nyakati tofauti na kuzipeleka kwa wajumbe PAC ili waandae Ripoti itakayoonyesha kwamba kwenye IPTL haina Tatizo.

Katika vocha ya malipo iliyotoka PAP inamuonyesha April 8, 2014 Wakili Msando alipokea sh. milioni 10 kwa ajili PAC na Zitto kuandaa majibu ya malalamiko ya kampuni ya MECHMAR dhidi ya IPTL/PAP kazi ambayo inasemekana zitto aliifanya Machi 28, mwaka huu.

Taarifa zaidi zinaonyesha kwamba tarehe hiyo, mtumishi wa bunge anayefanya kazi na Kamati ya PAC, Beatus Malima naye alichukua kiasi kama hicho cha fedha kwa kazi hiyo hiyo

Msando alitambulishwa na Zitto kwa uongozi wa IPTL/PAP kama mshauri wake wa kisheria na mwanasheria hivyo chochote atakachowaambia ni maagizo kutoka kwake, ambapo Zitto alimtambulisha kwa Mwenyekiti Mtendaji wa PAP, Harbinder Sethi baada ya kikao kirefu walichokifanya yeye na zitto kabla ya Mwenyekiti huyo wa PAC hajasafiri kwenda India kwenye matibabu ya marehemu mama yake, siku chache kabla ya malipo haya hayajafanyika.

Mmoja wa wabunge, ambaye hakupenda kutaja jina lake, alisema hili suala lina makandomakando mengi na wala si hayo yanayozungumzwa kwa kuwa PAP waliipata IPTL kwa kufuata taratibu zote kisheria pamoja na malipo waliyopewa katika akaunti ya Escrow yalikuwa halali kwao.

Taarifa hizo zilionyesha kuwa wakili huyo na mtumishi huyo waliendelea na utaratibu wa kuwa wanachukua pesa IPTL kwa sababu mbalimbali na mwishowe kuwapa maagizo kwamba itabidi PAC walipwe kiasi cha billioni 1.5 ili wazuie mjadala uliotarajia kuibuliwa kipindi hicho kuhusu sakata hilo.

"Hawa jamaa wanaonewa kwa kuwa kuna kundi kubwa la wafanyabiashara nyumba ya IPTL, ambao waliitaka kampuni hii lakini wameshindwa. Hawa hawana makosa yeyote na kinachofanyika ni kuwaonea na mvutano uliopo kwa wale waliokosa mshiko wao ndio wanatumiwa,''alisema mbunge huyo.

Mbunge huyo, alisema "hebu fikiria, kama wangepewa hizo pesa walizoomba, je IPTL ingekuwa halali leo machoni mwao?, kwanini wawatese watu wasio na hatia kwa uroho na njaa zao binafsi?, ninakuhakikishia safari hii hatutakubali bunge kutumiwa kama kichaka cha watu kutimiza matakwa yao ya kisiasa baada ya kukosa hongo walizoomba" alisema.

Hivyo, alisema wabunge wengi wamejiandaa kueleza ukweli ndani ya bunge pamoja na kutoa mawasiliano ya simu kati ya wajumbe wa PAC na baadhi ya wabunge kuwaomba wawape nguvu katika suala hilo, pamoja na mawasiliano ya fedha kwa viongozi wa PAP yalivyokuwa yakifanyika.

attachment.php


attachment.php


HABARI MOTO: SAKATA LA ESCROW BUNGE KULIPUKA


SOURCE GAZETI UHURU, JAMII FORUMS
Haya sasa kiko wap...??? PAC wameanza uumbuka nao duh!
 
Baada ya kusikia kelel nyingi juu ya suala la ESCROW, Nimepitia taarifa mbalimbali zinazohusu suala la fedha za account hii ya EScrow kwa upole, utulivu, unyenyekevu na bila ushabiki. Katika taarifa hizo nimepata kuelewa kuwa fedha za Escow si za umma, wala hazijaibiwa ka namna yoyote. Bali fedha hizi ni mali ya kampuniya IPTL kupitia kampuni tanzu mbili yaani Menchmar na VIP.

Kwa muda wa zaidi ya miaka miwili kumekuwapo na mgogoro wa waziwazi wa kimaslahi kati ya wamiliki wa IPTL ambao ni kampuni ya VIP na kampuni ya Mechmar kutoka Malaysia. Tuliokuwa tunafuatilia habari, hili si jambo geni

Cha ajabi kwangu, watu wengi wanashabikia bila kujua wala kujali kufuatilia kuwa account ya escrow ilianzishwaje. Taarifa zilizowazi zinaonyesha kwamba Mahakama Kuu, kufuatia mgogoro uliokuwepo, iliamua pande zote mbili yaani VIP na Mechmar zisaini hati ya makubaliano juu ya kutunza fedha za malipo ya kila mwezi ya umemeyatokanayo na umeme unaozalishwa na IPTL na kuiuzia TANESCO. Mpaka hapo nadhani wenzangu mmeanza kupata picha ya hili suala sumbufu.

Taarifa zinaonyesha kuwa, mahakama ilielekeza malipo hayo yahifadhiwe katika akaunti hiyo mpya ya ESCROW iliyofunguliwa Benki kuu hadi mgogoro kati ya wabia hawa wawili utakapoamriwa.
Mpaka hapo ndugu zangu, ikiwa taarifa hizi ni za kweli, mtakubaliana nami kuwa fedha za ESCROW ni mali ya IPTL. Yaani MENCHMAR na VIP. Zaidi ni majungu na wivu.

Sasa tujiulize mgogoro upo wapi? walalamikaji ni akina nani? fedha ambazo TANESCO imeridhia kulipia huduma inayotolewa kwa kazi ambayo imeshafanywa zinakuwaje fedha za umma?Ijulikane kuwa malipo yoyote ya taasisi nyeti kama TANESO hufanywa kwa kufuata taratibu na kuzingatia kanuni. maana yake malipo yale ni malipo halali kwa kazi halisiiliyofanywa.

Mwenzenu nimeona kuwa yawezekana jambo hili ni zaidi ya haya yanayotaarifiwa kwa uwazi.Pengine kuna nguvu inayoendesha mambo nyuma ya pazia. Suala lenyewe hapa lipo katika swali la kwanini baadhi ya viongozi wa umma wamepata mgao (Kama kweli wamepata, mimi hainihusu wala sina muda wa kuwaonea wivu). Hata hivyo bado hakuna sababu dhahiri ya kuziita fedha za ESCROW kuwa ni za umma. Zinabaki kuwa ni malipo ya umeme ambao TANESCO imeridhia kuwa umezalishwa na IPTL

Najua ni rahisi kuzusha mambo na kuyafanya yawe ni mjadala mkubwa katika jamii ya watu waliokosa mweleke na kukata tamaa. Wengi wetu tuna madeni, mipango yetu na njozi zetu zimevurugika... katika hali hii ni rahisi kupenda habari za uzushi zaidi kuliko za kweli na zenye tija. Lakini katika suala hili la fedha za Escrow...pesa hizo ni za IPTL.

Nahisi kuna mvutano wa makundi ya kisiasa. Lakini, ndugu zangu, kwa wanasiasa, muda huu ni muda wa kujipambanua. wale ambao watashindwa katika medani za ushindani katika mchezo huu rahisi, yamkini hata kuwa viongozi wa umma hawafai. Mimi niweke wazi, kama ningekuwa ni PM au AG nisingekubali kujiudhuru kwajambo lisilonihusu mimi wala kuuhusu umma, hata kama nimepokea fedha za ESCROW kwa maendeleo ya umma.

Mwenye taarifa tofauti atuletee hapa.... uzushi uwekwe pembeni, matatizo binafsi yawekwe pembeni...ebu tupeni raha ya kusoma vigezo na ukweli, si uzushi na kejeli. Suala hili limenipotezea muda kulifuatilia ili nione uhalisia ulipo...kumbe twajadili mipasho na uzushi. jambo hili si jema kwa ustawi wa jamii inayoheshimu utu, sheria na misingi ya utawala bora.








Wewe jamaa ni tahira,kamueleze mkeo haya mambo
 
Baada ya kusikia kelel nyingi juu ya suala la ESCROW, Nimepitia taarifa mbalimbali zinazohusu suala la fedha za account hii ya EScrow kwa upole, utulivu, unyenyekevu na bila ushabiki. Katika taarifa hizo nimepata kuelewa kuwa fedha za Escow si za umma, wala hazijaibiwa ka namna yoyote. Bali fedha hizi ni mali ya kampuniya IPTL kupitia kampuni tanzu mbili yaani Menchmar na VIP.

Kwa muda wa zaidi ya miaka miwili kumekuwapo na mgogoro wa waziwazi wa kimaslahi kati ya wamiliki wa IPTL ambao ni kampuni ya VIP na kampuni ya Mechmar kutoka Malaysia. Tuliokuwa tunafuatilia habari, hili si jambo geni

Cha ajabi kwangu, watu wengi wanashabikia bila kujua wala kujali kufuatilia kuwa account ya escrow ilianzishwaje. Taarifa zilizowazi zinaonyesha kwamba Mahakama Kuu, kufuatia mgogoro uliokuwepo, iliamua pande zote mbili yaani VIP na Mechmar zisaini hati ya makubaliano juu ya kutunza fedha za malipo ya kila mwezi ya umemeyatokanayo na umeme unaozalishwa na IPTL na kuiuzia TANESCO. Mpaka hapo nadhani wenzangu mmeanza kupata picha ya hili suala sumbufu.

Taarifa zinaonyesha kuwa, mahakama ilielekeza malipo hayo yahifadhiwe katika akaunti hiyo mpya ya ESCROW iliyofunguliwa Benki kuu hadi mgogoro kati ya wabia hawa wawili utakapoamriwa.
Mpaka hapo ndugu zangu, ikiwa taarifa hizi ni za kweli, mtakubaliana nami kuwa fedha za ESCROW ni mali ya IPTL. Yaani MENCHMAR na VIP. Zaidi ni majungu na wivu.

Sasa tujiulize mgogoro upo wapi? walalamikaji ni akina nani? fedha ambazo TANESCO imeridhia kulipia huduma inayotolewa kwa kazi ambayo imeshafanywa zinakuwaje fedha za umma?Ijulikane kuwa malipo yoyote ya taasisi nyeti kama TANESO hufanywa kwa kufuata taratibu na kuzingatia kanuni. maana yake malipo yale ni malipo halali kwa kazi halisiiliyofanywa.

Mwenzenu nimeona kuwa yawezekana jambo hili ni zaidi ya haya yanayotaarifiwa kwa uwazi.Pengine kuna nguvu inayoendesha mambo nyuma ya pazia. Suala lenyewe hapa lipo katika swali la kwanini baadhi ya viongozi wa umma wamepata mgao (Kama kweli wamepata, mimi hainihusu wala sina muda wa kuwaonea wivu). Hata hivyo bado hakuna sababu dhahiri ya kuziita fedha za ESCROW kuwa ni za umma. Zinabaki kuwa ni malipo ya umeme ambao TANESCO imeridhia kuwa umezalishwa na IPTL

Najua ni rahisi kuzusha mambo na kuyafanya yawe ni mjadala mkubwa katika jamii ya watu waliokosa mweleke na kukata tamaa. Wengi wetu tuna madeni, mipango yetu na njozi zetu zimevurugika... katika hali hii ni rahisi kupenda habari za uzushi zaidi kuliko za kweli na zenye tija. Lakini katika suala hili la fedha za Escrow...pesa hizo ni za IPTL.

Nahisi kuna mvutano wa makundi ya kisiasa. Lakini, ndugu zangu, kwa wanasiasa, muda huu ni muda wa kujipambanua. wale ambao watashindwa katika medani za ushindani katika mchezo huu rahisi, yamkini hata kuwa viongozi wa umma hawafai. Mimi niweke wazi, kama ningekuwa ni PM au AG nisingekubali kujiudhuru kwajambo lisilonihusu mimi wala kuuhusu umma, hata kama nimepokea fedha za ESCROW kwa maendeleo ya umma.

Mwenye taarifa tofauti atuletee hapa.... uzushi uwekwe pembeni, matatizo binafsi yawekwe pembeni...ebu tupeni raha ya kusoma vigezo na ukweli, si uzushi na kejeli. Suala hili limenipotezea muda kulifuatilia ili nione uhalisia ulipo...kumbe twajadili mipasho na uzushi. jambo hili si jema kwa ustawi wa jamii inayoheshimu utu, sheria na misingi ya utawala bora.







OK good ni za kwao..kwa nini wawagawie watumishi wa umma tena majaji,Mawaziri,wabunge?.Au hao wana hisa katika ile kampuni?

Jibu kwa fact kwani CAG alipokagua hesabu zao alitoa majibu gani??Si bure unaweza ukawa ni mmoja wa waliogaiwa.

Subiri uone zinavyowatokea puani ndo utatuambia ni kwa nini wana wajibika..
 
Back
Top Bottom