Je ni wangapi wataitaji huruma kama iyo ikiwa utaratibu haufuatwi?Yanga ni Taasisi ila wangeachana na hii ishu ya Faisal wamwambie aendelee na maisha yake amekosea ila sio kipindi cha kukomoana dogo alikosea na hajui kuwa kakosea waachane nae kuliko hizo mambo zinakokwenda...
Tatizo la kusajili mashoga Yanga linatugharimuBaada ya Club ya Yanga kumuandikia barua ya wito Feisal Salum iliyoambatana na mashtaka dhidi yake mchezaji huyo amejitokeza, na kueleza wazi kuwa atapeleka kesi yake CAS kwani amenyimwa haki yake ya kuvunja mkataba na TFF!
Ameomba achangiwe na wote wenye mapenzi mema ili aweze kupata fedha kwa ajili ya kufungua kesi, mawakili wake watafanya kazi bure!
Kwa yeyote mwenye chochote anaweza kumsaidia kupitia Lipa namba 5406394 Feisal Salum.
Haya sasa huu mtanange nani mshindi huko CAS…!? Yetu macho cha msingi tumpe dogo mpunga!
Mimi nikitoa msaada sipendi kujionesha hivyo nilitoa agizo kuwa nisijumuishwe kwenye listHakuna Cha bure saizi mkuu 😀...........kwani we ni me au ke maana mawakili wote ni Ke
Na mlikuwa na hamu afike huko CAS sasa sijui mtaweza kupata alama tatu hadi huko, ngoja tuoneOkay tunamsubiri sisi.
Milion 300 ipi ambayo ilikuwa deposited kwenye account ya Yanga?Alipokuwa analipwa mshahara wa milioni nne kwa mwezi alikuwa anakula ugali na sukari. Saivi mshahara anatumiwa anaukataa, je maisha yake anaishi vipi kama hakuna watu nyuma yake?
Na kwenda CAS ni haki yake hakuna mtu anaweza kumuhoji kapataje ela za kwendea huko kwasababu hata sasa hakuna mtu aliyefatilia kujua anayekula ugali na sukari anapataje milioni 300 ku deposit kwenye account ya Yanga.
Mtu anayeishi kwa ugali na sukari kipindi analipwa mshahara wa milioni nne je leo hii anaikataa milioni nne atakuwa na hali gani au anaishije. Ila yeye mwenyewe tu kajistukia
Ww mbona naye kama Feisal, haujielewi ...we unadhani kwann Yanga wanakata kumuachia?Yanga ni Taasisi ila wangeachana na hii ishu ya Faisal wamwambie aendelee na maisha yake amekosea ila sio kipindi cha kukomoana dogo alikosea na hajui kuwa kakosea waachane nae kuliko hizo mambo zinakokwenda...
Sana na ndicho tunacho kitaka, alichelewa sana.Na mlikuwa na hamu afike huko CAS sasa sijui mtaweza kupata alama tatu hadi huko, ngoja tuone
Milioni 112 mkuuMilion 300 ipi ambayo ilikuwa deposited kwenye account ya Yanga?
Jambo jema endelea kusaidia kimya kimyaMimi nikitoa msaada sipendi kujionesha hivyo nilitoa agizo kuwa nisijumuishwe kwenye list
Hapo CAS wanataka 50+m tu,inayobaki anaendelea kula ugali na sukari.Milioni 112 mkuu
Mkuu mambo ya kujielewa yanatoka wapi ni kama Morrison tuu leo mahakamani kesho tunae tena...ukiwa mtu wa futbal dharau acha maana ukiulizwa kipi kinachokupa kiburi huna hata sehemu ya kushika...Ww mbona naye kama Feisal, haujielewi ...we unadhani kwann Yanga wanakata kumuachia?