Fei Toto kukata rufaa rasmi CAS aomba mchango wa pesa kwa Watanzania

Yanini ung'ang'anie mke ambae amedai talaka mwenyewe muacheni aende au Nia Yenu mumpoteze kwenye njia.
 
feisal Salim abdallah.
Wewe ni mpemba nenda kawasomee albadil au uwaroge vijana machachari kutoka afrika. ( YOUNG AFRICAN ) 😃😃 umalizane nao kigai gai. 😬😬
 
Hiyo 55m umeipata pata je?
 
Cas dogo anaenda kuangukia pabaya na sana hao waliomrubuni na ndio maana wakili wa Yanga alikua anamshauri sana dogo aende nae kaingia king maana Yanga wana ushahidi wote wa hadi mwenye timu aliyempeleka dubai kufanya mazoezi na hata alivyomrubuni nae akitambua fifa airuhusu mchezaji aliye na mkataba ambao haujafika miezi 6 uishe
 
Nccf? Kweli?
Na una familia inakutegemea
 
Nani alikuambia chenye gharama ni bundle?

Kasome gaharama zilizoorodheshwa na CAS wenyewe kabla hujaandika.

Halafu wapi nimesema maamuzi ya CAS nishayajua yatakuwaje?
Halafu wapi nimesema maamuzi ya CAS nishayajua yatakuwaje?

Hapo nili interpret vibaya ulicho kiandika sorry.

Ila nijuavyo CAS gharama zao hazivuki mil 60,kama kuna gharama nyingine labda za bundle nyingine za wanasheria wanao msimamia na kama sikosei kesi husikilizwa mara moja tu then maamuzi .

Zile mil 4 zake alizo zisusa aende yanga wamuongezee.
 
Kila upande unaoshiriki case unatakiwa kutoa $20K

Na kwakua Yanga wao hawana maslahi na hii case hivyo itamlazimu Feisali kuwalipia Yanga na kujilipia yeye

Mkurugenzi wa sheria wa Yanga Simon Patrick alisema walitoa zaidi ya milioni 98 hiyo kwa ajili ya kufungua kesi tu.

Na alisema wenzetu (Simba) walikuwa wanawabeza wakijua hawawezi kumudu hiyo gharama.
 
Unaonekana unauchungu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…