Ngoja nijibu maelezo yako kwa swali.
Jee TFF inapofanya uchaguzi wake huwa kuna wajumbe toka ZFF wanaoshiriki kwenye Uchaguzi wa TFF?
Hapa tunazungumzia Ligi na siyo mamlaka ya kiinchi. Kwa mfano si sawa kwa Feisali Salum kuombewa kibali cha kufanya kazi kwa kuwa yeye ni Mtanzania, lakini Tanzania kuna Ligi mbili zinazoendeshwa na vyama viwili tofauti vyenye mamlaka Kamili kwenye maeneo yao.
Siyo Kweli kwamba ZFF na DRFA ni sawa. DRFA inaweza kutoa timu ikaenda kwenye mashindano ya CAF kama Klabu Bingwa au Shirikisho?
Kusema Zanzibar ni nchi kama kutakuwa kuna Tanganyika, kwani Tanganyika haipo? Kama Tanganyika haipo Waziri Mkuu anafanya kazi kwa niaba ya nani?