Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Kiufupi ni muungano wa kulazimishana ndo unapeleka haya.Leo KMKM ya nchi ya Zanzibar ilikuwa inacheza na timu ya Al Ahli Tripoli kwenye Mashindano sawa na Simba na Yanga. Kimantiki Zanzibar ina hadhi sawa na TFF kwenye mashindano haya ya CAF na uanachama wa CAF.
Kwa ivo Ligi iliyoitoa KMKM ndiyo ligi aliyokuwa anacheza Feisal Salum, kwa CAF, Ligi ya Tanganyika na Zanzibar ni Ligi mbili tofauti.
Jee Yanga ilifuata Kanuni za kuhamisha wachezaji wa kimataifa?