Feisal penalty/fidia ya kutokutumikia mkataba inamsubiria

Feisal penalty/fidia ya kutokutumikia mkataba inamsubiria

Kinachokuja kuleta utofauti ni consequences, kwa mtu aliyevunja kiholela kunakuwa na adhabu ya faini pamoja na kifungo. Lakini mkataba lazima uvunjike
Sasa tatzo la yanga hapa lipo wapi!? Fei si aende akakutane na yanga kama watampiga hizo faini si fresh tu? Kwann hataki kwenda?! ..

Huo mkataba unaosema ww ni lazim uvunjike yanga ipo tayari kwa hilo na TFF kama wenye dhamana ya kusimamia mpira wameshatoa muongozo kwamba Fei akamalizane na mwajiri wake(ambaye nao wana nia ya kuvunja huo mkataba kama wenyewe wanavyosema) Fei hataki kwenda kuuvunja analazimisha kuuvunjia kwenye kamati ambayo maamuzi yao yameshafungwa na sheria "functus offico" means option ni mbili tu zilizobaki aende CAS au Akamalizane na yanga

Yanga wanamuita kila siku hataki unataka asaidiweje huyu?
 
Palipo na mahusiano pana maelewano, hatua waliyofikia Yanga na Feisal hakuna tena hayo mahusiano mazuri.

Jaribio la Feisali kuvunja mkataba kwa kurudisha pesa ambapo alipewa mamlaka na mkataba wake wenyewe ndio sababu iliyopelekea mahusiano mazuri kati yake na Yanga kuvurugika
Yaan upewe mamlaka na mkataba wako kuuvunja hakuna kitu kama hicho
 
Feisal kupeleka ombi la kuvunja mkataba TFF ndio tunarudi palepale ni kutokana na ufinyu wake wa kutokuelewa procedures maana TFF hawawezi kutoa maamuzi ya kuvunja mkataba wa First and second part ikiwa hakuna notice yoyote ya kushindwana ktk uvunjwaji wa mkataba husika kwa kufuata sheria..

Kilichofanyika ni kwamba Fei aliingiza hela kwenye account za Yanga na akawa analazimisha kuondoka alipokuwa anaitwa wakae wayaongee akakimbilia TFF,TFF ikasikiliza hoja zake ikawaita na yanga ambao wakatoa hoja zao wakaonekana wao wana hoja hukumu ikatoka kwamba Yanga ni mchezaji wao halali..

Yanga haikuwa na kinyongo ikamuita mezani akakimbilia tena TFF badala ya kukaa wayamalize na yanga wakati hadi kufikia hapo kamati haina Jurisdiction ya kusikiliza kesi husika kwakuwa hukumu ilishatoka "Functus officio" kilichobaki ni yeye amalizane na team yake mtu hataki kukutana na waajiri wake halafu unasema yanga wanamng'annia,unahitimisha kwa kusema wanamng'ang'ania wewe ulishawaona wamekaa kuvunja mkataba yanga ikawa haitaki chochote hata hiyo fidia ya kuvunja mkataba ikawa inamng'ang'ania tu!?

Cha muhimu aende kukutana nayanga tuone kama wanamng'ang'ania au vipi na kama watamng'ang'ania hapo sasa nitaungana na ww kukemea hili
Kwanza rekebisha kumbukumbu zako.

Yanga ndio waliokuwa wakwanza kwenda TFF kumshtaki Feisali.

Notice ndio nini?

Na nani kati ya Feisali na Yanga ambaye unamtegemea awe na huo wajibu wa kuandika notice ya kushindwana kuwapelekea TFF?

Feisali kurudisha pesa ilikuwa ni matakwa ya kisheria ya uvunjaji wa mkataba na ndio maana ali quote na kifungu cha ndani ya mkataba. Ambapo kwa mujibu wa Yanga walidai kifungu hicho hakijitoshelezi peke yake.

Yanga ilimuita mezani sio kwa lengo la kuvunja mkataba.

Uwe unaandika vitu ambavyo unavijua sio kubahatisha.

Kwenye press release ya Yanga walisema walimuita Feisali kwa lengo la kuongeza maslahi yake.

Na hiyo ni baada ya kutangaza kutofurahia maisha akiwa Yanga.
 
Nikasomaje nawakati TFF hao hao wanasema feisal ana mkatana na Yanga
Tumia akili mambo mengine
Kwani mara ya kwanza TFF walipotoa uamuzi wao kuwa taratibu hazikufuata ikiwa wao hawajahusishwa.

Fei na mawakili wao wakarudi tena wakasema mkataba ukivunjika umevunjika hata kama utaratibu haukufutwa. Faini au adhabu ihusike, TFF walikataa kwa kuwa wao lazima wahusishwe kama chombo .

Haya wakaona ngoja tuombe idhini Kwa TFF majibu yaliyotoka ndiyo hayo
 
Sasa tatzo la yanga hapa lipo wapi!? Fei si aende akakutane na yanga kama watampiga hizo faini si fresh tu? Kwann hataki kwenda?! ..

Huo mkataba unaosema ww ni lazim uvunjike yanga ipo tayari kwa hilo na TFF kama wenye dhamana ya kusimamia mpira wameshatoa muongozo kwamba Fei akamalizane na mwajiri wake(ambaye nao wana nia ya kuvunja huo mkataba kama wenyewe wanavyosema) Fei hataki kwenda kuuvunja analazimisha kuuvunjia kwenye kamati ambayo maamuzi yao yameshafungwa na sheria "functus offico" means option ni mbili tu zilizobaki aende CAS au Akamalizane na yanga

Yanga wanamuita kila siku hataki unataka asaidiweje huyu?
Tatizo la Yanga ni kuzidi kum consider kama mchezaji wao wakati ishabainika kavunja mkataba kinyume na sheria

Bodi ya TFF imefanya usanii na hili nililiona mapema kabisa
 
Hizi timu zinafanyaga watu wawe matahira
Mfano madrid wanamtaka jude bellingham basi wamwambie ingia mitini alafu ukiwa ukiwa mitini nenda kwenye shirikisho la ujeruman la mpira waambie wavunje mkataba wako na dortmund sababu huipendi dortmund alafu chama cha mpira wavunje mkataba wake aende atakapo ambapo ni madrid kirahis hivyo

Ukinga ni tatizo kubwa sana Tanzania nyerere hakukosea
Tanzania pekee ndio chama cha mpira kina haki ya kuvunja mkataba, ila huko duniani ni mchezaji ndio anavunja mkataba
 
Ili uvunje makataba lazima Yanga wawe hawajamlipa mshahara na hawajamchezesha mechi kumi ndo angeweka hio milion 100 kama fidia ya kuvunja mkataba

Kama ameshavunja mkataba kwanin hana timu mpaka sahivi
Sikujua una upeo mdogo hivi
Dogo hataki tena kucheza mpira kwanini unalazimisha awe na timu? Anataka kwenda njombe kulima maparachichi
 
Mbona mnalazimisha kubaki na mtu ambaye amewakataa?

Nani analazimisha? Yanga since day One walimwambia wakae mezani wajadiliane jinsi ya kuvunja mkataba na siyo kukurupuka unauvunja mkataba facebook/instagram na kuingiza pesa bila kukaa mezani na mwajiri wako,inaonekana haujawahi kufanya kazi zenye mikataba wewe....Ukitaka kuacha kazi lazima utoe notice kwa mwajiri either 1 month or 24 hrs ila huyu Amijei yeye hajatoa notice wala nini yeye kadumbukiza fedha kisha akavunja mkataba Instagram/facebook.

Mikataba ya mipira ipo wazi haivunjwi kienyeji enyeji ,ingekuwa inavunjwa kienyeji enyeji ipo siku utakuta simba mmebakia na MO tu,wachezaji wate wamevunja mkataba facebook nyinyi mkakuta fedha kwenye account halafu hapo hapo mna mechi ndani ya siku 3,utafanyaje?

Amijei amekurupuka ,wamemdanganya ,asichokijua mshahara ni bargaining kati ya mwajiri na mwajiriwa ,ndiyo maana wote mnaweza kuwa same position lakini mkazidiana mishahara ,kama yeye aliona analipwa kidogo kuliko azizi ki ,mkataba ulipoisha hapo mwanzo asingeongeza.
 
...
IMG-20230505-WA0045.jpg
 
Hakuna mwamuzi wa mwisho kwenye kuvunja mkataba

Hakuna maamuzi yanayoruhusu upande wowote kuendelea kumng'ang'ania mtu pale ambapo yeye hana nia ya kuendelea kubakia

Nimeweka vifungu vya kisheria hapo, njoo na wewe na hoja zako ambazo ziko supported na sheria usije na speculations zako zakishabiki

Elimu Elimu Elimu ,Nyerere alizungumzia Umuhimu wa katiba ,Katiba ndiyo sheria Mama ,Hauwezi kukurupuka asubuhi umepata ushauri kutoka kwa mkeo halafu unakuja kuiplement nchini ,hii nyerere alimaanisha lazima ufuate katiba/sheria na si kukurupuka.

Ni kweli mkataba una pande mbili na kati ya hiyo yoyote anaweza kuvunja na kila pande kuna taratibu hata mwajiri akikurupuka tu kuvunja mkataba inabidi akulipe pesa ndefu sana kama hajafuata taratibu ,the same kwa fei(mwajiriwa) hawezi kukurupuka kuvunja mkataba bila kufuata sheria ,mwajiri akitaka kuvunja mkataba kwanza inatakiwa aongee na mwajiriwa kisha atoe notice ya mwezi mmoja kwamba mwezi ujao sitoendelea na mkataba kisha ampe stahiki zake kimkataba na hivyo hivyo mwajiriwa akitaka kuvunja mkataba inabidi atoe notice kwa mwajiri wake either 1 month notice or 24 hrs ,Sasa Amijei yeye alilipa tu fedha kisha akavunja Mkataba instagram/facebook hajakaa mezani wala kuwapa taarifa waajiri kama ana nia ya kuvunja mkataba.
 
Nakuchukulia kama genius siku zote kwa michango yako humu jamvini lakini leo nashangaa comment yako hii uliyoandika! Aisee kweli ushabiki wa hizi timu zinawatoa watu akili duh!

Yanga hawalazimishi Feisal abaki suala lipo wazi na hata TFF wameshaliweka wazi kwamba kilichobaki ni maongezi kati ya mwajiri(yanga) na mwajiriwa(Fei) kwa hili yanga yupo tayri kukaa chini na Fei kudiscuss kuhusu kuvunja mkataba wameshatoa wito sana kwa Fei aende mezani waongee,Fei hataki anataka kuvunja mkataba kienyeji kana kwamba yanga sio professional team ni kijiwe cha kahawa tu..Mpaka hapo utasemaje yanga wanamng'ang'ania?

Maamuzi ya TFF sio unfairly na hayajakaa kishabiki maana kwenye mkataba TFF ni third party tu kutoa maamuzi inategemea na maelewano kati ya pande mbili za kwanza..yangekuwa unfairly kamanYanga wangekuwa hawataki kukaa mezani kuvunja mkataba na Fei halafu wao wakasema mchezaji aende akamalizane na timu yake lakini kwa hili yanga yupo tayari kumalizana na Fei,Unfair iko wapi hapa? Ulitaka TFF ndio wavunje mkataba kati ya mwajiri na mwajiriwa? Ingekuwa hivi team zingebaki na wachezaji!? Yaan mtu aamke tu from abajalo fc let's say atake kuvunja mkataba ghafla kwa kulazimisha mkataba uvunjwe TFF bila kuwashirikisha abajalo Fc,wewe umeona wapi hii!? Kutakuwa na mpira kweli nchi hii?
Msimpotoshe dogo aisee aendelee kuliwa hela zake na wanasheria akae chini amalizane na Yanga ataachiwa kwa amani
Ulikuwa hujamfahamu tu. Ni Aina ya watu àmbao ukiwaheshimu Sana wanakudhalilisha.
 
Mfano madrid wanamtaka jude bellingham basi wamwambie ingia mitini alafu ukiwa ukiwa mitini nenda kwenye shirikisho la ujeruman la mpira waambie wavunje mkataba wake na dortmund sababu huipendi na analipwa mshahara mdogo alafu chama cha mpira wavunje mkataba wake aende atakapo ambapo ni madrid kirahis hivyo

Ni takriban miez mitano imepita tokea feisal aingie mitini nikimaanisha Kwa muajiri wake Yanga hayupo kwa sababu anazozijua yeye

Yanga kama custodian wa mkataba wa feisal ndo mwamuzi wa mwisho either avunje au asivunje mkataba asubirie mpaka pale utakapoisha na alazimishwi na mtu au taasisi yeyote ile as long anatimiza matakwa ya kimkataba waliyokubaliana, na nguvu itaondoka kama atavunja matakwa ya mkataba kama kutokumlipa mchezaj mshahara mfano wydad walikua hawalimpi mshahara mvusa kwa hiyo walikiuka matakwa ya kimktaba, ila Yanga hawajakiuka matakwa ya kimkataba

Unaposign mkataba lazima uutumikie usipoutumikia maksudi kama afanyavyo feisal ni kosa kisheria na hilo kosa litapelekea kwa muajiri wako kukupiga penalty ya wewe kutokutumikia mkataba ni jambo ambalo watu wengi hasa watanzania hawalioni

Kwa watanzania wengi wana desturi ya kuvunja mikataba kihuni dhid ya waajiri wao na hawachukuliwi hatua yeyote ni kwa sababu tu na wewe pia mwajiri hakuhitaji lakin kama mwajiri anakujitaji anayo haki ya kukudai fidia sio tu ya kuvunja mkataba kihuni plus kutokuhutumika
Na watu waelewe kutumikia mkataba ni lazima as long ulikubali kusign sio ombi

Kitu ambacho feisal anatakiwa aambiwe straight asifikiri ataondoka bure hata kama mkataba wake ukiisha anachotakiwa kujua Yanga kama mwajiri wake anahaki ya kumdai fidia kwa feisal kwa kutokutumikia mkataba wake kwa hiyo swala la yeye kuondoka bure mpaka sasa hivi halipo tena kwa namna yeyote ile labda mwajiri wake Yanga waamue kumuurumia

Feisal either akubali kuongea na Yanga wamtajie dau wanalotaka ili auzwe au asubirie mkataba uishe awalipe Yanga fidia kwa kutokutumikia mkataba

Nimeshtuka kuona wakina fatuma karume na madeleka kama mawakili hili swala hawajui kwamba kuna penalty ya kutokutumia mkataba ambayo inamsubiria feisal
Huyo dogo ni wa kumnyoosha tu ili wajinga wanaopotosha wajinga wa aina yake waje na mbinu mpya pia iwe fundisho.
 
Yule mchezaji wa Brighton Moises Ceicedo aliyekuwa akitakiwa na Arsenal.

Arsenal walipeleka ofa mbili na kukataliwa na Brighton uku mchezaji akiutangazia uma anataka kuondoka Brighton na kujiunga na Arsenal na mpaka Sasa anakipiga pale Brighton.

Kwanini Moises Ceicedo asitumie mbinu ya Feitoto Kuvunja mkataba kwakutumia icho kipengele Cha FIFA Cha kua na Sababu au kutokua na Sababu za Kuvunja mkataba Ili aweze kwenda Arsenal ki ulaini?
 
Nakuchukulia kama genius siku zote kwa michango yako humu jamvini lakini leo nashangaa comment yako hii uliyoandika! Aisee kweli ushabiki wa hizi timu zinawatoa watu akili duh!

Yanga hawalazimishi Feisal abaki suala lipo wazi na hata TFF wameshaliweka wazi kwamba kilichobaki ni maongezi kati ya mwajiri(yanga) na mwajiriwa(Fei) kwa hili yanga yupo tayri kukaa chini na Fei kudiscuss kuhusu kuvunja mkataba wameshatoa wito sana kwa Fei aende mezani waongee,Fei hataki anataka kuvunja mkataba kienyeji kana kwamba yanga sio professional team ni kijiwe cha kahawa tu..Mpaka hapo utasemaje yanga wanamng'ang'ania?

Maamuzi ya TFF sio unfairly na hayajakaa kishabiki maana kwenye mkataba TFF ni third party tu kutoa maamuzi inategemea na maelewano kati ya pande mbili za kwanza..yangekuwa unfairly kamanYanga wangekuwa hawataki kukaa mezani kuvunja mkataba na Fei halafu wao wakasema mchezaji aende akamalizane na timu yake lakini kwa hili yanga yupo tayari kumalizana na Fei,Unfair iko wapi hapa? Ulitaka TFF ndio wavunje mkataba kati ya mwajiri na mwajiriwa? Ingekuwa hivi team zingebaki na wachezaji!? Yaan mtu aamke tu from abajalo fc let's say atake kuvunja mkataba ghafla kwa kulazimisha mkataba uvunjwe TFF bila kuwashirikisha abajalo Fc,wewe umeona wapi hii!? Kutakuwa na mpira kweli nchi hii?
Msimpotoshe dogo aisee aendelee kuliwa hela zake na wanasheria akae chini amalizane na Yanga ataachiwa kwa amani
Hata umuelewshe vipi hawezi kukuelewa anaongozwa na ubishi kila siku anaeleshwa humu amekaza shingo
 
Back
Top Bottom