Feisal Salumu: Nimeondoka Yanga kutokana na manyanyaso, nilizungumza na Rais wa Yanga kwa saa 6, nikamwambia nataka kuondoka

Feisal yy aende tuu!Engineer abaki!
 
Nipo upande wake lakini hapo kwenye kutokujua mkataba unasemaje sababu ni wa kingeleza namlaumu. Kwanini asaini dili kubwa kama hii bila kuwa na mtalamu wa haya mambo
Kuna maskini anaweza kumumgharamia mwanasheria??
Ni kawaida wenyevipaji kudhulumiwa kipindi hawajulikani kutokana na umaskini wao na ujinga wakati mwingine
 
Mkuu, Hakimi hakuwahi kudeka kwa mama yake. Hakimi aliona namna anavyo enda kunasa kwenye tego la mshangazi ndipo akaamua kumrithisha mama yake kila kilicho chake
CR7 je?
 
Kuna manyanyaso hayavumiliki mzee baba...huwezi jua yote.
Kwenye maisha ukiendeza kiburi haufiki mbali sisi wakristo tuna ambiwa mithali 16: 18-19 "kiburi hutangulia uangamivu; na roho yenye kutakabari hutangulia maanguko. Afadhali kuwa na roho ya unyenyekevu pamoja na maskini ,kuliko kugawanya nyara pamoja na wenye kiburi. "Shetani alitupwa kutoka mbinguni kwa sababu ya kiburi
 
Umemsoma?.siku ya kusaini mkataba amesema alikua na nani? Any way elimu ni lazima kwa kila mtu..na mikataba iandikwe kwa kiswahili tuache ukoloni.

Shida ni kuwa alikuwa anasaini huku anamwangalia camera man badala ya kusoma anachosaini 😂😂😂😂
Safi Sana engineer 👍👍
 
Kutojua sheria si kigezo cha kutoshtakiwa!hilo sio kosa la YANGA!alikatazwa kwenda na mwanasheria wake?useless kabisaa!utetezi wa kikolokolo huuu
 
niseme ukweli, tangu huyu dogo aanze kucheza, huwa sioni kama ni mchezaji wa muhimu sana hata kumgombania. ni wa kawaida sana sana. na ameshauriwa vibaya sana, kwa mechi za kimataifa ambazo wenzake wamecheza hadi sasa angekuwa amepandisha thamani yake pakubwa sana, sasa anazidi kupoteza tu. kwani akienda rufaa huko anakoenda, akashindwa, nini kitafuata?huyo ashikiliwe hivyohivyo hadi atie adabu na mpira kwake umeshaisha imebaki tu kwenda kucheza mdako mchambawima.
 
Ye mwenyewe anaiombea dua Yanga. Mama yake ni shabiki mzuri tu wa Vyura. Inawezekana ana mapenzi na club kuliko hata wewe ila ana shida na kiongozi fulani hapo club.
 
Alie mpa hio offer ni nani kama Hersi ndio ana mnyanyasa? yaani kuna kitu hasa kinacho husu pesa kunaweza fanyika pale Yanga Hersi asihusike?
 
Huo upumbavu anaongea?

Nipo tayari kurudi Yanga Hersi akiondoka

Moyo wangu haupo Yanga tena, siwezi kurudi Yanga

Mkataba wangu hauna shida na mshahara hauna shida maana nilisaini mwenyewe,ila siwezi kurudi kwasababu ya manyanyaso.

Sasa hapo unaona huyo mtu anaakili timamu kweli? Yeye mwenyewe hajui anachotaka
 
Nimeona clips chache,nikajiuliza;Hersi alimuomba Feisal kwa mpalange nini?Ukizingatia GSM anawapelekea moto kina Ommy dimpoz kwa mpalange.
GSM ommy dimpoz ni shemu wake pendwa, ommy si mke wa gavana Joho., GSM anamla Kamwe, Sallah anamla Priva, prezoo anamla takadini.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kutojua sheria si kigezo cha kutoshtakiwa!hilo sio kosa la YANGA!alikatazwa kwenda na mwanasheria wake?useless kabisaa!utetezi wa kikolokolo huuu
Ni kutafuta public sympathy na kuna watu wanashangilia kama mazuzu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…