Ficheni ila wenye Watu wetu ndani ya Yanga SC wametuambia kuwa hizi ndizo sababu za Senzo Mbatha Kuwakataa

Unapenda kuongelewa wanaume wanakupiga chuma!!
 
Watu wa profile ya Senzo wako wengi tu bongo tuache kushobokea wageni, Yanga ni taasisi iliyoshiba aende tu! Hata mimi tu naweza hiyo kazi ndogo tu, Raisi na makamu wana kazi gani Senzo wa nini? amejishtukia hana kazi maalum kasepa!
Yanga ya makombe inamuhitaji Prof Nabi na Kaze tu sio Senzo wala Manara wala Morisson!!
 
Mi toka waseme wamemsainisha Morrison miaka mitatu wakati ilikuwa uongo mpaka leo sina imani nao.
 
Umeandika ufala sana 😂.
 
Kwa mchezaji mwenye ndoto ya kucheza nje ya nchi - Yanga sio mahali sahihi.

Yani wanakataa Bil 3 za kumuuza Mayele, kisha mkataba wake ukiisha mwakani anaondoka free!.
 
Ok! Leo nimeelewa Kwanini watu humu JF wanakuona kituko.

Nasikitika kukuambia kwamba waliyokuwa wanasema juu yako ni ya kweli.
 
Kwa mchezaji mwenye ndoto ya kucheza nje ya nchi - Yanga sio mahali sahihi.

Yani wanakataa Bil 3 za kumuuza Mayele, kisha mkataba wake ukiisha mwakani anaondoka free!.
Kesho atasaini mkataba mpya
 
Pole ndugu, hakuna hoja yenye mashiko hapo, Mbata amepata matatizo ya kifamilia na hili ni muda mrefu sana, alitaka kuacha kazi akakae karibu na familia yake lakini walimshauri asubiri mkataba wake uishe na yanga wamalize uchaguzi.

Hakuwa mlevi kivile ila matatizo ya kifamilia yalikuwa yanampa stress akawa anapata kilevi kwaajili kupalilia moyo, kumbuka familia yake iligoma kuja kuishi Dar kutokana na hali ya hewa na mazingira.

Kumbuka pia Yeye ndiyo alipendekeza Manara aje Yanga

Kwa hiyo hayo uliandika ni umbea kama umbea mwingine
 
Wazee wa kufurahisha mashabiki huku wanaumia ndani kwa ndani....IMAGINE unatoa 200mil usd kununua kifunguo..!! Who does that??[emoji849]
 
Kwani Bilioni 20 zipo?
 
#Kutoka_mwanasport

Saa chache baada ya uongozi wa Yanga kutangaza kwamba aliyekuwa Ofisa Mtendaji wao Mkuu Senzo Mazingiza anaondoka mwenyewe ameibuka na kukanusha juu ya kuondoka kwake kuhusishwa na ujio wa mshambuliaji Bernard Morrison.

Akizungumzia ishu ya kupishana mara mbili na kiungo mshambuliaji Bernard Morrison Senzo amesema wala hana tatizo na usajili huo na kwamba alihusika mara zote kumsajili Mghana huyo katika klabu zote.

"Niliwahi kuwaambia ninyi Mwanaspoti juu ya Morrison, bahati mbaya hapa Tanzania uongo hupewa nafasi kubwa kusambaa, nilisema nilipokuwa Simba nilihusika kumleta Morrison pale lakini bahati mbaya wakati anafika mimi nilikuwa naondoka," amesema Senzo

"Nikiwa hapa Yanga pia imekuwa hivyohivyo, viongozi wenzangu wanajua jinsi tulivyoshirikiana kumleta huyu Morrison, huyu ni mchezaji bora bila kuangalia mambo yake yanayosemwa.

"Nina imani kubwa Morrison atakwenda kuwafanyia kazi kubwa wananchi ambao wamempokea tena bila kinyongo, hata mimi nitafarijika nikisikia Morrison akiwa anafanya kazi bora hapa.

"Mimi bado ni mwananchi hapa nitaendelea kuwasailiana na viongozi wenzangu, sijaondoka Yanga kwa ubaya kabisa ndio maana mmekuwa mkiniona hapa katika kazi zote, bahati mabya hili lilitakiwa niliamue sasa wakati ambao pia mkataba ulikuwa unakwisha.
 
Are you Mrs. Senzo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…