FineForever
JF-Expert Member
- Apr 12, 2017
- 1,777
- 2,356
Anyways kama ni kweli ujumbe umfikie ajirekebishe
Nitakutajia vichwa vya hip hop bongo na siyo hits za kukopi,fid q niliacha sikiliza nyimbo zake miaka mingi tangu alipotoa ft na nature agosti 13
Suala la freestyle ni ishu nyingine kabsa,,ni wasanii wachache sana ambao wapo vzr kwenyr nyimbo zao na bado wakawa ni ma freestyle killerPunch za fid q zote ni copy hili unaweza kuliona kirahisi,hawezi kuimba bila kusoma.
Hii ni sababu kubwa pia hawezi fanya free styles.
Hao hao unaowasema kuwa ni mafundi,Fid Q ni godfather wao.ile ngoma Fid alisanda, akakimbilia kufanya chorus. One, Nikki, na stereo wale ni mafundi wakuu.
Uchokozi huoMuongozaji mkongwe wa video hapa Tanzania, Adam Juma amedai kuwa watumiaji wengi wa mtandao wa Instagram wanamatatizo kiakili. Kwani wapo kwenye mtandao huo kwa lengo la kufuatilia umbea. Adam Juma ametoa kauli hiyo, baada ya jana kuposti picha ya Boss wa Clouds Media, Ruge Mutahaba kwenye mtandao huo akimpa pole ya kuugua. Baadhi ya Watumiaji wa mtandao huo, walimshambulia wakidai ameposti picha hiyo kinafiki. Kupitia ukurasa wake wa Instagram Adam Juma ameandika "Kuna sababu kubwa huwa sipendelei kushinda instagram, asilimia 80 ya watu insta ni wehu ambao hawana kazi na kupenda udaku. Mara nyingi mimi hutumia instagram kusema jambo linalonisumbua au kunifurahisha, jana niliandika ujumbe kuhusu ruge. Naomba nitoe ufafanuzi kidogo sababu kuna ujinga unaendelea usio na manufaa yoyote maandiko yangu naomba yasitumike kumshambulia mtu yoyote au chombo chochote kile kwani itakua kunikosea heshima. Kumpa shukrani binadamu mwenzako sio dhambi, kum shukrani haimanishi kila kitu kisimame katika maisha hapana. Sio kila kitu katika maisha yetu ndio iwe bifu tena hizo ndio style za ki clouds clouds, yes labda nirudie ki CLOUDS CLOUDS. Wasanii wengi wanajua uhusiano wangu mimi n ruge sio mzuri kwa vitu vilivyotokea nyuma ambavyo hata wewe mtu uliyeko kwenye ista hujui chochcote ila hii haimanishi simheshimu Ruge. Naomba ieleweke yakua kuna mihili katika tasnia na panapokesekana muhimili 1 tu basi mapungufu ni makubwa mno mno. Kinachofanyika sasa hivi mimi binafsi nakiponge kwani kinawapa wasanii fursa na kipato. Msanii akienda kwenye FIESTA , WASAFIfestival au kingkiba tour atapata kula yake kitu ambacho ni bora katika tasnia, tusitengeneze makundi eti ki huyu kaperform huku basi tumtenge tutakua hatuna tafauti na siasa zile za clouds tunayoijua Mwanaume wa kweli katika vita ni yule ambaye anaweza kusimama na adui wake na kumuangal usoni huku akimpa pole kwa ngumi aliyomtandi kichwani na kumshukuru kwa kumpa fursa ya kupigana naye. Narudia tena naomba maneno yangu yasitumike kurusha vijembe kwenye kam zenu za ugomvi. Get well RUGE.
TruNatamani kusema mengi sana.
Ila mnamkosea heshima Fid Q sana.
Huyu ndio ni godfather wa Hip hop TZ
Kubali au kataa.
Ukweli ndio huo.
BR
Uduzungwa.
Conclusion: What Fid q has been doing is not plagiarism 100%.Rylics nitofauti na articles brah...when comes to rap it's a wrap..Music plagiarism is the use or close imitation of another author's music while representing it as one's own original work. Plagiarism in music now occurs in two contexts—with a musical idea (that is, a melody or motif) or sampling (taking a portion of one sound recording and reusing it in a different song).
Kopi na wewe utafsirii[emoji28][emoji28][emoji28]Akili za kimaskiniiHuyu jamaa kitambo tu anakopi na kutafsiri. Ishu sio kukopi. Ishu ni kwanini akikopi hatoi credit kwa mhusika???? We ka unajua umetoa mstari flani wa mtu , toa credit kwa huyo uliesampo kazi yake, hii tumeiona kwa wasanii wengi wa nje akichukua mstari flani hata kama ni zama za kale atatoa credit, ila jamaa anavunga kama ya kwake kumbe limekopi tu.
Ishu ni kwamba atoe credit alipokopiKopi na wewe utafsirii[emoji28][emoji28][emoji28]Akili za kimaskinii
wimbo gani katafsiri na kukopi!!?Ishu ni kwamba atoe credit alipokopi
Na we usiwe kama popoma kwani hujui kuwa kukopi sio mpaka wimbo mzima, hata kipengele kinatosha. Hivyo usiwe shobodundo mwambie huyo mwanao akisampo atoe creditakiipumzisha itaota kutu wakati hii kitu sio ufunguo,anamuomba mungu amsitiri zaidi ya mwili wake na nguo-hii kakopi wapi!!?
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23]Maisha hayapo hivyoo hakuba mstari mpya chini ya jua..Tupe mistari mitatu at lst aliyokopi!Na we usiwe kama popoma kwani hujui kuwa kukopi sio mpaka wimbo mzima, hata kipengele kinatosha. Hivyo usiwe shobodundo mwambie huyo mwanao akisampo atoe credit
kikowapi kipengere!?..anza na fid q.com,chagua moja,namba nane,propaganda,agosti 13Na we usiwe kama popoma kwani hujui kuwa kukopi sio mpaka wimbo mzima, hata kipengele kinatosha. Hivyo usiwe shobodundo mwambie huyo mwanao akisampo atoe credit
Hii ni baadhi ya mistari aliyo iiba mchizi[emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23]Maisha hayapo hivyoo hakuba mstari mpya chini ya jua..Tupe mistari mitatu at lst aliyokopi!
ulisoma kwa haraka mkuu ila sikukosea"mi Ni high level siyo high label....
Hakuna kazi rahisi kama kufanya muziki anao ufanya Fid Q. Anacho kifanya Fid Q ni kutafuta best quotes kuhusu mada anayo taka kuiandikia wimbo au kusoma kitabu halafu akipata wazo zuri ndani ya kitabu hicho anacho kifanya ni kulitafsiri na kulifanya kama wazo lake.
Mfano kwenye wimbo mmoja wa Fid kuna mstari anasema " Maisha ni kama kioo ukiyachekea na yenyewe yanakuchekea'
Hii amecopy kwa MTU mmoja anaitwa Peace Pilgrim ambae nukuu yake inasema " Life is like a mirror if you smile at it it smiles back at you'
Nyimbo nyingi za huyu jamaa ni tafsiri ya mawazo ya watu wengine
Jambo linalo mfanya kuwa mfalme wa plagiarism Tanzania
Plagiarism ni kitendo cha kuchukua wazo la mwandishi mwingine.na kulipresent kana kwamba ni wazo lako bila kumu acknowledge muasisi wa wazo hilo.
Kwa nchi za wenzetu ambao wanalinda na kuthamini kazi za fasihi, Fid angekuwa ana rot in jail this time cause wahusika lazima wange msue na kwa kiwango cha idadi ya mistari aliyo iba kwa waandishi wengine sidhani kama angeweza kuwalipa, mwisho wa siku angeishia kuwa civil prisoner.
Katika ulimwengu wa kiroho anacho kifanya fid q ni kutembelea nyota za watu.
Kwa sababu nyota ya MTU INA include akili yake pia.
MTU amebuni wazo lake Wewe umelichukua na kulifanya wazo lako na ukapewa sifa na watu wengine wakiamini kwamba Wewe ndio uliw toa wazo hilo. Hapo maana yake ni kwamba unakuwa unatembelea nyota ya Huyo ambae umeiba wazo lake.
USHAURI WANGU KWA FID Q
Its high time now uanze kutumia mawazo yako Wewe mwenyewe ili tuweze kukutofautisha na kukushindanisha na artist wengine ambao wanafanya muziki kama Wewe.
Siwezi kukushindanisha na MTU kama Joh Makini au Nilki Mbishi kwa sababu wenzako wapo real na Wewe unatumia mawazo ya watu wengine . Yaani ntakuwa nawashindanisha na hao watu ambao una wa copy something which is not fair.
JUST BE REAL LIKE OTHER HIP HOP ARTISTS :
Mfano Babuu kwenye ngoma yake Kimbia kuna sehemu anasema
" POLISI NI MSHKAJI UKIWA NAE KITAANI, UKIFIKA KITUONI ANAKUACHA KAMA HAKUONI" Huu ni mstari ambao unarelate na uhalisia, ni filosofi na ufundisha. Hata mtoto atakae zaliiwa mwaka 2050 akiusikia huo mstari atauelewa na utamuhusu.
Anaweza kuwa ameimba kitu cha kawaida sana ( kwa viwango vyako ) lakini ni wazo lake mwenyewe.
Hujawahi kumsikia Chindo Man kwenye wimbo wa JCB feat Arusha All Stars akisema " TORATI YA STREET INASEMA USIWE FALA" Kwanini na Wewe usianze kuandika track zinazo tokana na utunzi wako mwenyewe?
Matter fact hiyo line ya Chindo hata Wewe inakuhusu kwa sababu kilichosemw na Babu Tale na Fella juzi kama ni kweli basi Wewe ni fala kweli coz kutokuwa na hela ni ufala kama alivyosema Mzee Upako.
Leave Mzee wa Upako aside Mzee upo kwenye game kwa miaka kumi na tano and huna hata gari na unalelewa? Kama ni kweli bro ufanyie kazi huo mstari wa Chindo
Mifano IPO mingi sana. Badilika and be real.
WATZ SIKU HIZI WAMEANZA KUSOMA VITABU..DONT THINK THEY DONT UNDERSTAND
Hao hao unaowasema kuwa ni mafundi,Fid Q ni godfather wao.