Fid Q : The King of Plagiarism of all the time

Fid Q : The King of Plagiarism of all the time

Ulifanya poa tu. Hata YESU/ Masiah wapo waliomkana kama Wewe hapo. Na kila msanii ana "fanbase" yake.
Nitakutajia vichwa vya hip hop bongo na siyo hits za kukopi,fid q niliacha sikiliza nyimbo zake miaka mingi tangu alipotoa ft na nature agosti 13
 
Rylics nitofauti na articles brah...when comes to rap it's a wrap..Music plagiarism is the use or close imitation of another author's music while representing it as one's own original work. Plagiarism in music now occurs in two contexts—with a musical idea (that is, a melody or motif) or sampling (taking a portion of one sound recording and reusing it in a different song).
 
Punch za fid q zote ni copy hili unaweza kuliona kirahisi,hawezi kuimba bila kusoma.

Hii ni sababu kubwa pia hawezi fanya free styles.
Suala la freestyle ni ishu nyingine kabsa,,ni wasanii wachache sana ambao wapo vzr kwenyr nyimbo zao na bado wakawa ni ma freestyle killer

Pia kuna mafundi wa freestyle na bado kwenye uandshi sio chochote,,japo freestyle ni nguzo moja wapo ya hip hop

Kwa hyo suala la kushindwa kufreestyle sio kigezo cha mtu kuwa mkali wa hip hop.
 
Muongozaji mkongwe wa video hapa Tanzania, Adam Juma amedai kuwa watumiaji wengi wa mtandao wa Instagram wanamatatizo kiakili. Kwani wapo kwenye mtandao huo kwa lengo la kufuatilia umbea. Adam Juma ametoa kauli hiyo, baada ya jana kuposti picha ya Boss wa Clouds Media, Ruge Mutahaba kwenye mtandao huo akimpa pole ya kuugua. Baadhi ya Watumiaji wa mtandao huo, walimshambulia wakidai ameposti picha hiyo kinafiki. Kupitia ukurasa wake wa Instagram Adam Juma ameandika "Kuna sababu kubwa huwa sipendelei kushinda instagram, asilimia 80 ya watu insta ni wehu ambao hawana kazi na kupenda udaku. Mara nyingi mimi hutumia instagram kusema jambo linalonisumbua au kunifurahisha, jana niliandika ujumbe kuhusu ruge. Naomba nitoe ufafanuzi kidogo sababu kuna ujinga unaendelea usio na manufaa yoyote maandiko yangu naomba yasitumike kumshambulia mtu yoyote au chombo chochote kile kwani itakua kunikosea heshima. Kumpa shukrani binadamu mwenzako sio dhambi, kum shukrani haimanishi kila kitu kisimame katika maisha hapana. Sio kila kitu katika maisha yetu ndio iwe bifu tena hizo ndio style za ki clouds clouds, yes labda nirudie ki CLOUDS CLOUDS. Wasanii wengi wanajua uhusiano wangu mimi n ruge sio mzuri kwa vitu vilivyotokea nyuma ambavyo hata wewe mtu uliyeko kwenye ista hujui chochcote ila hii haimanishi simheshimu Ruge. Naomba ieleweke yakua kuna mihili katika tasnia na panapokesekana muhimili 1 tu basi mapungufu ni makubwa mno mno. Kinachofanyika sasa hivi mimi binafsi nakiponge kwani kinawapa wasanii fursa na kipato. Msanii akienda kwenye FIESTA , WASAFIfestival au kingkiba tour atapata kula yake kitu ambacho ni bora katika tasnia, tusitengeneze makundi eti ki huyu kaperform huku basi tumtenge tutakua hatuna tafauti na siasa zile za clouds tunayoijua Mwanaume wa kweli katika vita ni yule ambaye anaweza kusimama na adui wake na kumuangal usoni huku akimpa pole kwa ngumi aliyomtandi kichwani na kumshukuru kwa kumpa fursa ya kupigana naye. Narudia tena naomba maneno yangu yasitumike kurusha vijembe kwenye kam zenu za ugomvi. Get well RUGE.
Uchokozi huo
 
Rylics nitofauti na articles brah...when comes to rap it's a wrap..Music plagiarism is the use or close imitation of another author's music while representing it as one's own original work. Plagiarism in music now occurs in two contexts—with a musical idea (that is, a melody or motif) or sampling (taking a portion of one sound recording and reusing it in a different song).
Conclusion: What Fid q has been doing is not plagiarism 100%.
 
Huyu jamaa kitambo tu anakopi na kutafsiri. Ishu sio kukopi. Ishu ni kwanini akikopi hatoi credit kwa mhusika???? We ka unajua umetoa mstari flani wa mtu , toa credit kwa huyo uliesampo kazi yake, hii tumeiona kwa wasanii wengi wa nje akichukua mstari flani hata kama ni zama za kale atatoa credit, ila jamaa anavunga kama ya kwake kumbe limekopi tu.
 
Huyu jamaa kitambo tu anakopi na kutafsiri. Ishu sio kukopi. Ishu ni kwanini akikopi hatoi credit kwa mhusika???? We ka unajua umetoa mstari flani wa mtu , toa credit kwa huyo uliesampo kazi yake, hii tumeiona kwa wasanii wengi wa nje akichukua mstari flani hata kama ni zama za kale atatoa credit, ila jamaa anavunga kama ya kwake kumbe limekopi tu.
Kopi na wewe utafsirii[emoji28][emoji28][emoji28]Akili za kimaskinii
 
akiipumzisha itaota kutu wakati hii kitu sio ufunguo,anamuomba mungu amsitiri zaidi ya mwili wake na nguo-hii kakopi wapi!!?
 
akiipumzisha itaota kutu wakati hii kitu sio ufunguo,anamuomba mungu amsitiri zaidi ya mwili wake na nguo-hii kakopi wapi!!?
Na we usiwe kama popoma kwani hujui kuwa kukopi sio mpaka wimbo mzima, hata kipengele kinatosha. Hivyo usiwe shobodundo mwambie huyo mwanao akisampo atoe credit
 
Na we usiwe kama popoma kwani hujui kuwa kukopi sio mpaka wimbo mzima, hata kipengele kinatosha. Hivyo usiwe shobodundo mwambie huyo mwanao akisampo atoe credit
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23]Maisha hayapo hivyoo hakuba mstari mpya chini ya jua..Tupe mistari mitatu at lst aliyokopi!
 
Na we usiwe kama popoma kwani hujui kuwa kukopi sio mpaka wimbo mzima, hata kipengele kinatosha. Hivyo usiwe shobodundo mwambie huyo mwanao akisampo atoe credit
kikowapi kipengere!?..anza na fid q.com,chagua moja,namba nane,propaganda,agosti 13
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23]Maisha hayapo hivyoo hakuba mstari mpya chini ya jua..Tupe mistari mitatu at lst aliyokopi!
Hii ni baadhi ya mistari aliyo iiba mchizi

True friends are quick to sit in the beginning of all trouble, and when your bankroll doubles/ - Teacha

Vs

Kupata washkaji ukiwa na pesa ni rahisi, Kuwapata na hauna kitu ujue umefanikiwa kichizi / - Fid

'Cause don't nobody care about us, all they do is doubt us/ Until we blow the spot then they all wanna crowd us , and wanna shout us/ but you my man from way back' - Teacha

vs

'sihitaji urafiki na usupastaa / ukihit ndo unang'aa.. upishwe useat kwenye bar,upewe beat na Jr../ kitu ambacho haikuwa rahisi kipindi fid ni underground' - Fid '/


I'm not a yes man and none of my friends are yes men or women/' - Teacha

Vs '

sikia fid q anamsifia fareed ni bandidu sio Yes man/'- Fid

'Whether at the bar with superstars'- Teacha

Vs '

sihitaji urafiki na usupastaa / ukihit ndo unang'aa.. upishwe useat kwenye bar ,' - Fid


Pitia hii link hapa....

Internet.org
 
Hakuna kazi rahisi kama kufanya muziki anao ufanya Fid Q. Anacho kifanya Fid Q ni kutafuta best quotes kuhusu mada anayo taka kuiandikia wimbo au kusoma kitabu halafu akipata wazo zuri ndani ya kitabu hicho anacho kifanya ni kulitafsiri na kulifanya kama wazo lake.


Mfano kwenye wimbo mmoja wa Fid kuna mstari anasema " Maisha ni kama kioo ukiyachekea na yenyewe yanakuchekea'

Hii amecopy kwa MTU mmoja anaitwa Peace Pilgrim ambae nukuu yake inasema " Life is like a mirror if you smile at it it smiles back at you'

Nyimbo nyingi za huyu jamaa ni tafsiri ya mawazo ya watu wengine

Jambo linalo mfanya kuwa mfalme wa plagiarism Tanzania

Plagiarism ni kitendo cha kuchukua wazo la mwandishi mwingine.na kulipresent kana kwamba ni wazo lako bila kumu acknowledge muasisi wa wazo hilo.

Kwa nchi za wenzetu ambao wanalinda na kuthamini kazi za fasihi, Fid angekuwa ana rot in jail this time cause wahusika lazima wange msue na kwa kiwango cha idadi ya mistari aliyo iba kwa waandishi wengine sidhani kama angeweza kuwalipa, mwisho wa siku angeishia kuwa civil prisoner.

Katika ulimwengu wa kiroho anacho kifanya fid q ni kutembelea nyota za watu.

Kwa sababu nyota ya MTU INA include akili yake pia.

MTU amebuni wazo lake Wewe umelichukua na kulifanya wazo lako na ukapewa sifa na watu wengine wakiamini kwamba Wewe ndio uliw toa wazo hilo. Hapo maana yake ni kwamba unakuwa unatembelea nyota ya Huyo ambae umeiba wazo lake.

USHAURI WANGU KWA FID Q

Its high time now uanze kutumia mawazo yako Wewe mwenyewe ili tuweze kukutofautisha na kukushindanisha na artist wengine ambao wanafanya muziki kama Wewe.

Siwezi kukushindanisha na MTU kama Joh Makini au Nilki Mbishi kwa sababu wenzako wapo real na Wewe unatumia mawazo ya watu wengine . Yaani ntakuwa nawashindanisha na hao watu ambao una wa copy something which is not fair.

JUST BE REAL LIKE OTHER HIP HOP ARTISTS :
Mfano Babuu kwenye ngoma yake Kimbia kuna sehemu anasema

" POLISI NI MSHKAJI UKIWA NAE KITAANI, UKIFIKA KITUONI ANAKUACHA KAMA HAKUONI" Huu ni mstari ambao unarelate na uhalisia, ni filosofi na ufundisha. Hata mtoto atakae zaliiwa mwaka 2050 akiusikia huo mstari atauelewa na utamuhusu.

Anaweza kuwa ameimba kitu cha kawaida sana ( kwa viwango vyako ) lakini ni wazo lake mwenyewe.

Hujawahi kumsikia Chindo Man kwenye wimbo wa JCB feat Arusha All Stars akisema " TORATI YA STREET INASEMA USIWE FALA" Kwanini na Wewe usianze kuandika track zinazo tokana na utunzi wako mwenyewe?
Matter fact hiyo line ya Chindo hata Wewe inakuhusu kwa sababu kilichosemw na Babu Tale na Fella juzi kama ni kweli basi Wewe ni fala kweli coz kutokuwa na hela ni ufala kama alivyosema Mzee Upako.

Leave Mzee wa Upako aside Mzee upo kwenye game kwa miaka kumi na tano and huna hata gari na unalelewa? Kama ni kweli bro ufanyie kazi huo mstari wa Chindo

Mifano IPO mingi sana. Badilika and be real.

WATZ SIKU HIZI WAMEANZA KUSOMA VITABU..DONT THINK THEY DONT UNDERSTAND


Si yeye tu ila wasanii wote wa bongo fleva ndivyo walivyo, si wanamuziki ni wasanii kama wanavyojulikana. Wanakopi kazi za watu wengine kisha wanalazimisha serikali eti itetee kazi zao, kazi zipi hizo za kukopi na kupaste kazi za wengine? Mimi kama ningekuwa waziri wa wizara husika ningefutilia mbali bongo fleva hapa nchini na kuwafunga wasanii wake kwa wizi wa kazi za wengine. Kuna mdada anajifanya Beyoncé wa Tanzania kwa kuiga kila kitu isipokuwa hajuwi hata kucheza, kazi kukata mauno tu na aendani na Beats. Alikuwa mtangazaji wa TV huko nyuma.
 
Back
Top Bottom