Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watakapolipwa ndiyo tutajuwa nani alifanya porojo kati ya mimi na wewe.Hizo porojo umetoa wapi ?
Wazee wote wenye miji wanapukutika kwa kiharusi mtamlipa nani ?Watakapolipwa ndiyo tutajuwa nani alifanya porojo kati ya mimi na wewe.
Warithi waoWazee wote wenye miji wanapukutika kwa kiharusi mtamlipa nani ?
SilifahamuNa Kagongwa IPO wapi?
Ccm mbere
Uharamia wa Malipo ya watu hawa ambao wamefanyiwa kwa zaidi ya miaka 20 , si wa kawaida , unaambiwa wameanza kufanyiwa Tathmini ya eneo lao miaka 28 iliyopita , kwa madai ya eneo hilo kutumika kwa upanuzi wa Uwanja wa Ndege .
July 2022 wakafanyiwa tena Tathmini nyingine na kwamba walipaswa kulipwa kabla ya octoba 2023 , lakini hadi leo kimya ! kumbukeni kwamba kwa kipindi chote hicho hawaruhusiwi kuendeleza maeneo yao , Maana yake hutakiwi kupaka rangi wala kujenga Choo kipya hata kama kilichopo kimefurika .
hahaha ukute hata wew nakujua broKipunguni family tupo
hahaha ukute hata wew nakujua broKipunguni family tupo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wazee wote wenye miji wanapukutika kwa kiharusi mtamlipa nani ?
Kuna mtu kauziwa eneo lile eneo la UDSM pembeni ya Mlimani City akaambiwa ni kiwanja. Ametoka zake Njombe huko na hela zake za miti akpigwa milioni 50.Mkuu ukitoka Kyela na kujenga kwa kuuziwa eneo na mzaramo mjanja matokeo yake ndiyo hayo.
Wengi wameingia huo mkenge, unauziwa sehemu kumbe mipangomiji walisha li zone hilo eneo kwa matumizi mengine.
aa sisi tupo geti jekundu hapa mori baada ya kutoka chamaMaji machafu kijiweni
😆😆😆😆Kuna mtu kauziwa eneo lile eneo la UDSM pembeni ya Mlimani City akaambiwa ni kiwanja. Ametoka zake Njombe huko na hela zake za miti akpigwa milioni 50.
Si unaishi MwakaleliSijawahi kumiliki nyumba Kipunguni
Naishi Kyela , DSM , JOHANNESBURG , LONDON , OTTAWA na MARRYLANDSi unaishi Mwakaleli
Vyote hivyo ni vitongoji na Miata huko MwakaleliNaishi Kyela , DSM , JOHANNESBURG , LONDON , OTTAWA na MARRYLAND
HayaVyote hivyo ni vitongoji na Miata huko Mwakaleli
Wasubiri kwa sababu pesa tunaziingiza kwenye kampeni za teuzi ccm
Uharamia wa Malipo ya watu hawa ambao wamefanyiwa kwa zaidi ya miaka 20 , si wa kawaida , unaambiwa wameanza kufanyiwa Tathmini ya eneo lao miaka 28 iliyopita , kwa madai ya eneo hilo kutumika kwa upanuzi wa Uwanja wa Ndege .
July 2022 wakafanyiwa tena Tathmini nyingine na kwamba walipaswa kulipwa kabla ya octoba 2023 , lakini hadi leo kimya ! kumbukeni kwamba kwa kipindi chote hicho hawaruhusiwi kuendeleza maeneo yao , Maana yake hutakiwi kupaka rangi wala kujenga Choo kipya hata kama kilichopo kimefurika .
😁😁😁🤣🤣🤣....kinyooooonge!Haya
KahamaNa Kagongwa IPO wapi?