FIFA Women's World Cup 2023 | Kombe la Dunia kwa Wanawake

France wana Mbape wa kike anavaa namba 11
 
Ufaransa illichabanga sana Panama jumla ya mabao 6-3; Matokeo ya mchezo huu yalikuwa hayabadilishi msimamo hata kama Panama ingeifunga France, bado France ingeendelea tu. Hata hivyo France haikutaka kuvunjiwa heshima yake.


Kwenye grupu hili, France na Jamaika ndizo zimeingia kwenye round of 16. Zinasubiri matokeo ya michezo ya kesho kati ya Colombia Vs Morocco na South Korea Vs Germany
 
Katika dakika saa tatu na nusu zijazo kuna michezo miwili ya kumalizia roundi ya Makundi. Morocco itapambana na Colombia, wakati South Korea inapambana na Germany. Michezo yote miwili itakuwa ya nguvu sana kwani mpaka sasa hakuna mshindi wa wazi kwenye Grupu ilo. South Korea ndiyo iko mkiani na wala haina matumaini ya kuendelea, ila Colombia, Morocco na German zote zina matumaini ya kuendelea kwa kiwango kimoja ingawa Colombia iko mbele kidogo. Michezo yote ikiishia droo basi colombia na Germany zitasonga mbele, ila endapo Morocco wataifunga Colombia, basi matokeao yatakuwa ni pata potea sana kwani yatategemea mchezo wa Germany na Korea na vile vile idadi ya magori watakayofungana na hapo ndipo presha itapanda sana kwa timu za Morocco, German South Korea. Nitainagalia yote miwili na nitawapa updates.
 
Haya jamani michezo yote miwili imekwisha na ile pata potea niliyokuwa nimetaja hapo juu nayo imetenguliwa. Moorocco imeitungua Colombia moja bila, wakati South Korea wakitoka sare na ujerumani 1-1. Kwa matokeo hayo Morocco na na Colombia zimefikisha point sita sita huku Colombia ikiongoza kwa goal difference. Germany imeishia point 4 huku Korea ikipata point 1. Hivyo Morocco na Colombia zinaingia kwenye round of 16 wakati Germany na S. Korea wakibeba mizigo yao.

Mchezo wa Morocco na Colombia ndio uliokuwa kivutio zaidi kutokana na pande zote kushindana kwa nguvu zote. Moroco ililishambulia lango la Colombia hadi mchambuliaji mmoja kufanyia peanaly ndani ya boz. Hata hivyo Golikipa wa Colombia aliipangua penalty yoi lakini ile rebound ikasukuwa kimiani. Baada ya bao hilo Colombuia wabadilisha pace wakawa kama mbogo aliyeumia. Wakageuza kibao kulishambulia rango la Morocco kwa kasi sana lakini golokipa wa Morocco alikuwa thabit sana. Hadi kipenga cha mwisho mabao yalibaki 1-0

 
Mcheazo baina ya Korea na germany nao ulikuwa na high octane lakini washambulizi wa pande zote mbili hawaku makini kiasi cha kukosa magoli mengi ambayo yalionekana kuwa ya wazi kabisa

 
Jambo la kuridhisha sana kuwa Afrika iliyokuwa na timu nne tu imeingiza timu tatu kwenye round of 16, hiyo ni 75% perfromance kwa CAF ambayo ni juu ya mashirikisho yote. Mashirikisho mengine performeance zake ni kama ifuatavyo:

Africa-CAF (Timu 4): Morocco, Nigeria, South Africa =3/4=75%

Asia- AFC (Timu 5): Japan= 1/5 =20%

Ulaya- UEFA (Timu 12): Denmark, England, France, Netherlands, Norway, Spain, Sweden, na Switzerland =8/12=66.67%

North America-NAF ( Timu 2): USA =1/2=50%

Central America -UNCAF (Timu 1): =0/1=0%

Carribean- CFU ( Timu 3) : Jamaica, =1/3=33.33%

South America-CONMEBOL (Timu 3): Colombia =1/3=33.33%

Oceania- OFC (Timu 2): Australia=1/2=50%

Kwa performance hii tutegemee CAF kupeleka timu zaid kwenye mashindano yafuatayo, nadhani tutapeleka timu sita ambapo CONMEBOL, CFU na AFC zina hatari ya kupunguziwa idadi. Ratiba ya michezo iliyobaki ni kama ifuatavyo ambapo mtanange mgumu unaosubiriwa ni baina ya Sweden na USA. Kwa bahati mbaya sana timu zote za Afrika zimepangiwa kupambana na viogo wanaodhaniwa kuibuka mabingwa. Kati ya timu nne zinadhaniwa kuibuka na ubingwa ni England, Netherlands, Sweden na France. Afrika itapambana na England, Netherlands na France; huo ni uonevu sana.

 
Hawa sio shida kubwa kama wanaume kuoana hawa wote wawil unawezakuwapelekea moto kama kama
 
Hawa sio shida kubwa kama wanaume kuoana hawa wote wawil unawezakuwapelekea moto kama kama
Ukifuatilia maisha yao utagundua kuwa unawatafsiri vibaya. Wengi wanadhani kuwa wanaume Gay maana yake ni kuwa mmoja anamf*ra mwingine lakini ukweli siyo huo. Uhusiano wao ni tofauti sana na dhana hiyo. Wanaume unaosikia kuwa ni gay ni kwa sababu hawana nguvu za kiume. Wao kutokuwa na nguvu za kiume kiasi kuwa hawawezi kumtamani mwanamke siyo kosa lao bali ni muundo wa mwili wao ambao hawakuchagua wenyewe. Kumbuka kuwa mwanamme mwenye nguvu kamili hawezi kuacha sketi ikampita bila kuifunua; kwa hiyo yule asiyeweza kufunua sketi haina maana kuwa hastahili kuishi. Ukishaharamisha watu wasiokuwa na uwezo huo basi unakuwa umeharamisha kilema chochote hata wale wasioona na ambao hawawezi kutrembea bila kutumia magongo.
 
Kuna michezo miwili inayofuata leo. Kwanza, Spain Vs Switzerland unaaza katika dakika 50 zijazo (yaani saa 2 asubuhi saa za Tanzania), halafu Japan na Norway watakutana baada ya masaa matatu (saa 5 asubuhi za Tanzania).
 
Kuna michezo miwili inayofuata leo. Kwanza, Spain Vs Switzerland unaaza katika dakika 50 zijazo (yaani saa 2 asubuhi saa za Tanzania), halafu Japan na Norway watakutana baada ya masaa matatu (saa 5 asubuhi za Tanzania).
Ok
 
Kwenye mchezo unaoendelea baina ys Spain na Switzeraldnd, mpaka sasa hivi Spain inaongoza 3-1; Spain wamejifunga goli wenyewe.

Mpaka halftime Spain inaongoza 4-1

Kipindi cha pili kimeanza: ila spain wanawaonea sana shoga zao wa Switzerland.

Spain wanaongoza 5-1 mpaka dakika hii ya 72.

Mchezo umekwisha 5-1. Nitaleta video Fox wakishaipandisha
 
Hakuna mwenye link niangalie hizi game?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
ngoja nizitafute. Nikizipata nitaziweka. Mimi ninatazama moja kwa moja kwenye TV. Kwa marekani free live streams zimekuwa blocked kwa sababu ya rights za Fox. Nimempigia rafiki yangu mmoja huko Phillipines anitafutia kama huko wana live streams anitumie link nishee na ndugu zangu walioko Afrika.
 
Kifurushi cha shs 10,000 DSTV kinaonyesha mechi hizi...
 
Kama nilivyonadika kwenye post moja hapo juu; mpira umekwisha kwa Spain kuwaburuza sana shoga zao wa Switzerland mabao 5-1 ambalo Spain walijifunga wenyewe wakati beki akimpasia mpira golikiapa katika hali ambayo ulikuwa mgumu kwa golikipa kuzuia. Kwa jumla Spain iliutawala sana mchezo huo na kushambulia lango la wapinzani wao kama nyuki. Muhtasari wa mchezo huo ni huu hapa chini.

 
Mpira unakaribia mwisho na Japan inaongoz kwa goli 3-1 ambapo Norway wamejifunga wenyewe goli moja. Zimebaki dakika chache tu mpira usihe sidhani kama Norway wanaweza kurudisha mabao mawili katika muda uliobakia ambazoi ni dakika za majeruhi.

Mpira ukewisha na Japan pamoja na Hasegawa wangu wameshinda kwa mabao 3-1 ambapo bao moja Norway wenyewe kwa kosa dogo la beki wake mmoja. Fox wakisheleta video nitaileta. Michezo inayofuta ni kesho saa 11 za asubuhi (za Tanzania) ambapo Uholanzi itapambana na South Africa, halafu mchezo wa pili ambao ndio unaosubiriwa sana na mashabiki wengi wa mashindano haya ni kati ya Marekani na Sweden ambao watapambana kuanzia saa 6 mchana (za Tanzania) Jumatatu. Mwanzoni nilikosea katika kubadilisha masaa na kuandika kues saa 1 ya asubuhi.
 
Haya; Summary ya mchezo wenyewe kati ya Japan na Norway ni hii hapa. Kama wale akina Sheikh Yahya waliotabiri michezo hii niliionyesha kwenye post mojawapo huko nyuma wameipatia michezo hii miwili. Spain na Japan wamepita.

Kwa jumla mchezo huu ulikuwa mzuri sana ingawa Japan iliwaelemea sana Norway hadi kufikia matokeo haya. Kosa kubwa la Norway lilikuwa kwenye defense line yao kwani ndiyo iliyofanya makosa yaliyosiababisha Japan kupata ushindi huku foward lines zote za Japan na Norway pia zikifanya makosa makubwa ya kutopata magoli.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…