Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha ha Acha maskhara Mkuu.Mpira wa wanawake unavutia sana kuliko mpira wa wanaume. Kwanza wana spidi sana na wanatumia ufundi mwingi mno; hawatumia maguvu kama wanaume. Kama unapenda burudani ya mpira, basi lazima vigezo vyako viwe spidi na mbinu. Ndiyo maana huwa nayafuatilia mashindano haya kwa uzito sawa na yale ya wanaume. Hata mwaka 2019 nilijaribu kuyafuatlia kwa karibu na kuweka record zake hapa 2019 FIFA Women's World Cup
Haya.... Ungekaa kimya tu!Mm huwa siyo kila takataka nafatiliaaa
Kujifunga wenyewe kumetokea mara mbili tu tangu mashindano haya yaanze. na huwa inatokea pia kwa wanaume. Kama unakumbuka kwenye fainali kati ya France na Croatia kule Urusi mwaka 2018, Croatia walijifunga bao la kwa kwanza halafu France nao wakajifunga bao la pili, tena hiyo ilikuwa ni fainali.Ha ha ha ha Acha maskhara Mkuu.
Mpira wa wanawake unafurahisha kutokana na makosa wanayofanya na kusababisha magoli. Mfano game ya juzi ya 16 bora beki alivyomrudishia kipa mpira ukaingia moja kwa moja nyavuni halafu kwenye mashindano makubwa kama haya.
Mimi sana sana mle naangalia watoto wazuri tu.
Japo kuna vidada vinakimbiza kabumbu sio Poa.
Watajilaumu ile penati waliokosaJapan ilielemewa sana mwanzoni, ikaja kuamka kipindi cha pili ikiwa imeshachelewa sana
Mkuu mbona umenitamanisha sn,ningepata ofa yako ya kili kubwa 4 tu hii game ningeipata kwa uzuuuriMcheazo unafuata ndani ya robo saa ijayo ni kati hya Colombia na England. Kama huna bia niambie nikulee hapo ulipo, kwani mashindano baina ya vigo na undergos yamekuwa yanavutia sana. England ni kigogo, lakini Colombian nao ni no pusher underdogs kwa hiyo tunategema burudani safi sana. Kuna wacheazji kadhaa wazuri wa Uingereza hamao kwenye timu kutokana ama na majeraha au kuwa na kadi za njano na nyekundu
Nitashukuru kupata hiyo bia...Mchezo unafuata ndani ya robo saa ijayo ni kati ya Colombia na England. Kama huna bia niambie nikulee hapo ulipo,