Mimi nachoona la liga ipo juu zaidi kuliko epl. Licha ya kulipwa mishahara mikubwa wachezaji wanao cheza epl hawana qualities kuwashinda wale wanaocheza la liga. Kwa mfano hakuna mchezaji hata m1 anayecheza man U, Liverpoll na Arsenal mwenye hadhi ya kuvaa jersey ya Barcelona, Madrid au A madrid. Ila woote wanaocheza hivyo vilabu vi3 nilivyovitaja hapo wanao uwezo wa kuvaa jersey za asena, livapuli na manchester na wakaperform vizuri ile mbaya.
Wengi wetu tunapenda kuangalia epl ambayo vyombo vingi vya habari wanaipa promo huku soka linalochezwa likiwa bovu bila mvuto. Kuna mtu mmoja aliwahi kusema wachezaji woote waliitoja la liga ndio wanairun epl. Akaweka ba orodha yao. Kun Aguerro, Silva, Toure yaya, Navas, Cazolla, Fabbie, Mata Azpicuelta na wengine hawa ndio wanaotia ladha ya kiisponiola epl.