Kamwe siwezi juta na wakikua nitawaambia ukweliTatizo umejifikiria ww tu wala hujafikiria makuzi na psycology na makuzi ya hao wanao.
Amini nakwambia "Ipo siku utajuta" kwa hiki ulichokifanya.
Mungu si mwehu kuweka baba na mama.
Chunga sana wanao wasije imba wimbo wa Michael Jackson - Earth song hasa ile chorus( what about us!)
Unahela lakini au ndo tia maji unataka uleleweTatizo lako una-generelise mambo Kuna watu Wana damu za kunguni mkuu wanawake Hata hawawatamani mim ni mmoja wapo siwez jisifia kama wanawake wananipenda huo utakua uongo
Tokea nizaliwe hakuna mwanamke ambaye alinikubalia wote walinikitaa we unataka nifanyaje
Nimewaza sana kiasi nilitamani nisichangie.Swala la vigezo nilishaliweka pembeni lakin still mambo yakawa magumu kwenye maisha tunaweza lazimishwa kutafuta ela tukafanikiwa lakin sio kwenye mapenzi Yale hayalazimishwi msingi wake umejengwa kwenye hisia
Unafikiri bila pesa angeweza kufanya hili? Hii ni njia ghali sanaUnahela lakini au ndo tia maji unataka ulelewe
Na akijua kuwa ni wa ndoto zako hakuna rangi utaacha kuona🤣😅😅😅 Huyu wa ndoto zako ni mpaka ajue hii thamani ya kuwa wa ndoto zako,kinyume chake anaweza kuwa nightmare wa maisha yako
Swala la vigezo nilishaliweka pembeni lakin still mambo yakawa magumu kwenye maisha tunaweza lazimishwa kutafuta ela tukafanikiwa lakin sio kwenye mapenzi Yale hayalazimishwi msingi wake umejengwa kwenye hisia
Ulichoongea kinaukweli lakin maisha hayakupi kile unachotaka mda mwingineRaha ya mtoto ( watoto.), mama na baba wawepo pamoja. Mengine ni kujipa faraja iliyo fake
Kama ipiIpo kasoro mkuu sio bure
Nilelewe tena sijawahi taman kulelewa jamii inatakiwa iambiwe ukweli mapenzi sio kwa kila mtu (is not for everyone)Unahela lakini au ndo tia maji unataka ulelewe
Hawana hisia na mim, hao wanalilia ndoa ni mpaka awe na hisia na weweNakataa wasichana wengi sana wanalilia ndoa.
Hatujui madhaifu ya mleta uzi.
Kila mara tunaona sura personal na walemavu wanaoa....wazee wanaoa warembo nk
Lipo tatizo mahala
Unaweza ukawa na ela na bado mapenzi yakakutesa mkuu inabid uangalie alternativeUnafikiri bila pesa angeweza kufanya hili? Hii ni njia ghali sana
Nina INTJ personalityNimewaza sana kiasi nilitamani nisichangie.
Mkuu una udhaifu gani haswa?
Je una misimamo mikali?
Nini haswa ukakosa wa kuoa?
Nimeuliza hili kwasababu mara nyingi nikiwa na ukaribu na binti mwanzoni kabisa ananiuliza si utanioa?
Mbona kama wanawake wengi wana kiu na ndoa kiasi kwamba hata ukimsalimia siku 2 ya tatu anatamani umtakie kuwa utamuoa?😂
Mimi bhana, sina damu ya kunguni lakini dah, hakuna jambo ninaloona gumu kama kuishi na mwanamke!Life is good kama ukikubali ukweli kwamba love relationship is not for everyone
yaani wewe kila ukiona movie, unajiposition kuwa ni wewe kisha unaibuka na story!!Baada ya vibuti na kukataliwa na wanawake wengi finally niliamua kutumia surrogate ili kujenga familia upinzani ulikua mgumu Ila finally nimefanikiwa Ila ndio hivyo watoto hawatakua na mama sababu mbegu za kike nilinunua
Life is good kama ukikubali ukweli kwamba love relationship is not for everyone
Surrogate ni mkombozi kwa sisi wanaume ambao tuna damu za kunguni a.k.a za kukataliwa na wanawake
The positive things Sina kinyogo au chuki dhidi ya wanawake kabisa hadi wale walionikataa, Maisha haya ni mafupi na kamwe huwezi nikuta nikiwaponda wanawake naheshimu maamuzi yao hata kama mimi sikuyapenda
Unasema Bora angeenda ku adopt tu kuliko kusubiri 9 monthsHata mbegu inawezekana umepigwa... IVF Ina mambo mengi sana hadi ilete matokeo
Ndugu hii ni chai hata sukari hainaKibongo bongo
-Ukiweza kumudu pesa ya surrogate
-Huwez kukosa pesa ya kung'oa pisi Kali ukazaa nayo,achilia mbali ya kuoa kabisa
-Probably una chuki na wanawake au Hii Ni chai huna uwezo wa kumudu surrogate wewe
Kwani una tatizo gani bro mpaka ukataliwr namna hiyo..maana siamini Kama una damu ya kunguniTatizo lako una-generelise mambo Kuna watu Wana damu za kunguni mkuu wanawake Hata hawawatamani mim ni mmoja wapo siwez jisifia kama wanawake wananipenda huo utakua uongo
Tokea nizaliwe hakuna mwanamke ambaye alinikubalia wote walinikitaa we unataka nifanyaje