in ha
JF-Expert Member
- Oct 20, 2017
- 1,726
- 3,888
Hapa hapa Tz au nje ya nchi?Alienda kupandikizwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa hapa Tz au nje ya nchi?Alienda kupandikizwa
Anakwepa maswali ya msingi.Nimesoma comments zote ila sijaona jibu la swali unaloulizwa kuwa umefanyia wapi? bongo au nje?
Hospital gani? Gharama kiasi gani? Nini kinahitajika to process.
Maana watu labda wako interested na kutaka kufata nyayo zako.
Sio kila jambo la kuweka wazi Ila hospital zinazotoa IVF service ziko TanzaniaAnakwepa maswali ya msingi.
Huyu ni kwa ajili ya surrogate mother na aliyemtafuta ni mwanasheriaSasa Unasemaje Wanawake wanakukataa wakati kuna Huyo!?
Em tuone sura yako ndo tuchangie madaBaada ya vibuti na kukataliwa na wanawake wengi finally niliamua kutumia surrogate ili kujenga familia upinzani ulikua mgumu Ila finally nimefanikiwa Ila ndio hivyo watoto hawatakua na mama sababu mbegu za kike nilinunua
Life is good kama ukikubali ukweli kwamba love relationship is not for everyone
Surrogate ni mkombozi kwa sisi wanaume ambao tuna damu za kunguni a.k.a za kukataliwa na wanawake
The positive things Sina kinyogo au chuki dhidi ya wanawake kabisa hadi wale walionikataa, Maisha haya ni mafupi na kamwe huwezi nikuta nikiwaponda wanawake naheshimu maamuzi yao hata kama mimi sikuyapenda
Mim napenda Ila nakataliwaNina ndugu yangu yeye sio kukataliwa ila yeye ndo hapendi wanawake.... Kuna ndugu wengine walioa wanawake sio...vitimbi chuki ndo zao.... nadhani vilimuathiri na akaona akipata mke anaweza kuishia kuwa na tabia zile zile.....
Sishangai njia hii ni nzuri. Swala la uwezo lipo juu ya muhusika as long as hajaomba msaada katoa ushuuda tu
Kwanin Kwan sura unauhusiano ganiEm tuone sura yako ndo tuchangie mada
Nataka nipatie picha watoto wanafananajeKwanin Kwan sura unauhusiano gani
Siwez tuma picha yangu hukuNataka nipatie picha watoto wanafananaje
Mim nimekosa ndo maana nikaamua kutumia surrogate kujenga familia unaweza usiamini Ila ndo uhalisia na ukweli wewe mwenyewe mwanaume usiyekua na hisia naye huwez mkubaliUmerogwa au haya ni maigizo yako km mmoja aliekwambia kuwa unaangalia movie then unajifanya ndo wewe,
Tanzania hii huwezi kosa mwanamke full stop
Kuhusu ushoga ujumbe unawahusu wale wanaochukia wanawake,
Gharama ni shilingi ngap mbona hujibu hiliMim nimekosa ndo maana nikaamua kutumia surrogate kujenga familia unaweza usiamini Ila ndo uhalisia na ukweli wewe mwenyewe mwanaume usiyekua na hisia naye huwez mkubali
No matter how brave you are huwez lazimisha upendo ndo maana hata Mungu hakumlazimisha adamu kumpenda kama hupendwi hupendwi tuThanks mkuu. I count him braver the one who conquer himself.This is greatest victory must be desired to be achieved in this planet.
If I allow my enemy to enter into my mental space the battle is already lost.
Kikuingiacho hakikutii unajisi Bali kikutokacho.
Kama yai likivunjika kwa external force life ends but if breaks by internal force the life continues. Kikutokacho kina nguvu mno kuliko kikuingiacho. Masihi hakukosea.
Million 70Gharama ni shilingi ngap mbona hujibu hili
Kwahiyo wanawake ni stress?Mimi bhana, sina damu ya kunguni lakini dah, hakuna jambo ninaloona gumu kama kuishi na mwanamke!
I'm too old now but sijawahi kabisa kuishi na mwanamke kwa staili ya kupika na kupakua! Sipendi kabisa kitu kinachoitwa stress maishani mwangu, na hususani stress za kitu kinachoitwa mapenzi.
Nahisi mwili wangu umegoma hata kuzeeka kwa sababu upo free from useless stresses!
Uzi wako ni muhimu sana kwa watu tusiotaka makorogesheni ya kitu kinachoitwa mapenzi!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2][emoji2][emoji28][emoji28][emoji28][emoji14]Mi nnachoona ushoga unashamiri kwa kasi sana maana mtu anajisifia kabisa kuchukia wanawake, kwa kigezo cha kwamba ni stress mara fyoko fyoko sasa ndg ukichukia wanawake manake unapenda wanaume wenzio wakupe kampani na wakufirimbe,, huu uzi una mashoga wengi kinoma
Wengine wanashadadia ooh ndo dawa yao,, [emoji23][emoji23][emoji23] surrogate sio matako eti, hela mnazo au mnabwata tu
binadamu wote wamepewa uhuru wa kuchagua maisha atakayo kuishi, wewe kama mtoto sio kipaombele basi ni vizuri, sisi wengine watoto ni kipaumbeleMimi bado sijaelewa, na huenda nisiweze kuelewa, sababu ya watu kulazimisha kuwa na watoto.
Yani watu wengine ni kama vile bila watoto wanakuwa hawaishi.
Hee sasa ulileta uzi wa nini?Sio kila jambo la kuweka wazi Ila hospital zinazotoa IVF service ziko Tanzania
@kiranga we una watoto?Mimi bado sijaelewa, na huenda nisiweze kuelewa, sababu ya watu kulazimisha kuwa na watoto.
Yani watu wengine ni kama vile bila watoto wanakuwa hawaishi.
Of course it was a jokeSiwez tuma picha yangu huku