- Thread starter
- #121
Sio mayai yakeIla huyo mama kama mayai ni yake ipo siku atataka wanae. Unless yeye kawekewa tu embryons hajachangia chochote zaidi ya uterus yake tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio mayai yakeIla huyo mama kama mayai ni yake ipo siku atataka wanae. Unless yeye kawekewa tu embryons hajachangia chochote zaidi ya uterus yake tu.
Baada ya vibuti na kukataliwa na wanawake wengi finally niliamua kutumia surrogate ili kujenga familia upinzani ulikua mgumu Ila finally nimefanikiwa Ila ndio hivyo watoto hawatakua na mama sababu mbegu za kike nilinunua
Life is good kama ukikubali ukweli kwamba love relationship is not for everyone
Surrogate ni mkombozi kwa sisi wanaume ambao tuna damu za kunguni a.k.a za kukataliwa na wanawake
The positive things Sina kinyogo au chuki dhidi ya wanawake kabisa hadi wale walionikataa, Maisha haya ni mafupi na kamwe huwezi nikuta nikiwaponda wanawake naheshimu maamuzi yao hata kama mimi sikuyapenda
Gharama nilizotumia ni million 70 zinajumuisha gharama za hospital, kumlipa mwanasheria, kumlipa surrogate mother na kununua Yai la kike
😳makubwa! Si bora tu tuzae mkuuWale wa mahari 500 milioni watajua hawajui, kama hii ni real itakuwa poa maana wanawake hawaeleweki
Kabisa mkuuutatembea dunia nzima na kufanya ama na kumiliki unachotaka ama kutamani baadaye utarudia kuwa binadamu yule yule.
Mara unakubali huwezi kujenga hoja kimantiki.Hakuna cha majibu ya mantiki na logic kila mtu ana uhuru wa kuishi maisha ayatakayo
Yote haya yasingetokea kama sio wewe, binamu!Binamu hata wewe
Tena Stress Pro....Kwahiyo wanawake ni stress?
Nyie wanaume mna matatizo sana nyie [emoji848][emoji848]
Mkuu hayo maswali kwa watoto utakuja kuyajibu?Nilimtafuta mwanamke nikampa ela kupitia mwanasheria akabeba mimba miez Tisa baada ya kujifungua watoto mapacha nikachukua watoto wangu nikampa hela tuliyokubaliana kila mtu Akala hamsin zake
NdioMkuu hayo maswali kwa watoto utakuja kuyajibu?
hata nikikujibu kimantiki huna msaada wowote kwenye maisha yangu in-short uniongezei chochote au unipunguzii chooteMara unakubali huwezi kujenga hoja kimantiki.
Halafu hapo hapo unakanusha umuhimunwa kujenga hoja kimantiki.
Hata hapo unaonesha huwezi kujenga hoja kimantiki.
Hilo la uhuru si kitu ambacho kimebishiwa.
Wewe ni jama mtu unayesisitiza damu ni nyekundu, wakati hoja haikatai damu ni nyekundu, inaukiza kwa nini damu ni nyekundu.
Mimi: Kwa nini damu ni nyekundu?
Wewe: Ndivyo ilivyo.
Mimi: Sawa ndivyo ilivyo, lakini kwa nini ni nyekundu?
Wewe: Ina uhuru wa juwa rangi yoyote, imeamua juwa nyekundu.
Mimi: Ndiyo ina uhuru, lakini kwa nini imechagua kuwa nyekundu?
Wewe: Ndivyo ilivyo.
Huna majibu ya kimantiki.
Na mama yakoPole sana mkuu, ndio maana huwa nasema wanawake ni wajinga wajinga isipokuwa mama yangu na mama yako tu
Siwez juta kwa sababu plan A technically has been failed, I don't love the strategy but I love the results don't blame me instead blame gameTatizo umejifikiria ww tu wala hujafikiria makuzi na psycology na makuzi ya hao wanao.
Amini nakwambia "Ipo siku utajuta" kwa hiki ulichokifanya.
Mungu si mwehu kuweka baba na mama.
Chunga sana wanao wasije imba wimbo wa Michael Jackson - Earth song hasa ile chorus( what about us!)
Wewe ngumbaru hujui hata herufi za Kiswahili, hujui tofauti ya "unipunguzii" na "hunipunguzii".hata nikikujibu kimantiki huna msaada wowote kwenye maisha yangu in-short uniongezei chochote au unipunguzii choote
Nyie wanawake wa JF mbona mnaharibu Uzi huu pendwa? Kwa personal AttackWewe ngumbaru hujui hata herufi za Kiswahili, hujui tofauti ya "unipunguzii" na "hunipunguzii".
Ndiyo maana wanawake wanakukataa domo zege wewe.
Ni ngumu sana kuishi na mwanamke asiyekua na hisia na wewe hata uwe trillionnaire akishakuja kwako lazima atatafuta mwanaume ambaye Roho yake inapenda na ndo usaliti unapoanza Sasa kwanin kupotezeana mda nawakati science imefanya mambo mengi kuwa possibleWe mpuuzi tu.
Kutukana wanaume hvo ndo kitu huwa mnakimbilia mkiishiwa point.
Mtu kama hapendwi lkn ananunua pvssy unategemea aje kuzaa na huyo anaeuza kitobo chake? Em tumia akili basi kabla hujaongea upuuzi wako.
Kwa hali ya sasa kama mwanaume hupendwi lkn unajiweza ni bora kununua madem tu thn watoto unafanya IVF hio ni bora kuliko kulazimisha kukaa na mtoto wa mtu, upoteze hela kumuhudumia af mwisho wa siku uishie kupiga risasi kwa sababu ya umalaya wake.
Sawa mim ni ngumbaru nilishakuja kukulia shida mim siwez kukudharau sababu sikujui na sijafundishwaga kumdharau mtu nisiyemjuaWewe ngumbaru hujui hata herufi za Kiswahili, hujui tofauti ya "unipunguzii" na "hunipunguzii".
Ndiyo maana wanawake wanakukataa domo zege ngumbaru wewe.
Mwanamke bibi yako.Nyie wanawake wa JF mbona mnaharibu Uzi huu pendwa? Kwa personal Attack
Kwa x hizo nani akukubalie mkuu!Daah mzee pole xanaa aisee yan huna tofauti xana na mimi historia yangu.