Wewe unafikiri Finland itakufa njaa? Mnafurahia ufara wa fara fulani ambaye ameamua kuvamia nchi huru kibabe tu. Halafu nchi hiyo inapojitetea mnaumia. Misimamo mingine ni ya kishetani kabisa. Kama Idd Amin alivyovamia Kagera 1978, ulitaka Nyerere afanyeje kama siyo kutetea ardhi ya Tanzania?
[/QUOTE
Kwani Russia imevamia au ilishawai kuivami Finland??
Swala la kupanda nishati lipo Duniani kote,hapa Bongo mbona nishati imepanda mara dufu au na sisi ni kwa sababu 'tumekatiwa na Urusi'? Hakuna Taifa lolote Duniani linaloweza kusurvive kwa muda mrefu kwa vitisho vya Taifa jingine.Nyie msokoment kishabiki mtwambie walijiandaaje nawakat NISHATI tayar zishapanda bei kwenye hayo mataifa husika
Nisuala la muda tu kabla hawajaelekea MOSCOW kwenda kulialia!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Russia ataendelea kufanya biashara na dunia, anaowakatia koki ni baadhi ya nchi za EU tu. Bidhaa ya oil na gesi haiwezi kukosa watejaanachofanya Urusi ni mistake kubwa sana maana ana wa alert hata wanategemea bidhaa zake kwa > 60% basi waanze kujikwamua cos wanatambua ipo siku yatawakuta ya EU
[emoji2957][emoji2957][emoji2957] mikwara mbuzi hii bado wanayo tu,tunaelekea mwezi wa nne sasa[emoji91]I ask everyone who is resisting in Severodonetsk, Lisichansk, around these settlements to come to their senses and lay down their arms before they are driven into a corner, until they are destroyed and wounded. They have families at home, children, wives are waiting - Kadyrov[emoji91]
Na hii factor ya utegemezi wa hiyo 10% tu hawa Pro Russia wanajifanya hawaioni,hawathubutu kuiweka hapa wazi,wanatuletea propaganda zao za Kikomunist za kuondoa ukweli unabakiza yale unayotaka watu wayasikie na kujifurahisha moyo.Finland walishasema week iliyopita kwamba Russia wakate gesi na mafuta maana wanajitosheleza,gesi na mafuta wanayochukua toka Russia ni 10% tu
Ni sawa na Uganda waikatie umeme Tanzania. Sehemu ndogo tu za mpakani kagera huko. Finland wameendelea kuliko Russia wana Umeme wa kila aina. Gas watachukua Norway.Hawa jamaa na wao wapuuzi sana,yaani wanamzingua mtu aliyeshika mpini? Sifa zitawaponza pamoja na kidanganywa na hizo nchi za magharibi.........
Kwani European countries hawana mbadala wa gas ya Russia? Mbadala upo tatzo ni gharama kubwa hzo gas nyingine zinatoka mbali mpk zikifika kwenye nchi zao pamoja na cost za usafirishaji bei ina kuwa juu zaidi inasababisha mfumuko wa beiHiyo aile mwenyewe tuone atafika wapi, mwisho wa siku hata kama watapata shida kwa muda watakuja kupata mbadala
Hayo mangine si uyaweke wewe!Na hii factor ya utegemezi wa hiyo 10% tu hawa Pro Russia wanajifanya hawaioni,hawathubutu kuiweka hapa wazi,wanatuletea propaganda zao za Kikomunist za kuondoa ukweli unabakiza yale unayotaka watu wayasikie na kujifurahisha moyo.
Unabishana Na Hawa watu?? Matumizi mabaya ya akiliTatizo lako unafikiri mi ni mjinga mwezio - kwamba nashabikia Marekani kuvamia nchi nyingine. Assumption yako ni ujinga wa hali ya juu. Ukweli ni kwamba sishabikii mtu yeyote anayevamia nchi nyingine - awe ni Idd Amin, Bush, Hitler, ama Putin. Kama una akili hata ya kuvukia barabara, utakuwa umenielewa. Hii ni vita kati ya wema na ubaya. Siyo vita kati ya Marekani na Urusi. Kama ni mbumbumbu hautanielewa.
Ni kweli kabla ya uvamizi walikuwa hawapendi kujiunga NATO lakini baada ya kuona uwendawazimu wa Putin kule Ukraine wameona bora kujihami kabisa,Viongozi wao hawajakurupuka kuamua kupeleka maombi ya kujiunga,hizo siyo Serikali za mtu mmoja anajiamulia mambo,tutarudi hapa kucoment tena baada ya mchakato kukamilika.Tafakari na Upande wa Tatu, viongozi wao ni wanasiasa na wananunulika, kikinuka wanasepa na wanaoumia ni wananchi.
Wananchi hawaitaki hio Nato na ukifika Uchaguzi hao wanasiasa Hawashindi tena.
Wanasiasa wengi Ulaya Hali ni tete kwa sasa, wengi hawatashinda Uchaguzi kwa hii Blunder ya Urusi waliofanya.
Kwanini Ukraine na yeye alijiandaa kupigwa wewe ndo wale mnaoamini wazungu wote wanaakili Kuna wengine ni wajingaTutafakar upande wa pili, yaani finland. Wao hawakujua kuwa watakatiwa umeme na gas? Ni ushabiki tu usio na maana haya mataifa yanayomzingua russia yanaonekana tayari yalishajiandaa kwa muda mrefu. Kama hiyo gas na umeme ndo vingekuwa ni maisha yao, wala wasingethubutu kupeleka hayo maombi NATO, ila mpaka wanapeleka maana yake kuna namna wamejiandaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe mwenye akili sana hebu kwanza fanya ugunduzi wa machine ya toothpick tu ndiyo tutakuelewa hii comment yako.Hivi unadhani Mzungu ana akili sana.
Sema tu walitutangulia kufanya ugunduzi mbalimbali.
Wangekuwa wanaona mbali leo hii Ukraine isingekuwa magofu kwa issue ambayo ingetatuliwa peacefully.
Hawa Wazungu kuna possibility wakatuingiza kwenye WW3 kimasihara.
Uwe unatulia ,unasoma na kuelewa kisha unacomment.Hayo mangine si uyaweke wewe!
Elimu elimu elimu elimutatizo la hawa wavaa kobaz lipo hapo
Na kuandika kwa herufi kubwa mwanzo mwisho ni dalili kubwa ya mihemko na kupiga makeleleNAWEKA MSISITIZO, MTAONGEA YOTE KWA MIHEMKO TU LAKINI MKAE MKIJUA GASI NA OIL NI BIDHAA ADIMU MNO NA HAZIWEZI KUKOSA WATEJA. WEWE UKISUSA WWNGINE WALA
Kama kina nani unafikiri wanaweza replace soko la watu wa Ulaya la gesi na oil?Russia ataendelea kufanya biashara na dunia, anaowakatia koki ni baadhi ya nchi za EU tu. Bidhaa ya oil na gesi haiwezi kukosa wateja
Pengine soko la East Africa [emoji3][emoji3]Kama kina nani unafikiri wanaweza replace soko la watu wa Ulaya?
Hahaha. Tutanunua kwa rubble.Pengine soko la East Africa [emoji3][emoji3]