Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyo jamaa ni mtata sana!
kuna siku moja gari ilichomoka exaust ikabidi nishuke ili niifunge na kamba.
niko chini ya gari naskia mtu anacheka..nikajua ni msela kwenye gari kule ndo anacheka!
nikawa namuuliza wee fala unacheka nini??!!nikaona anazidi tu.
nikatoka chini ya gari na tochi yangu!kumulika hivi pembeni wako fisi wawili nyuma yao wanakuja fisi wengine km 7 hivi..mahali kioo cha gari kilibaki nilipita pale..maana lile fala kule lililoki milango ya gari!!siku zote usisafiri na mtu muoga kabisa nahisi huyu fala angekuwa anajua kuendesha gari angeacha niliwe siku ile..nilipita sehemu ambayo hata kuku hawezi kupita.
kumbe ile kucheka walikuwa wanaitana ukoo mzima ili wapate dinner ya pamoja(dinner ndio mimi).sitasahau hiyo siku
Kwa jeshi letu la polisi lolote linawezekana!!Taarifa za Polisi mimi huwa nina mashaka nazo, usikute hizo risasi nyingine zilitumika kwenye 'misheni', sasa hesabu ina-balansiwa hapo kwa fisi.
Haukumzaba na vibao?huyo jamaa ni mtata sana!
kuna siku moja gari ilichomoka exaust ikabidi nishuke ili niifunge na kamba.
niko chini ya gari naskia mtu anacheka..nikajua ni msela kwenye gari kule ndo anacheka!
nikawa namuuliza wee fala unacheka nini??!!nikaona anazidi tu.
nikatoka chini ya gari na tochi yangu!kumulika hivi pembeni wako fisi wawili nyuma yao wanakuja fisi wengine km 7 hivi..mahali kioo cha gari kilibaki nilipita pale..maana lile fala kule lililoki milango ya gari!!siku zote usisafiri na mtu muoga kabisa nahisi huyu fala angekuwa anajua kuendesha gari angeacha niliwe siku ile..nilipita sehemu ambayo hata kuku hawezi kupita.
kumbe ile kucheka walikuwa wanaitana ukoo mzima ili wapate dinner ya pamoja(dinner ndio mimi).sitasahau hiyo siku
Usijidaganganye bro kwamba fisi ni muoga...fisi ni second top predator after the lion..Fisi walivyo na sifa za woga imekwaje huyo hadi avamie nyumba na kujeruhi watu na kuuwa mtoto
Mzee namna wangekugawana acha kabisahuyo jamaa ni mtata sana!
kuna siku moja gari ilichomoka exaust ikabidi nishuke ili niifunge na kamba.
niko chini ya gari naskia mtu anacheka..nikajua ni msela kwenye gari kule ndo anacheka!
nikawa namuuliza wee fala unacheka nini??!!nikaona anazidi tu.
nikatoka chini ya gari na tochi yangu!kumulika hivi pembeni wako fisi wawili nyuma yao wanakuja fisi wengine km 7 hivi..mahali kioo cha gari kilibaki nilipita pale..maana lile fala kule lililoki milango ya gari!!siku zote usisafiri na mtu muoga kabisa nahisi huyu fala angekuwa anajua kuendesha gari angeacha niliwe siku ile..nilipita sehemu ambayo hata kuku hawezi kupita.
kumbe ile kucheka walikuwa wanaitana ukoo mzima ili wapate dinner ya pamoja(dinner ndio mimi).sitasahau hiyo siku