Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 8,257
- 11,499
Tabora wapo vizuri salute.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo alikuwa commando, nyie mnatuna kuluta kumpiga risasi commandoo mnategemea nini sasa😜!?Wanabodi,
Tarehe 25/07/2021 imeripotiwa tukio la fisi kushambulia na kuua mtoto wa mwaka mmoja na nusu.
Tukio hilo limetokea karibu na Hifadhi ya Lugoya huko Kaliua...
Huyo alikuwa commando, nyie mnatuna kuluta kumpiga risasi commandoo mnategemea nini sasa😜!?Wanabodi,
Tarehe 25/07/2021 imeripotiwa tukio la fisi kushambulia na kuua mtoto wa mwaka mmoja na nusu.
Tukio hilo limetokea karibu na Hifadhi ya Lugoya huko Kaliua...
Huyo alikuwa commando, nyie mnatuna kuluta kumpiga risasi commandoo mnategemea nini sasa😜!?Wanabodi,
Tarehe 25/07/2021 imeripotiwa tukio la fisi kushambulia na kuua mtoto wa mwaka mmoja na nusu.
Tukio hilo limetokea karibu na Hifadhi ya Lugoya huko Kaliua...
balaa nililoliona ni la fisi kuibuka wakati wakimjadili yeye.
Watu baada ya fisi kuuawa walidai watamshughulikia na kuchukua nyama huenda walienda kuila,"amesema.
Fisi huyo aliyeua mtoto wa mwaka mmoja na nusu baada ya kuvamia nyumba katika Kijiji cha Kangeme wilayani Kaliua alijeruhi pia watu watatu ambao inaelezwa wanaendelea vizuri.
Diwani wa kata ya Zugimlole, Ramadhan Balikeka amesema kuwa wananchi waligawana nyama na haelewi walienda kufanya nini.
"Watu baada ya fisi kuuawa walidai watamshughulikia na kuchukua nyama huenda walienda kuila,"amesema.
Balikeka amesema kuwa tukio la fisi huyo na namna alivyokuwa mahiri kukwepa risasi, limehusishwa na imani za kishirikina, wananchi wakidai ni fisi wa aina yake.
Katika taarifa yake Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Safia Jongo alisema kuwa fisi huyo alivamia kwenye nyumba katika kijiji hicho na kuua mtoto wa mwaka mmoja na nusu na kujeruhi watu watatu.
Pia aliongeza kuwa polisi na askari wanyamapori walimuua baada ya kutumia risasi arobaini na tisa.
Kwa mujibu wa Diwani Balikeka, tukio hilo la fisi ni la kwanza mwaka huu katika kata yake.
Chanzo: Mwananchi
View attachment 1871249
umechelewa, washagawana toka jana.NAHITAJI SEHEMU ZAKE ZA SIRI NA MENO YAKE TAFADHALI
Swali la mtego hilo [emoji3][emoji3][emoji3] wenyeji wa Mwanza na Shinyanga waliokulia vijijini wamenielewaKwani fisi ana uzito gani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watu baada ya fisi kuuawa walidai watamshughulikia na kuchukua nyama huenda walienda kuila,"amesema.
Balikeka amesema kuwa tukio la fisi huyo na namna alivyokuwa mahiri kukwepa risasi, limehusishwa na imani za kishirikina, wananchi wakidai ni fisi wa aina yake.
NAHITAJI SEHEMU ZAKE ZA SIRI NA MENO YAKE TAFADHALI