Fisi aliyeuawa kwa risasi 49, wananchi wagawana nyama

Fisi aliyeuawa kwa risasi 49, wananchi wagawana nyama


Fisi huyo aliyeua mtoto wa mwaka mmoja na nusu baada ya kuvamia nyumba katika Kijiji cha Kangeme wilayani Kaliua alijeruhi pia watu watatu ambao inaelezwa wanaendelea vizuri.

Diwani wa kata ya Zugimlole, Ramadhan Balikeka amesema kuwa wananchi waligawana nyama na haelewi walienda kufanya nini.

"Watu baada ya fisi kuuawa walidai watamshughulikia na kuchukua nyama huenda walienda kuila,"amesema.
Balikeka amesema kuwa tukio la fisi huyo na namna alivyokuwa mahiri kukwepa risasi, limehusishwa na imani za kishirikina, wananchi wakidai ni fisi wa aina yake.

Katika taarifa yake Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Safia Jongo alisema kuwa fisi huyo alivamia kwenye nyumba katika kijiji hicho na kuua mtoto wa mwaka mmoja na nusu na kujeruhi watu watatu.

Pia aliongeza kuwa polisi na askari wanyamapori walimuua baada ya kutumia risasi arobaini na tisa.

Kwa mujibu wa Diwani Balikeka, tukio hilo la fisi ni la kwanza mwaka huu katika kata yake.

Chanzo: Mwananchi

View attachment 1871249

"askari wetu akipiga tatu akamkosa atawajibika sikwambii askari aliefundishwa akapiga 16 huyo mtu atoke mzima". -Mama Samia

Hao waliopiga zote hizo wawajibishwe aiisee
 
Wananchi hawataki utani, wanaona kama fisi atatema risasi na kufufuka...
 
Huyu fisi si.mchezo unaambiwa alikuwa anakwepa risasi ni master japo inasikitisha sana

[emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313]

Tabora. Wananchi wamegawana nyama ya fisi aliyeuawa baada ya kukwepa risasi zaidi ya arobaini mkoani Tabora.

Fisi huyo aliyeua mtoto wa mwaka mmoja na nusu baada ya kuvamia nyumba katika Kijiji cha Kangeme wilayani Kaliua alijeruhi pia watu watatu ambao inaelezwa wanaendelea vizuri.

Diwani wa kata ya Zugimlole, Ramadhan Balikeka amesema kuwa wananchi waligawana nyama na haelewi walienda kufanya nini.

"Watu baada ya fisi kuuawa walidai watamshughulikia na kuchukua nyama huenda walienda kuila,"amesema.
Balikeka amesema kuwa tukio la fisi huyo na namna alivyokuwa mahiri kukwepa risasi, limehusishwa na imani za kishirikina, wananchi wakidai ni fisi wa aina yake.

Katika taarifa yake Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Safia Jongo alisema kuwa fisi huyo alivamia kwenye nyumba katika kijiji hicho na kuua mtoto wa mwaka mmoja na nusu na kujeruhi watu watatu.

Pia aliongeza kuwa polisi na askari wanyamapori walimuua baada ya kutumia risasi arobaini na tisa.
Kwa mujibu wa Diwani Balikeka, tukio hilo la fisi ni la kwanza mwaka huu katika kata yake.


Chanzo Mwananchi
View attachment 1870285
Hawa wametuibia risasi zetu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Askari hawana Shabaha wanasingizia eti Fisi ni mahiri wa Kukwepa Risasi...

Bongo vituko haviishi [emoji2][emoji2][emoji2]
Wametuibia risasi zetu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
huyo jamaa ni mtata sana!

kuna siku moja gari ilichomoka exaust ikabidi nishuke ili niifunge na kamba.

niko chini ya gari naskia mtu anacheka..nikajua ni msela kwenye gari kule ndo anacheka!

nikawa namuuliza wee fala unacheka nini??!!nikaona anazidi tu.

nikatoka chini ya gari na tochi yangu!kumulika hivi pembeni wako fisi wawili nyuma yao wanakuja fisi wengine km 7 hivi..mahali kioo cha gari kilibaki nilipita pale..maana lile fala kule lililoki milango ya gari!!siku zote usisafiri na mtu muoga kabisa nahisi huyu fala angekuwa anajua kuendesha gari angeacha niliwe siku ile..nilipita sehemu ambayo hata kuku hawezi kupita.

kumbe ile kucheka walikuwa wanaitana ukoo mzima ili wapate dinner ya pamoja(dinner ndio mimi).sitasahau hiyo siku
Ungekufa kimasihara
 

Fisi huyo aliyeua mtoto wa mwaka mmoja na nusu baada ya kuvamia nyumba katika Kijiji cha Kangeme wilayani Kaliua alijeruhi pia watu watatu ambao inaelezwa wanaendelea vizuri.

Diwani wa kata ya Zugimlole, Ramadhan Balikeka amesema kuwa wananchi waligawana nyama na haelewi walienda kufanya nini.

"Watu baada ya fisi kuuawa walidai watamshughulikia na kuchukua nyama huenda walienda kuila,"amesema.
Balikeka amesema kuwa tukio la fisi huyo na namna alivyokuwa mahiri kukwepa risasi, limehusishwa na imani za kishirikina, wananchi wakidai ni fisi wa aina yake.

Katika taarifa yake Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Safia Jongo alisema kuwa fisi huyo alivamia kwenye nyumba katika kijiji hicho na kuua mtoto wa mwaka mmoja na nusu na kujeruhi watu watatu.

Pia aliongeza kuwa polisi na askari wanyamapori walimuua baada ya kutumia risasi arobaini na tisa.

Kwa mujibu wa Diwani Balikeka, tukio hilo la fisi ni la kwanza mwaka huu katika kata yake.

Chanzo: Mwananchi

View attachment 1871249
Pia aliongeza kuwa polisi na askari wanyamapori walimuua baada ya kutumia risasi arobaini na tisa.
Si angemalizia tu hio moja zifike 50[emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huyo jamaa ni mtata sana!

kuna siku moja gari ilichomoka exaust ikabidi nishuke ili niifunge na kamba.

niko chini ya gari naskia mtu anacheka..nikajua ni msela kwenye gari kule ndo anacheka!

nikawa namuuliza wee fala unacheka nini??!!nikaona anazidi tu.

nikatoka chini ya gari na tochi yangu!kumulika hivi pembeni wako fisi wawili nyuma yao wanakuja fisi wengine km 7 hivi..mahali kioo cha gari kilibaki nilipita pale..maana lile fala kule lililoki milango ya gari!!siku zote usisafiri na mtu muoga kabisa nahisi huyu fala angekuwa anajua kuendesha gari angeacha niliwe siku ile..nilipita sehemu ambayo hata kuku hawezi kupita.

kumbe ile kucheka walikuwa wanaitana ukoo mzima ili wapate dinner ya pamoja(dinner ndio mimi).sitasahau hiyo siku
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nmecheka kifala
 
Sitasahau usku mzto wa saa sita natoka shop kwangu nipo na dogo na demu wake

Huko simiyu town kwa wanapopajua kule kanisa la katoliki mtakatifu john ile tunavuka daraja la kwanza ukiwa unatokea somanda mara tukaona msululu wa fisi zaidi ya 40 yan ni wengi hasa na vitoto wanavuka barabara huku wamebeba mzoga una harufu kali sn
Kucheck pemben napo wapo kibao wamezagaa zagaa tu aisee [emoji848] niliingiwa na uwoga nikawa nawaza yule mtoto wa watu demu wa dogo itakuwaje endapo hawa wazee wa kaz wakiliamsha
Dogo ameshaogopa nilichokifanya nikaendelea kuwastorisha huku tunaendelea na safari kwa mguu huku nasukuma baiskeli
Wao wako kimya kbs kana kwamba ningesema nikimbie uwenda wangepga kelele na wale wazee wa kaz wangestuka wakatuvamia mi nikawa nawapa story tu huku tunatembea mpk wale fisi wakavuka wote wakabaki wale waliokuwa wamezagaa pembeni huko
Stasahau aisee
 
Hapa inaonekana walikuwa wanamkimbiza akikaa kwenye target wanafyatua risasi anakata kona wanamkosa
Hivyohivyo hadi risas hizo
 
Watani zangu wasukuma mmeanza kula nyama ya Ghambit?
Fisi anatumika kwa mambo mengi sana.

Fisi ni mnyama mwenye roho ngumu, mwindaji mzuri tu ila anahisia balaa.

Nyama ya fisi hutumika kama vizimba kwenye dawa mbalimbali hasa zinazohusiana na uhalifu.

Kwa mfano ule msemo wa "Machale yakanicheza" watu wanaochezwa na Machale huchanjwa dawa zilizochanganywa vizimba vya nyama ya fisi.
 
Kwani hujasoma habari yote wewe? Maana wamezungumzia ukwepaji usiomithirika wa risasi wa huyo fisi.
 
Fisi anatumika kwa mambo mengi sana.

Fisi ni mnyama mwenye roho ngumu, mwindaji mzuri tu ila anahisia balaa.

Nyama ya fisi hutumika kama vizimba kwenye dawa mbalimbali hasa zinazohusiana na uhalifu.

Kwa mfano ule msemo wa "Machale yakanicheza" watu wanaochezwa na Machale huchanjwa dawa zilizochanganywa vizimba vya nyama ya fisi.
Kuna jambazi mmoja alikuwa akisakwa sana na police na alikuwa anaishi mtaani, watu wanamuona kabisa anaingia ndani.

Majirani wanatoa taarifa polisi ila kabla defender haijafika either aondoke au polisi wafike alafu wasimkute ndani.
 
Nkyalo mkonza....
[emoji2] Maana yake nini? Maana hata Google Translate imechemka.
Screenshot_20210730-071808.jpg
 
Fisi anauawa kwa risasi moja tu, zikizidi mbili! Hilo lilikuwa lijidide la kitamaduni
 
Kuna jambazi mmoja alikuwa akisakwa sana na police na alikuwa anaishi mtaani, watu wanamuona kabisa anaingia ndani.

Majirani wanatoa taarifa polisi ila kabla defender haijafika either aondoke au polisi wafike alafu wasimkute ndani.
Fisi akiingia kwenye mji wa mtu kwajili ya windo huwa anajua nyumba ambayo kuna watu na ambayo haina watu.

Lakini pia fisi anaweza kuficha harufu yake asisikike kwa mbwa.

Sasa nyama yake inatumika kwa vizimba ambavyo dawa nyingi hutumika kwenye mambo ya uhalifu na uchawi.
CC Mshana Jr
 
Back
Top Bottom