Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli alikuwa fisi mtata, kwanini baada ya kukwepa risasi ya Kwanza hakukimbia? Mlio wa bunduki unaogopesha sana.Hatarious! Fisi kacheza rede na miale ya moto
Atakuwa ni fisi maji/ mtu ....Kweli alikuwa fisi mtata, kwanini baada ya kukwepa risasi ya Kwanza hakukimbia? Mlio wa bunduki unaogopesha sana.
Au hai Askari wa wanyama pori ndio walitumwa dodoma kumshughulikia Tundu Lissu?
Watakaokula wote watapata madhara flani kama fisi huyo wa kichawiWatamkomesha Vipi Fisi aliyekufa? Kwa kuchukua nyama yake?
Watakaokula wote watapata madhara flani kama fisi huyo wa kichawi
Wanaenda kuifanyia milaWatakaokula wote watapata madhara flani kama fisi huyo wa kichawi
Watapata uwezo wa kukwepa matone ya mvua za elninoInamaana watakao kula nyama hiyo watakwepa risasi 49 ,
Au wataujua uchawi Kwa kula nyama!
Si rahisi,ana matumizi Fulani ktk uloziWatakaokula wote watapata madhara flani kama fisi huyo wa kichawi
Wataharisha sanaWanaenda kuifanyia mila
Lazma wahare siku tatuInamaana watakao kula nyama hiyo watakwepa risasi 49 ,
Au wataujua uchawi Kwa kula nyama!
Watapata uwezo wa kukwepa matone ya mvua za elninoInamaana watakao kula nyama hiyo watakwepa risasi 49 ,
Au wataujua uchawi Kwa kula nyama!
Unaanzaje kula hii takataka?Wataharisha sana
Mie mwenyewe sielewi ujasiri huo raia wanautoa wapi😅😅😅Watapata uwezo wa kukwepa matone ya mvua za elnino
Unaanzaje kula hii takataka?
View attachment 1871104
Kuna haja serikali itoe ruzuku kwenye Bei ya nyama, maana inaonekana ni mlo adimu Sana na wananchi hawana uwezo wa kununua, just imagine, kilo ni 7000/ tuMie mwenyewe sielewi ujasiri huo raia wanautoa wapi😅😅😅
Heheheh uchumi wa kati brazaKuna haha serikali itoe ruzuku kwenye Bei ya nyama, maana inaonekana ni mlo adimu Sana na wananchi hawana uwezo wa kununua, just imagine, kilo ni 7000/ tu
Ila kama hawako vizuri baada ya siku tatu itaanza kazi ya tumpeleke tumpeleke kwenye makazi yake ya milele wotenwalio gawana hiyo nyamaWanaenda kuifanyia mila
Kwani fisi ana uzito gani?Ila kama hawako vizuri baada ya siku tatu itaanza kazi ya tumpeleke tumpeleke kwenye makazi yake ya milele wotenwalio gawana hiyo nyama
Sii kwa uchu huoHeheheh uchumi wa kati braza
Walikuwa wanalenga mkia, pua masikio na miguuAtakuwa ni fisi maji/ mtu ....
Fisi mmoja na risasi 49? Kwamba askari hawakuwa na shabaha au fisi alikuwa na machejo sana? Au walikuwa wanakimbizana? Inafikirisha
[emoji1][emoji1]