Nikuongoze ili iweje kwa mfano?Huna cha kuniongoza kuhusu kuwepo au kutokuwepo kwa uchawi. Huna. Kwenye hilo mind your business
Majini ndio yanacheza mkuu..wanayanunua huko arabuniNdio maana nilikuwa nashangaa huu mpira yanga wameutoa wapi kumbe wanawachezesha majini sisi tunajua wakina pakome na the like..😀[emoji1787][emoji1787]
ndugu yangu,hii jamii forum ya sasa kiboko,Mtu anapata habari insta alafu anakuja kuweka comment jamii forum. Hajui kuna watu hiyo habari hatujaiona.Mimi sijaelewa hapa ni nini kinaendelea. Ungeamza kutuelewesha usifanye kama vile tuko huko
MAJINI FC.....MATAULO MEUPE FC...Mayele amelalamika mmemtupia majini, hatuwezi kukataa aliyosema kwa sababu alikuwa na nyinyi na mnajua mlivyokuwa mkimpa majini ili aweze kuona mkali dimbani, hatuwezi kupuuza hizi kauli hata kidogo.
Kwamba mmefikia hatua mnamtupia majini hadi huko aliko?
Na bado hapo Mayele hajasema, feitoto naye hajasema pia, sasa najiuliza mnakwenda kuhiji maka kufanya nn? Macca ni mahali patakatifu, macca wanakwenda watu wasafi, wewe unakwenda maka kuhiji halafu unamtumia Haji kurusha majini kwa watu.Huko macca ulienda kucheza makida makida.
Halafu unaibuka unamwambia Mayele eti futa post hii, habithil ammar.
Mtasema tu wanga nyie.
Kama mm ninalo jini KIFIRO.....nikikurushia asubuhi unaamka huna marinda..Nyinyi mnaitwa MAJINI FC ,haya mmeelewa?
Kumbe majini yao ndo huwatuma wakatoe vitaulo....aisee hawa wameshindikanaMAJINI FC.....MATAULO MEUPE FC...
Majini fc wakubwa nyieItakuwa Chuki Za Mashabiki Wa Simba Kwa Kukandwa.
Dar Young Africans Tulimalizana Nae Kwa Wema Kabisa.
Mashabiki wema wapenda mpira wataogopa kwenda uwanjani kwenye mechi zao, mana majini yametapakaa kila konaKumbe majini yao ndo huwatuma wakatoe vitaulo....aisee hawa wameshindikana
Alete picha ya jini hilo tulione. Aende kwa Mwamposa akalitoe.Leo unasema umechoka na majini. Kipindi kile yanakusaidia hukuchoshwa nayo? Waulize wenzio sasa. Muulize Feisal si una namba yake. Waulize wengi tu ambao wamepita Yanga wakatengenezwa wakajifanya wajuaji. Uliza wapo wapi mbwa wewe. Sisi ndo tumekujenga.
View attachment 2901484View attachment 2901485
Makolo msijitoe akiliNdio shobo zenyewe Fei amekuwa bulled kwenye mitandao badala ya kukua kimpira ndio kazidi kushuka. Waacheni vijana wakatafute riziki.
Kwani sisi kosa letu lipi? Kayaanza mwenyewe nasi tunamkumbusha asichokoze vita ya mawe ilhali anaishi nyumba ya vioo.
Kwani sisi kosa letu lipi? Kayaanza mwenyewe nasi tunamkumbusha asichokoze vita ya mawe ilhali anaishi nyumba ya vioo.
Kwani sisi kosa letu lipi? Kayaanza mwenyewe nasi tunamkumbusha asichokoze vita ya mawe ilhali anaishi nyumba ya vioo.
Kwani sisi kosa letu lipi? Kayaanza mwenyewe nasi tunamkumbusha asichokoze vita ya mawe ilhali anaishi nyumba ya vioo.