Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Majini FcSoon utaenda kuroga mmeo kaa mbali na Imani za ajabu ajabu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majini FcSoon utaenda kuroga mmeo kaa mbali na Imani za ajabu ajabu
Kuamini na kuamini kama upo ni vitu viwili tofauti. Mtu anaweza akawa hautumikii uchawi kwa namna yoyote, lakini bado anajua na kuamini kwamba wapo watu wanaofanya uchawiSiamini upuuzi huo. Naamini Science.
Huo wote ni upumbavu. SorryKuamini na kuamini kama upo ni vitu viwili tofauti. Mtu anaweza akawa hautumikii uchawi kwa namna yoyote, lakini bado anajua na kuamini kwamba wapo watu wanaofanya uchawi
Leo unasema umechoka na majini. Kipindi kile yanakusaidia hukuchoshwa nayo? Waulize wenzio sasa. Muulize Feisal si una namba yake. Waulize wengi tu ambao wamepita Yanga wakatengenezwa wakajifanya wajuaji. Uliza wapo wapi mbwa wewe. Sisi ndo tumekujenga.
View attachment 2901484View attachment 2901485
Haya unatakiwa umueleze Mayele mwenyewe, au umwambie Manara amfikishie ujumbeKolo, Hakuna mwana Yanga mwenye deni / ubaya na Mayele
Leo unasema umechoka na majini. Kipindi kile yanakusaidia hukuchoshwa nayo? Waulize wenzio sasa. Muulize Feisal si una namba yake. Waulize wengi tu ambao wamepita Yanga wakatengenezwa wakajifanya wajuaji. Uliza wapo wapi mbwa wewe. Sisi ndo tumekujenga.
View attachment 2901484View attachment 2901485
Mayele anatumiwa na meneja wake kisiasa za usimba na yanga kufifisha trend ya ujenzi wa uwanja wa Yanga.Leo unasema umechoka na majini. Kipindi kile yanakusaidia hukuchoshwa nayo? Waulize wenzio sasa. Muulize Feisal si una namba yake. Waulize wengi tu ambao wamepita Yanga wakatengenezwa wakajifanya wajuaji. Uliza wapo wapi mbwa wewe. Sisi ndo tumekujenga.
View attachment 2901484View attachment 2901485
Huna cha kuniongoza kuhusu kuwepo au kutokuwepo kwa uchawi. Huna. Kwenye hilo mind your businessNinachoshangaa ni kuwa wewe unaamini uchawi upo.
Ondokana na imani hizo za kijinga. Huyo Mayele ni mzuri ila siyo kwa level anayofikiria.
Training, training, training .....
Ngungus na Jaribu TenaYanga wenye akili hawafiki watatu.
Mayele anatumiwa na meneja wake kisiasa za usimba na yanga kufifisha trend ya ujenzi wa uwanja wa Yanga.
Ukute huyu nae alihesabiwa sensaNiliwahi kusema humu...
Yanga kama nyoka, anakung'ata then hakuli ...
Leo ndio mtaelewa chanzo cha Baleke kushuka kiwango, majeraha ya phiri na kramo n.k
Kwenye mpira wa tz, yanga ni kirusi, wanaroga ili wenzao wasifanikiwe halafu wao wakipata nafasi hawana uwezo wa kufanya chechote.
Kwa hiyo kujenga uwanja nayo ni trend? Huwa mnatumia viungo gani kufikiriMayele anatumiwa na meneja wake kisiasa za usimba na yanga kufifisha trend ya ujenzi wa uwanja wa Yanga.
Sawa hata usipozipuuza. Zitunze zitakusaidia mbele ya safari mkuu. Lakini YANGA itabaki ile ile mileleMayele amelalamika mmemtupia majini, hatuwezi kukataa aliyosema kwa sababu alikuwa na nyinyi na mnajua mlivyokuwa mkimpa majini ili aweze kuona mkali dimbani, hatuwezi kupuuza hizi kauli hata kidogo.
Kwamba mmefikia hatua mnamtupia majini hadi huko aliko?
Na bado hapo Mayele hajasema, feitoto naye hajasema pia, sasa najiuliza mnakwenda kuhiji maka kufanya nn? Macca ni mahali patakatifu, macca wanakwenda watu wasafi, wewe unakwenda maka kuhiji halafu unamtumia Haji kurusha majini kwa watu.Huko macca ulienda kucheza makida makida.
Halafu unaibuka unamwambia Mayele eti futa post hii, habithil ammar.
Mtasema tu wanga nyie.
Uko sahihi. Mchawi pekee anaweza kumjua mchawi mwenzieNimesikitishwa sana na hii habari. Hata hawa kina Baleke na Kramo ni majini ya Yanga tu. Timu imejaa waswahili. Hakuna mechi ambayo Yanga inacheza bila kuroga. Hii sizungumzi kishabiki
Kwa hiyo majini yanaweza kufanya kazi kwa Mayele ila yasiweze kufanya kazi kwa Konkon?Mayele amelalamika mmemtupia majini, hatuwezi kukataa aliyosema kwa sababu alikuwa na nyinyi na mnajua mlivyokuwa mkimpa majini ili aweze kuona mkali dimbani, hatuwezi kupuuza hizi kauli hata kidogo.
Kwamba mmefikia hatua mnamtupia majini hadi huko aliko?
Na bado hapo Mayele hajasema, feitoto naye hajasema pia, sasa najiuliza mnakwenda kuhiji maka kufanya nn? Macca ni mahali patakatifu, macca wanakwenda watu wasafi, wewe unakwenda maka kuhiji halafu unamtumia Haji kurusha majini kwa watu.Huko macca ulienda kucheza makida makida.
Halafu unaibuka unamwambia Mayele eti futa post hii, habithil ammar.
Mtasema tu wanga nyie.
Vipi Kapombe na MwendaNimesikitishwa sana na hii habari. Hata hawa kina Baleke na Kramo ni majini ya Yanga tu. Timu imejaa waswahili. Hakuna mechi ambayo Yanga inacheza bila kuroga. Hii sizungumzi kishabiki