Fiston Mayele tumepigwa mchana kweupe

Umesahau msimu uliopita raundi ya kwanza hamkufungwa mkajinasibu nyie na Baca ndio hamjafungwa duniani [emoji3]jitulize ligi bado mbichi
Hatufurahii matokeo ya kushinda bali performance ya timu. Sisi tunafurahishwa na timu inavyozidi kuimarika kwa kucheza soka zuri wala hata hatuna haja na matokeo maana tupo kwenye utengenezaji wa timu. Vipi nyie mlioenda Morocco mwezi mzima na kambi ya Arusha, na nyie mnatengeneza timu?
 
Je kwa sasa una la kusema tena kuhusu mayele?

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…