Kwanini kila mtazamo unautazama kama wa kubishana, unahisi wewe peke tako umewekeza katika hizo taasisi, nina uzoefu na huo uwekezaji ndiyo maana nimeinua hoja, but anyway isiwe tabu ni kubadilusha elimu tu, unaogopa kuchekwa na watoto wewe utaweza kuwa mfanyabiasha sasa si utaogopa hata kuzikabili risk, labda ndiyo maana unafurahia easy money isio na riskUna ubishi wa Kizamani sana kwenye dunia ambayo kila taarifa ni rahisi kuipata. Jaribu kufanya utafiti mkuu utachekwa na watoto wadogo.
Approach yako nimeona kama umelenga ubishi unapotoa conclusion kwamba hicho kitu “hakipo”. Hili ni kosa kwa mtu anayetaka kujifunza. Mimi kila mwezi napata interest ndugu, ni vema ufanye utafiti kabla hujatoa hitimisho la hivyo.Kwanini kila mtazamo unautazama kama wa kubishana, unahisi wewe peke tako umewekeza katika hizo taasisi, nina uzoefu na huo uwekezaji ndiyo maana nimeinua hoja, but anyway isiwe tabu ni kubadilusha elimu tu, unaogopa kuchekwa na watoto wewe utaweza kuwa mfanyabiasha sasa si utaogopa hata kuzikabili risk, labda ndiyo maana unafurahia easy money isio na risk
Mkuu huo ni mfano tu wa jinsi matumizi ya fedha kwenye biashara yanavyolipa kuliko kuweka fixed deposit.Kule umewekeza 150m na ushee cash na unapata hizo 1.1m bila wewe kufanya lolote zaidi yaani ni hizo faranga zako 150m zinakufanyia kazi....
Huku umewekeza 15M na nguvu na muda wako yaani faranga zako pamoja na wewe muda wako na usimamizi....
Kwahio utaona kwa wengi ambao mtaa ni mgumu na unpredictable achana na hio 1.2 hata 750k inayotiririka kila mwezi ni secure na better option...., haichelewi hio Spacio day two ikapigwa mzinga na hizo 15m zako kuteketea instantly.... Tukubaliane majority have neither discipline nor the nerves
To each their own....
Inawezekana kumbe kupokea kwa mwezi imenibidi niulizie moja wapo ya bank ulizotaja maana kila bank zina utaratibu wake wa kiuendeshaji,kumbe unaweza kupokea kila mwezi hata kama account yako ita mature baada ya miaka mitatu,Approach yako nimeona kama umelenga ubishi unapotoa conclusion kwamba hicho kitu “hakipo”. Hili ni kosa kwa mtu anayetaka kujifunza. Mimi kila mwezi napata interest ndugu, ni vema ufanye utafiti kabla hujatoa hitimisho la hivyo.
NB. Nakuheshimu sana mkuu, naomba tusitofautiane sote daima tunajifunza.
Wala mimi point yangu kuu sio Pesa as resource bali muda as a resource (Yaani kitu ambacho unasahau na kufumba macho) Mtaji sio Pesa pekee mkuu mbona mtu unaweza hata ukatengeneza matrilioni bila hata senti moja - Ila huenda hapo utahitaji skills fulani kwahio advantage ya kitu kama hiki sio ngapi unapata bali ni low risk as well as hands freeMkuu huo ni mfano tu wa jinsi matumizi ya fedha kwenye biashara yanavyolipa kuliko kuweka fixed deposit.
Pili, hizo route alizosema haimaniishi kuwa anatumia gari kama taxi bali anabeba abiria anapoenda ma kurudi kazini tu.
Kama wewe utaona kuwa gari ni risk, kwamba inaweza kupiga mzinga wakati wowote, basi fanya kitu kingine lakini sio kuweka fixed deposit. Are we together?
Kama ni hivyo sawa mkuuWala mimi point yangu kuu sio Pesa as resource bali muda as a resource (Yaani kitu ambacho unasahau na kufumba macho) Mtaji sio Pesa pekee mkuu mbona mtu unaweza hata ukatengeneza matrilioni bila hata senti moja - Ila huenda hapo utahitaji skills fulani kwahio advantage ya kitu kama hiki sio ngapi unapata bali ni low risk as well as hands free
Hapo ume act kama Mwana JF sasa.Inawezekana kumbe kupokea kwa mwezi imenibidi niulizie moja wapo ya bank ulizotaja maana kila bank zina utaratibu wake wa kiuendeshaji,kumbe unaweza kupokea kila mwezi hata kama account yako ita mature baada ya miaka mitatu,
Mkuu anachosema Jebel ni sahihi, kwa mfano TCB unapofungua ac ya fxd deposit unachagua kama upate interest monthly, quarterly semi annually au annually.Kwanini kila mtazamo unautazama kama wa kubishana, unahisi wewe peke tako umewekeza katika hizo taasisi, nina uzoefu na huo uwekezaji ndiyo maana nimeinua hoja, but anyway isiwe tabu ni kubadilusha elimu tu, unaogopa kuchekwa na watoto wewe utaweza kuwa mfanyabiasha sasa si utaogopa hata kuzikabili risk, labda ndiyo maana unafurahia easy money isio na risk
Hapo uko sawa sana mkuu! Nami hapa nilitaka kuonyesha tofauti hiyo hiyo, fixed ni investment na siyo business kabisa.Mkuu anachosema Jebel ni sahihi, kwa mfano TCB unapofungua ac ya fxd deposit unachagua kama upate interest monthly, quarterly semi annually au annually.
Lakini wadau mnachokosea ni kufananisha kati ya business na investment, hizo ni avenues mbili tofauti. Unapaswa kulinganisha business na business au investment na investment.
Hiyo sio fixed account ni FLEXI ACCOUNT.CRDB niliweka kwa mda wa miaka mitatu. Annually interest ni 9% lakini napata monthly interest ambayo inaingia kwenye account kila mwezi
TCB niliweka kwa duration ya miaka 2, annual interest ni 11% lakini wakati naweka zaidi ya mwaka sasa walikuwa wanalipa interest monthly na hadi sasa napata interest kila mwezi(nasikia kwa sasa ni kila baada ya miezi3) lakini mie bado napata interest monthly.
I hope utakuwa umeelewa kama lengo lako ni kujifunza ila kama umelenga ubishi then I don’t trade it champ!
Anafananisha fixed na flexi account.Kwanini kila mtazamo unautazama kama wa kubishana, unahisi wewe peke tako umewekeza katika hizo taasisi, nina uzoefu na huo uwekezaji ndiyo maana nimeinua hoja, but anyway isiwe tabu ni kubadilusha elimu tu, unaogopa kuchekwa na watoto wewe utaweza kuwa mfanyabiasha sasa si utaogopa hata kuzikabili risk, labda ndiyo maana unafurahia easy money isio na risk
Ameidadavua tu upne ni kiasi gani kwa mwezi,sio kwamba wanalipa kwa mwezi.Hakuna bank wanakupa riba kila mwezi wakati wewe fixed account yako umeweka ndani ya mwaka, yani uweke milioni 100 riba ni ya annually then ulipwe monthly kuna kitu hujakiweka sawa, bank watakulipa riba pesa yako iki mature kama ni miezi mitatu kama ni mwaka then ikimatua unachukua principal na interest pamoja na zina makato ya kodi
MDF sio pvc,maoni yako nayaafiki.Kwa mawazo haya kuna siku watu wote hawatofanya Kazi kwasababu yakupenda kukaa bila kujishughulisha au kutokutaka kutake risk,Ndo mana kila Zile DESI na Mfano zikija madhara yanakuwa makubwa sababu Sisi watanzania tunapenda bure na kulalama,huwezi kuwa na M150 ukategemea Mbao WA 1.1m wakati huo NI bonge ya mtaji,ukienda china unasomba mzigo WA Maana na kuleta bongo,Mfano zile mnauziwa pvc board mnawekaga sebleni kama TV case,unajua ile bei yake china haizidi elf 20 ya kibongo?halafu bongo tunauziwa laki na thelathini,badilisheni mawazo tuache dezo
Mbona mwenzio ameshafuatilia na kuleta mrejesho hapa kwamba wanalipa monthly mkuu??