Flemu nyingi za biashara huku mitaani kwa asilimia kubwa zimejaa watu wa namna hii

Kumfungulia wife biashara home akiuza na watoto kuna shida gani?

Nimetoka chuo nikajiunga na machinga hatimae nikapata kiflem kuna shida gani? N.k

Hayo ya kutoa huduma mbovu ni tabia ya mtu tu hata angefungua kwa motivation zingine zaidi ya hizo
Shida ipo Kwa sababu ukipata kazi utaacha hiyo biashara.

Unafanya sio Kwa vile una passion Bali huna option nyingine ndio maana watu weusi tunakuwa maskini hatuna Cha kuridhisha Watoto kinacho generate pesa.

Haya huyo wife wako anafanya hiyo biashara Kwa mgongo wa kipato chake ,hawezi kukomaa Ili biashara ilishe familia na ikue.Unamuweka hapo Ili awe busy asiliwe na Vijana wa mtaani
 
Kumfungulia wife biashara home akiuza na watoto kuna shida gani?

Nimetoka chuo nikajiunga na machinga hatimae nikapata kiflem kuna shida gani? N.k

Hayo ya kutoa huduma mbovu ni tabia ya mtu tu hata angefungua kwa motivation zingine zaidi ya hizo
Hii ni changamoto, yaani utoke chuo usifanye mambo kilegevu au huku unaona noma. Kuna graduqte mmoja mtaani kwetu alifungua duka, anaideas nyingi sana. Akaanza kutuuzia juice ameweka na udambwiudamwi flani. Cha ajabu yeye leo ipo kesho haipo, sababu haipo matunda yamejaa sokoni. Anajiona kama hastahiri anachokifanya, anatakiwa kuwa juu kuliko hapo.

Wakati huo mama anayetuuzia mchicha miaka sita hii kila siku atapita muda uleule iwe mvua iwe jua. Anaconsistency ya kimataifa. Huyu wa flemu qnashindwa nini huyu?
 
Hizo ni changamoto tu katika kuanza lakini akizoea na akawa expert hata hiyo ajira hataitamani wengi huwa dilema baada ya kuona biashara inalipa na huku ana sifa za kupata ajira ambayo zogo ni jingi kwenye ajira hizi za kitumwa
 
Mwanzo mgumu mkuu hata huyo mama unaemsifia hakuanza hivyo alivyo sasa
 
Huyo Yesu ,uliyemnukuu ni yupi,wa Nazareti au yule alikuwa Arsenal.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…