Matokeo ni kama yamesitishwa kutangazwa mubashara, ila Raila mwenyewe alisema matokeo ya kura yarushwe moja kwa moja.Naona tangu alipotangaza kuyakataa hasa kuanzia saa sita mchana, kasi ya UHURU kumzidi imepungua sana. Kiganja cha yule jamaa kimefanya kazi nzuri
Si tume ni huru ?? Mapovu ya nini sasa?Hizo fomu za 34A's wakizipakua (Upload) Raila anashinda kuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Kenya kwa sababu Ezra Chiloba, CEO wa IEBC pia ni Afisa Usalama ndie anashirikiana na NIS wenzie kuhariri Matokeo ya Uchaguzi kisha wanatuma kwenye Kanzi Data ya IEBC ndio maana hayo Matokeo hayana Fomu 34!
Tume bado ni dhaifu ina mikono za Serikali maana haiwezekani Mtu kuingia (kulog in) kwenye akaunti ya Chris Msando ambaye alifariki hii inasadifu ambavyo Tume haiko huru!!Si tume ni huru ?? Mapovu ya nini sasa?
Sent From Kisana Kiki Iphone
Asante mkuuMajority of kenyans can understand English, so ukutumia Kingereza Kenya wakenya wengi wataelewa unachokisema. Wengi wanaskia but speaking it can be hard to a good number of Kenyans. But kuzungumza I guess every Kenyan can speak in Kiswahili. Almost every Kenyan
Halafu kibaya zaidi ni rafiki wa mzee wa chatleOdinga hawezi kuwa Raisi wa Kenya kwa kawaida namba huwa hazidanganyi alishashindwa kabla
yanatangazwa lakini hayaoneshi tofauti yoyote. kama ni kupigwa,alipigwa asubuhi asubuhiMatokeo ni kama yamesitishwa kutangazwa mubashara, ila Raila mwenyewe alisema matokeo ya kura yarushwe moja kwa moja.
MK254 angalia kauli zako ndugu zisiwe na ukakasi sana na kuendelea kuwakasirisha watu ambao pengine wameanza kuwa na wasi wasi!Haya mazombi yatulie kwanza na kusubiri, tayari fomu zinakusanywa na atapewa Raila na Wakenya wote, sasa yameanza kuwasha moto Kisumu, huwa yanachukiza balaa.
A supporter of Opposition leader Raila Odinga, burns tyres during a protest in Kisumu after their political leader claimed massive fraud in the election, August 9, 2017. /REUTERS
Na huku kwetu.......Nabii (Mtakatifu tarajiwa) aliapa, Madaraka ya Uraisi wasipewe watu kutoka Kanda ya Ziwa....!!
Kiko wapi leo...!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Odinga akubali tu matokeo aende nyumbani.Huu ushindi wa Uhuru naomba uwe wa kweli na usije kutuletea majanga na chuki, Raila amesema hayo mafomu 34a na 34b hayajaambatanishwa na matokeo yanayotangazwa, naomba IEBC wafanye scan ya hizo fomu zote na kumpa Odinga na pia kuzianika hadharani ili ushindi huu ukubalike vizuri.
Maana Raila akianza kuimba imba na kutaja wizi, wafuasi wake wanamskiliza sana na wanaweza kukinukisha.
Haya mazombi yatulie kwanza na kusubiri, tayari fomu zinakusanywa na atapewa Raila na Wakenya wote, sasa yameanza kuwasha moto Kisumu, huwa yanachukiza balaa.
A supporter of Opposition leader Raila Odinga, burns tyres during a protest in Kisumu after their political leader claimed massive fraud in the election, August 9, 2017. /REUTERS
sky bhana..usimuite Rais wetu "boy"...ina maana nyingine huku kwetuSo Kenya has delivered a Kikuyu boy
go whereUhuru must go
cha kuhuzunisha hapati chochote kwa sababu hayuko ndani ya serikaliRaila akiona watu wamepiga foleni ye anajua lazima wanampigia yeye! Hatoweza kulazimisha, kama wakenya wamemkataa washamkataa! Hamna namna aende retire tu!
acha kinuke tu,hatutaki wizi sisi.
Kwa hiki kichapo anachoelekea kukipata Odinga amwombe Sizonje akapumzike Chattle kwa muda apunguze mawazo
Odinga alishajichanganya miaka mingi iliyopita..siku hizi tunamuona kama msanii flani hivi wa kuigiza..