johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Safari hii mmejipanga na risasi ngapi?...wewe unatarajia huyo uliye mtaja atafika huko mwezi wa 10?!
Utamuua kabla ya October au?...wewe unatarajia huyo uliye mtaja atafika huko mwezi wa 10?!
ambayo siyo kiSwahili sahihi, lakini waTanzania wanataka mabadiliko na mabadiliko hayo wameamua kuyafanya kwa kutoichagua CCM Mpya tarehe 28 October 2020.munkari, jazba na mizuka
...wewe unatarajia huyo uliye mtaja atafika huko mwezi wa 10?!
Kampeni za kistaarabu!Safari hii mmejipanga na risasi ngapi?
Utakufa wewe utamuacha na Mkeo watu watamrukia...wewe unatarajia huyo uliye mtaja atafika huko mwezi wa 10?!
Hofu siyo wasiwasi bwashee!Hofu ya Jiwe juu ya Lissu imeshuka Mpaka chini kwa Vibaraka wake wa Lumumba.
Kila Mwana Lumumba anamuogopa Lissu
Yaani ni Kama Baba wa Nyumba aoneshe hofu Mahala Familia nzima itakuwa na hofu
Ahsante kwa kuifuatilia hotuba ya Rais Magufuli!Huo ushindi wa mezani msahau! Na kibano kutoka kwa Lissu kiko palepale!
Nimeona mgombea wenu anaonyesha magorofa. Hope dodoma wagogo wamegawiwa magorofa leo!
Mke amtoe wapi hebu soma ID hiyo.Utakufa wewe utamuacha na Mkeo watu watamrukia
...wewe unatarajia huyo uliye mtaja atafika huko mwezi wa 10?!
Hofu siyo wasiwasi bwashee!
Atafika tu kwa mapenzi ya Mungu. Na kwa mapenzi yake Mungu, wewe unaweza kutangulia kabla yake. Kuna wangapi wameaga Dunia, wengine kwa kuanguka tu, lakini Lisu wa risasi 18 yu hai mpaka leo. Na atakuwa hai kwa siku zake zote ambazo Mungu kampangia kuishi Duniani....wewe unatarajia huyo uliye mtaja atafika huko mwezi wa 10?!
Bwashee Lisu ni mwepesi sana...... Tunachopigania ni ushindi wa 98%!
Sema amewazidi wote hapo Ufipa!Acheni upopoma lissu kakuzidi kila kitu kuhusu sheria muulize mzee mgaya.