Uchaguzi 2020 Fomu namba 8A ndiyo itakayombana Tundu Antipas Lissu, ni ya Maadili ya Uchaguzi

Uchaguzi 2020 Fomu namba 8A ndiyo itakayombana Tundu Antipas Lissu, ni ya Maadili ya Uchaguzi

Yaani CCM na Magufuli wao, taabu tupu...

Yaani nyie mnawaza namna ya kupata ushindi wa mezani tu....

Yaani 24hrs ni vikao vya MATAGA tu mkijaribu ku - sort number of options za kumuengua Tundu Lissu huku option ya kutumia jukwaa la kampeni mkijaribu kila njia kuiepuka...!!

Kwanini mnamgwaya sana Tundu Lissu nyie CCM? Kwanini mnamgwaya Benard Membe, Mbowe, Zitto Kabwe? Why, Why?

Yaani mmefanya siasa nyie tu miaka mitano huku bado mkiwa na SGR na Bombardier na Dreamliners na Ma - Stiglers, mabarabara, maumeme kila kijiji. Lakini cha ajabu CCM bado hawajiamini na waoga kupindukia hata wanajaribu kutaka kupewa taji la ushindi bila kushindana....!!

Kwanini mnaogopa ushindani? Au mnawadanganya tu wananchi kuwa mmefanya hiki ama kile huku kumbe ikiwa ni uongo tu??

Tuacheni majukwaa ya kampeni na kushindana kwa hoja yafanye kazi. Tuacheni wananchi wachague kati ya MABEBERU MEUSI - CCM au WAZUNGU...
 
Ni nyingi sana risasi, RISASI ZA HOJA siyo matusi na kusemasema mambo uliyotumwa na wanaokufadhili. CCM ni hoja tu kwa kwenda mbele
Nimemuona leo dr Bashiru analalamika kuhusu kazi na bata yani katumia muda wake mwingi kuishambulia kauli ya kazi na bata.
Hizi za dr.bashiru ndiyo risasi za hoja ambazo sio za kusemana????

Ndiyo katibu mkuu huyo wa chama huyu kauli yake ndiyo msimamo wa chama.
 
Hiyo ni kwa mujibu wa lugha Mpya waliotengeneza CCM Mpya kubadilisha maana /tafsiri za maneno ambayo siyo kiSwahili sahihi, lakini waTanzania wanataka mabadiliko na mabadiliko hayo wameamua kuyafanya kwa kutoichagua CCM Mpya tarehe 28 October 2020.

waTanzania wanataka spana iitwe spana na si vinginevyo.
Usiseme watanzania sema wanachadema.
 
Fomu hii namba 8A inatakiwa kujazwa na wagombea wa Urais mbele ya Jaji wa Mahakama Kuu. Ni ya kuahidi kulinda, kuheshimu na kuzingatia maadili ya uchaguzi na taratibu zake.

Ukitenda kinyume cha maadili ya uchaguzi unaweza kuenguliwa kwenye uchaguzi wakati kampeni zikiendelea. Kwa hiyo wagombea wenye munkari, jazba na mizuka kama Ni Yeye wa CHADEMA hii ni spidi gavana.

Ni katika kukumbushana tu.

Maendeleo hayana vyama!
Ushalewa wanzuki
 
Ni kweli mkuu. Lumumba wamejaa hofu hadi matakoni. Yaani wanaomba balaa lolote limwangukie Lisu kabla hata Kampeni hazijaanza.
Nimemtazama Polepole jana. Ni ushahidi usio na shaka wa kuchanganyikiwa kwa Lumumba team. Sasa wanatafuta cheap propaganda. Hawataweza.
Onyo kwa Wanalumumba kwamba kama huyo "Mwanakijiji" wenu hauziki, don't try any monkey's buiseness. Haitakuwa heri kwenu. To tell you the truth: Only God will intervene this time after bloodbath.
Mbona nyie ndo munatusemea.
Tunajua maana ya uchaguzi ndo maana hatusemi sana.
Pigeni kelele ila atakae apishwa ni Jiwe.
 
Jiwe amepanic yani ni mshamba kweli, hivi hayo maghorofa yametoa ajira ngapi kwa vijana tulio nao mtaani
Mkuu bado unawaza ajira kabisa
Jiajiri kazi kubadiri smart fone tu.
 
Jidanganyeni sana,safari hii akidhulika yeyote wa upinzani,magufuli tutamchomea moto akiwa ikulu huko huko Dodoma,safari hii mtayaoga kweli kweli.
Ki ujumla uchaguzi huu mtatutambua haswaa,ni mwendo wa kuhamasishana kama mbwai na iwe mbwai,kwani Kenya walichapana sasa hivi wanaheshimiana,na sisi tutachapana kwanza.
Mchapane na nani sema mtachapwa
 
Fomu hii namba 8A inatakiwa kujazwa na wagombea wa Urais mbele ya Jaji wa Mahakama Kuu. Ni ya kuahidi kulinda, kuheshimu na kuzingatia maadili ya uchaguzi na taratibu zake.

Ukitenda kinyume cha maadili ya uchaguzi unaweza kuenguliwa kwenye uchaguzi wakati kampeni zikiendelea. Kwa hiyo wagombea wenye munkari, jazba na mizuka kama Ni Yeye wa CHADEMA hii ni spidi gavana.

Ni katika kukumbushana tu.

Maendeleo hayana vyama!
Lissu ana akili kuliko magamba woote huko kwenu
 
Aisee ccm wamechooka mapema sana, inawezekana walijiamini sana kupita kiasi wakajua kuwa mh Lissu hawezi kurudi Tanzania.
Huo ushindi wa mezani msahau! Na kibano kutoka kwa Lissu kiko palepale!
Nimeona mgombea wenu anaonyesha magorofa. Hope dodoma wagogo wamegawiwa magorofa leo!
 
Sasa kila mtu pale lumumba anashika lake hakuna mwenye maamuzi.
Hofu ya Jiwe juu ya Lissu imeshuka Mpaka chini kwa Vibaraka wake wa Lumumba. Kila Mwana Lumumba anamuogopa Lissu.Yaani ni Kama Baba wa Nyumba aoneshe hofu Mahala Familia nzima itakuwa na hofu
 
Mbona nyie ndo munatusemea.
Tunajua maana ya uchaguzi ndo maana hatusemi sana.
Pigeni kelele ila atakae apishwa ni Jiwe.
Jiwe wako akishinda kwa halali hakuna noma, lakini safari hii akitaka abebwe na tume, mapolisi na usalama wa Taifa, ndipo mtakapojua hamjui.
 
Back
Top Bottom